Peter Madeleka: Ikiwa DPP Mwakitalu hatawapeleka mahakamani ndani ya saa 24 waliombaka binti wa Yombo, mimi nitawapeleka

Peter Madeleka: Ikiwa DPP Mwakitalu hatawapeleka mahakamani ndani ya saa 24 waliombaka binti wa Yombo, mimi nitawapeleka

Nipo pamoja na Madeleka kwanza siamini kama hadi sasa polisi wameshindwa kuwakamata hao wana haramu labda walitaka kupotezea lakini shinikizo limekuwa kubwa hivyo lazima wafikishwe mahakamani.
 
kwenye nchi za watu wenye akili,
hawa watu walikuwa tayari wako mikononi.

kuna watu walitakiwa kujiuzulu nafasi zao.
 
Wapuuzi kama wewe ndo wanasababisha watu wachache wanaendelea kuumia. Madereka ni mmoja tu kati ya wale waliopaza sauti angekuwa ndugu yako amefanyiwa hivo ungefurahi? Kwa nini huyo mwanamke asingewatuma hao wahuni wenzake wakamfire huyo mmewe? Kwani huyo binti ndo alimtongoza huyo mwanaume? Kwa nini asijiulize iweze mmewe atoke nje ya ndoa yake? Hao wapuuzi wenzako hakuna namna tena lazima wafungwe.
Kweli kaka nimekosea maderaka ni mtu poa dah yule dada ana tia huruma sana
 
Wapuuzi kama wewe ndo wanasababisha watu wachache wanaendelea kuumia. Madereka ni mmoja tu kati ya wale waliopaza sauti angekuwa ndugu yako amefanyiwa hivo ungefurahi? Kwa nini huyo mwanamke asingewatuma hao wahuni wenzake wakamfire huyo mmewe? Kwani huyo binti ndo alimtongoza huyo mwanaume? Kwa nini asijiulize iweze mmewe atoke nje ya ndoa yake? Hao wapuuzi wenzako hakuna namna tena lazima wafungwe.
Nimekosea kaka nisamehe Ina uma sana mwanamke mwenzetu.kufanyiwa vile
 
Anatafuta umaarufu tu kila jambo anataka kuonekana yeye kama ni mtu muhimu sana kwenye hili Taifa f****
Tumia akili basi, kinachokutoa povu ni hao watuhumiwa kutakiwa kupelekwa mahakamani au kuna nini!?
 
Wapuuzi kama wewe ndo wanasababisha watu wachache wanaendelea kuumia. Madereka ni mmoja tu kati ya wale waliopaza sauti angekuwa ndugu yako amefanyiwa hivo ungefurahi? Kwa nini huyo mwanamke asingewatuma hao wahuni wenzake wakamfire huyo mmewe? Kwani huyo binti ndo alimtongoza huyo mwanaume? Kwa nini asijiulize iweze mmewe atoke nje ya ndoa yake? Hao wapuuzi wenzako hakuna namna tena lazima wafungwe.
Huyo mwanamke hakufikiria hata kidogo, binti mwenyewe yule unaweza kuta hakuwa anajua kama jamaa kaoa. Hata kama alikuwa anajua, bado mke amefanya uamuzi utakaomgharimu sana tena bila sababu yoyote ya maana.
 
Ndiomana ya kuitwa wakiri. Aliisomea sheria ili aweze kuisaidia jamii inapoonewa na kusimamia haki. Sasa ukisema anatafuta umaarufu hizo ni chuki binafsi
Katika wale wabakaji ana ndugu. Ndiyo maana anatetea huu upumbavu
 
kwenye nchi za watu wenye akili,
hawa watu walikuwa tayari wako mikononi.

kuna watu walitakiwa kujiuzulu nafasi zao.
Nchi hii inapoelekea ni zaidi ya sodoma na gomorrah
Hawa wenye mamlaka wanachokitafuta watakipata

Ova
 
Back
Top Bottom