Peter Msechu aingia 18 za AT, Achambwa mpaka huruma...

Peter Msechu aingia 18 za AT, Achambwa mpaka huruma...

Wanaume wa mikoani mnaona wakuja wenzenu wanavyowatia aibu huku mjini?!
 
kumbe ni kule kwa kaa vizuri,mkwaju waja........................mie hata sishangai....
 
“Tumbo Tumbo km Umeficha Kobe wewe nipotezee usilazimishe mimi niwe karibu na wewe sina shida ya kukuazima tumbo nende nalo harusini Mifulana km Turubali za Msimbani Babu kaa mbali na mimi kwani hivi na wewe ni msanii wanchi hii au Muuza kufia za Oliva Mtukuzi?”

Pyuuuuuuuuuuuuu ukiona nipo kimya ujue sihitaji varangati na mtu kiki zime adimika huna utakapopatia usinione Mwembamba ingia 18 uhadithie wenzio Mr Machupi ya kushonesha.”

Kwenye red.
Hapa ndo unapobaini tofauti ya mwanaume na mtoto wa kiume. Ovyo sana mwanaume kufyatukwa na neno kama hili.
 
Tangu kisa cha shishi na Vanessa siamini tena hizi drama
 
Haki ya mungu umeniwahi, nilikuwa nastaajabu kuwa mtoto wa kiume anaandika 'babu' na 'pyuuuuuuuu'. Kwa mtindo huu ni halali tu hawa kina dada wajimithilishe na wanaume.
Utadhani da Havijawa wa Nera au kangoso wa Shede lol..... Itabidi tumuandalie kitchen party huyu
 
“Mvuto Sifuri Bikaka @peter_msechu Nene km Lori Hivi kuongelea wembamba wangu unalipwa sitaki shobo km lakufanya huna jikate minyama yako ujichome mishkaki usi nitekenye mdomo ukataka niongee,” ameandika AT kwenye Instagram.

“Tumbo Tumbo km Umeficha Kobe wewe nipotezee usilazimishe mimi niwe karibu na wewe sina shida ya kukuazima tumbo nende nalo harusini Mifulana km Turubali za Msimbani Babu kaa mbali na mimi kwani hivi na wewe ni msanii wanchi hii au Muuza kufia za Oliva Mtukuzi?”

Pyuuuuuuuuuuuuu ukiona nipo kimya ujue sihitaji varangati na mtu kiki zime adimika huna utakapopatia usinione Mwembamba ingia 18 uhadithie wenzio Mr Machupi ya kushonesha.”

Kwa huu uandishi, nna wasiwasi kama AT ni ridh'ki huyu...
 
“Mvuto Sifuri Bikaka @peter_msechu Nene km Lori Hivi kuongelea wembamba wangu unalipwa sitaki shobo km lakufanya huna jikate minyama yako ujichome mishkaki usi nitekenye mdomo ukataka niongee,” ameandika AT kwenye Instagram.

“Tumbo Tumbo km Umeficha Kobe wewe nipotezee usilazimishe mimi niwe karibu na wewe sina shida ya kukuazima tumbo nende nalo harusini Mifulana km Turubali za Msimbani Babu kaa mbali na mimi kwani hivi na wewe ni msanii wanchi hii au Muuza kufia za Oliva Mtukuzi?”

“Pyuuuuuuuuuuuuu ukiona nipo kimya ujue sihitaji varangati na mtu kiki zime adimika huna utakapopatia usinione Mwembamba ingia 18 uhadithie wenzio Mr Machupi ya kushonesha.”

View attachment 382262
USISHANGAE HAWA WASANII WA UKAWA NI SHIDA TUPU.. NEY WA MITEGO+AT=MBUMBUMBU
 
Hahahahaa eti mishati kama turubai la msibani
Ila kweli jamaa lile tumbo kazidi
 
Back
Top Bottom