Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
FaizaFoxyMWENYEZI MUNGU alimwambia shetani utakao wakuchua hao ni wako mimi wangu hutaweza kuwachukua
Ndo shetani akajiondokea zake akaenda kupigana na uzao wa yule mama yaan wote wanao mtii kristo
Kisha akajisimamia ukingoni mwa BAHARI
YESU NI MWEMA
Ufunuo 12
Nieleweshe basi unachosema sikielewi. Umejua Mkristu amesilimu. Tayari umeiona hiyo ni habari ya kutangazia ulimwengu. Kinyume chake ni kwamba Muislamu akibadili dini kuwa Mkristu husikii tangazo kama ulivyofanya. Habari hiyo itajulikana kama "by the way" tu wakisimulia mambo mengine yanayogusia jambo hilo. Wewe umelileta kama habari maalumu kwa madhumuni ya kuufahamisha ulimwengu kwamba Mkristu amesilimu, ambavyo sivyo inavyokuwa kwa Muislamu kuwa Mkristu. Huyo Peter atatoka hapo aliposilimishwa, ataenda nyumbani kwake na kuendelea na maisha yake kama kawaida na hakutakuwa na mtu wa kumsumbua. Fikiria tu kama Muislamu angegeuka kuwa Mkristu ajitangaze kama alivyofanya Peter. Jee, angekuwa salama baada ya hapo? Hiyo ndiyo hoja yangu. Wewe unasema siuelewi Uislamu. Basi nieleweshe nisichokielewa.Tatizo hauuelewi Uislam wala huelewi dini ni nini.
Ushaona wapi hapa tanzania mtu karitadi akauawa..!?Hapo ndipo unaona tofauti kati ya Uislamu na Ukristu. Wakristu wanasoma habari hii na kuichukulia "kawaida" tu. Mtu ameamua kivyake. Hakuna wa kumsumbua wala kumfanya cho chote. Lakini angekuwa Muislamu atangaze hivyo, kifo kingekuwa kinamhusu. Ndugu zake wangemkataa na Muislamu yo yote angekuwa na kibali kutoka kwenye dini hiyo kumuua. Ndiyo maana Waislamu wanaoingia Ukristu hubidi kuhama nchi kabisa kwenda kuishi kwingine kabisa ambapo kutakuwa na usalama.
Ajiandae kutobolewa na kisu chenye incha kali siku ya kuzikwa, ajiandae kuuliwa akiasi hiyo diniPierre Liquid ni mtu aliyejizolea umaarufu miaka miwili mitatu ya nyuma kwa mambo makuu matatu, kwa mtazamo wangu. La kwanza ni ulevi wake, la pili ni vichekesho vyake na la tatu ni mapenzi yake kwa watu.
Nitayafafanuwa zaidi post zifatazo, kwanza tushuhudie alivyosilimu:
View attachment 3161929
Ngoja tuoneI hope atapunguza tu 🐒
HahahaGambe wanapiga hata waliozaliwa huko huko. Na kwa ze kitizzzz hao jamaa ni hatari. na ndiyo maana ndani ya ule mwezi, ze kitizzz inadodaga sana huko inakopatikana.
Mito ya pombe na maziwa atavikuta mbinguni, bila kusahau na wale mabikra 72. Waislamu watapata raha sana pindi wakifaAtaacha pombe?
Hahaha 72 bikra per each dah Allah kawaandalia vitu vizuri sanaMito ya pombe na maziwa atavikuta mbinguni, bila kusahau na wale mabikra 72. Waislamu watapata raha sana pindi wakifa
Mtu kutoka kwenye ukristo (sio UKTISTU) kuja Kwenye uslamu lazima iwe habari kubwa, ukizingatia kama ni mtu ambae ana umaarufu lazima habari hiyo nayo iwe maarufu.Fikiria tu kama Muislamu angegeuka kuwa Mkristu ajitangaze kama alivyofanya Peter. Jee, angekuwa salama baada ya hapo? Hiyo ndiyo hoja yangu. Wewe unasema siuelewi Uislamu. Basi nieleweshe nisichokielewa
Pamoja na mito ya pombe, asali na maziwa, dadeki mudi aliwapiga kambaHahaha 72 bikra per each dah Allah kawaandalia vitu vizuri sana
Tatizo hujui kuwa kwenye hizi dini kuu tatu (ibrahimovic religions) hizo reward kote zimetajwa kote kote..Mito ya pombe na maziwa atavikuta mbinguni, bila kusahau na wale mabikra 72. Waislamu watapata raha sana pindi wakifa
Fafanua hapa mkuuAjiandae kutobolewa na kisu chenye incha kali siku ya kuzikwa
Hii biblia ya kiyahudi au?biblia inafunguliwa kuanzia kushoto kwenda kulia...
Lazima akili yako iwe fyatu kidogo ili kuamini hizo story za mudi. Eti full package wakati mudi mwenyewe alipiga katoto ka miaka 9. Au siyo kweli?Mtu kutoka kwenye ukristo (sio UKTISTU) kuja Kwenye uslamu lazima iwe habari kubwa, ukizingatia kama ni mtu ambae ana umaarufu lazima habari hiyo nayo iwe maarufu.
Mtu anatoka kwenye kiza anakuja kwenye nuru...mtu anatoka kwenye kundi la imani ambalo hawana mungu sahihi, hawana kitabu sahihi, hawana mitume sahihi, kila kitu ni FICTION, anakuja kwenye dini iliyonyooka haina kona kona, dini inayoendana na mahitajio yote ya mwanaadamu...utashangaza watu kama utasema hii haipaswi kuwa habari kubwa.
Weka chuki pembeni, tuliza akili yako vizuri, fanya ulinganifu wa uislamu na ukristo (sio ukristu) utagundua uislam ni full package na wewe unauhitaji saana kuliko hata uislamu unavyokuhitaji wewe.
Siyo kwamba muislam akibadili kuwa mkristo haiwi habari ila ni nadra Muislam kubadili dini siyo rahisi hata kidogo hivyo habari hizo huwa ni chache, ila wanaokua waislam habari ni nyingi kama zilivyokua Habari za Bondia maarufu Cassius Marcellus kubadili dini na kuitwa Mohamed Ally, Kama bondia Mike tyson alivyobadili dini na kujiita Malik Abdul Aziz, Kama kiungo wa France, juventus na Manchester united Paul Pogba alivyobadili kuwa muislam na kubaki na jina lake hilohilo kama mwana HipHop wa USA Ice cube alivyobadili dini na kuwa muislam na kubaki na jina lake Oshea JacksonNieleweshe basi unachosema sikielewi. Umejua Mkristu amesilimu. Tayari umeiona hiyo ni habari ya kutangazia ulimwengu. Kinyume chake ni kwamba Muislamu akibadili dini kuwa Mkristu husikii tangazo kama ulivyofanya. Habari hiyo itajulikana kama "by the way" tu wakisimulia mambo mengine yanayogusia jambo hilo. Wewe umelileta kama habari maalumu kwa madhumuni ya kuufahamisha ulimwengu kwamba Mkristu amesilimu, ambavyo sivyo inavyokuwa kwa Muislamu kuwa Mkristu. Huyo Peter atatoka hapo aliposilimishwa, ataenda nyumbani kwake na kuendelea na maisha yake kama kawaida na hakutakuwa na mtu wa kumsumbua. Fikiria tu kama Muislamu angegeuka kuwa Mkristu ajitangaze kama alivyofanya Peter. Jee, angekuwa salama baada ya hapo? Hiyo ndiyo hoja yangu. Wewe unasema siuelewi Uislamu. Basi nieleweshe nisichokielewa.