Hold on! Haya maneno yameandikwa na mtoto wa kiume!?
“Tumbo Tumbo km Umeficha Kobe wewe nipotezee usilazimishe mimi niwe karibu na wewe sina shida ya kukuazima tumbo nende nalo harusini Mifulana km Turubali za Msimbani Babu kaa mbali na mimi kwani hivi na wewe ni msanii wanchi hii au Muuza kufia za Oliva Mtukuzi?”
Pyuuuuuuuuuuuuu ukiona nipo kimya ujue sihitaji varangati na mtu kiki zime adimika huna utakapopatia usinione Mwembamba ingia 18 uhadithie wenzio Mr Machupi ya kushonesha.”
Utadhani da Havijawa wa Nera au kangoso wa Shede lol..... Itabidi tumuandalie kitchen party huyuHaki ya mungu umeniwahi, nilikuwa nastaajabu kuwa mtoto wa kiume anaandika 'babu' na 'pyuuuuuuuu'. Kwa mtindo huu ni halali tu hawa kina dada wajimithilishe na wanaume.
Aly TallAT ndiyo nani jamani? (au kirefu cha hiyo AT ni nini? Mimi mgeni maeneo haya.
Mkuu kwa hiyo ID yako, ngoja nikae tu kimya, hamchelewagi kumjazia mtu watu!ila Msechu ndio alianza mkuu
Dah..mi nimeshangaa sana.Hold on! Haya maneno yameandikwa na mtoto wa kiume!?
“Mvuto Sifuri Bikaka @peter_msechu Nene km Lori Hivi kuongelea wembamba wangu unalipwa sitaki shobo km lakufanya huna jikate minyama yako ujichome mishkaki usi nitekenye mdomo ukataka niongee,” ameandika AT kwenye Instagram.
“Tumbo Tumbo km Umeficha Kobe wewe nipotezee usilazimishe mimi niwe karibu na wewe sina shida ya kukuazima tumbo nende nalo harusini Mifulana km Turubali za Msimbani Babu kaa mbali na mimi kwani hivi na wewe ni msanii wanchi hii au Muuza kufia za Oliva Mtukuzi?”
“Pyuuuuuuuuuuuuu ukiona nipo kimya ujue sihitaji varangati na mtu kiki zime adimika huna utakapopatia usinione Mwembamba ingia 18 uhadithie wenzio Mr Machupi ya kushonesha.”
USISHANGAE HAWA WASANII WA UKAWA NI SHIDA TUPU.. NEY WA MITEGO+AT=MBUMBUMBU“Mvuto Sifuri Bikaka @peter_msechu Nene km Lori Hivi kuongelea wembamba wangu unalipwa sitaki shobo km lakufanya huna jikate minyama yako ujichome mishkaki usi nitekenye mdomo ukataka niongee,” ameandika AT kwenye Instagram.
“Tumbo Tumbo km Umeficha Kobe wewe nipotezee usilazimishe mimi niwe karibu na wewe sina shida ya kukuazima tumbo nende nalo harusini Mifulana km Turubali za Msimbani Babu kaa mbali na mimi kwani hivi na wewe ni msanii wanchi hii au Muuza kufia za Oliva Mtukuzi?”
“Pyuuuuuuuuuuuuu ukiona nipo kimya ujue sihitaji varangati na mtu kiki zime adimika huna utakapopatia usinione Mwembamba ingia 18 uhadithie wenzio Mr Machupi ya kushonesha.”
View attachment 382262
Kama ile ya Meek mill vs Drake sini kama hii tuHivi zile rap battles za akina Nas na Jay Z au Biggie na Tupac zina tofauti gani na kuchambana?
Au kwa vile zile ziko kwa Kiingereza?