Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mabaya tuyafanyeje?
Acha uzuzu wewe Tindo
Hakuna mwenye muda huo labda sukuma gang kama wewe
Wanapenda ila sasa hakuna wa kuwafadhili..kwani siku hizi hampendi mauaji na utekaji?
Kulikuwa na mauaji ya kimbali?
Ulimi hauna mfupa
Huna akiliMchungaji Umeongea ukweli kabisa. Magufuli kulikua na nidhamu sana SERikalini.
Mama Anafanya vizuri ila kama hakutakuwa na nidhamu ndani ya SERIKALI Yake Basi kila kitakachokua kinapatikana kutaishia mifukoni mwa wajanja.
Miradi mingi ya Serika sasa inalega lega sio kwa kukosa fedha Bali kukosa usimamizi mzuri wa wasaidizi wa MH Rais.
Mradi wetu mkubwa wa Julius Nyerere ungekua umeshakamilika tangu mwaka Jana sawa sawa na makubaliano na SERIKALI ya Awamu ya 5 ila kwa kukosa usimamizi mzuri wa viongozi mradi haujakamilika.
Niwito Wangu kwa MH Rais kweli Unajitahidi kufanya Vizuri. Lakini kuwa Mkali kwa wasaidizi wako. Nchi zote zilizoendelea hazikuwa na utani na wazembe Katika SERIKALI.