Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushauri mzuri sana tena sana kwa mkuu wa nchi.Mama Samia, Rais wetu, nakuomba, viongozi uliowachagua serikalini, ukisikia wanafanya upuuzi au kula rushwa au kunyanyasa wananchi au wana dharau serikali yako, haraka kabisa usiwacheleweshe tumbua haraka sana, wala usisubiri sijui aje ajieleze.. Piga chini haraka sana, maana kuna viongozi kibao umewachagua na chini kwa chini wanakusema vibaya sana na wengine wanaisema vibaya kabisa serikali yako.
Mh. Rais wetu, ukisikia tu, sijui Waziri, Naibu Waziri, Katibu Mkuu, Naibu Katibu Mkuu, RC, RAS, DCs, DAS, DEDs, wakurugenzi wakuu wa taasisi mbalimbali au viongozi wengine uliowachagua wanakusema hovyo au wanaisema serikali vibaya chini chini, na ww Mh. Rais wetu wapige chini, kimya kimya, yaani mtu akiamka asubuhi anaona katenguliwa tu, sbb wakati wa unamteua hauja discuss nae, pia wakati wa kumtengua wala usi discuss nae..
I know, wako viongozi wengi wanaisema vibaya au wanadharau serikali kichini chini.. Mh. Rais wetu, ukisikia tu, piga chini haraka paaaap, alafu tunasonga mbele na kazi iendelee
Alikuweza wewe na ukoo wenuMagufuli aliweza sana
Kasema tuchukue mazuri Mkuu! Msigwa nadhani ana mahusiano ya kifamilia na mwendazake...tuige na MAUAJI na UTEKAJI.
Kipindi tulichopitia kilikuwa kigumu sana kama kumeza kaa la moto..unaweza kukosea kwenye kutamka, lakini sio kwenye kuandika.
..hili tatizo nimeanza kuliona baada ya Jpm kuingia madarakani.[emoji1787]
Jibu swali wacha kurukarukaKasema tuchukue mazuri Mkuu! Msigwa nadhani ana mahusiano ya kifamilia na mwendazake.
Hakumchelewesha DC Jane wa kule Sumawanga. Uzi ule ule.Mama Samia, Rais wetu, nakuomba, viongozi uliowachagua serikalini, ukisikia wanafanya upuuzi au kula rushwa au kunyanyasa wananchi au wana dharau serikali yako, haraka kabisa usiwacheleweshe tumbua haraka sana, wala usisubiri sijui aje ajieleze.. Piga chini haraka sana, maana LABDA AU HUENDA kuna viongozi kibao umewachagua na chini kwa chini wanakusema vibaya sana na wengine wanaisema vibaya kabisa serikali yako.
Mh. Rais wetu, ukisikia tu, sijui Waziri, Naibu Waziri, Katibu Mkuu, Naibu Katibu Mkuu, RC, RAS, DCs, DAS, DEDs, wakurugenzi wakuu wa taasisi mbalimbali au viongozi wengine uliowachagua ukipata taarifa wanakusema hovyo au wanaisema serikali vibaya chini chini, na ww Mh. Rais wetu wapige chini, kimya kimya, yaani mtu akiamka asubuhi anaona katenguliwa tu, sbb wakati wa unamteua hauja discuss nae, pia wakati wa kumtengua wala usi discuss nae..
I know, binadamu watu wa ajabu sana, kapewa hadi cheo, ila bado atakusema tu, hawaridhiki, wako viongozi wengi huenda/labda wanaisema vibaya au wanadharau serikali kichini chini.. Mh. Rais wetu, ukisikia tu, piga chini haraka paaaap, alafu tunasonga mbele na kazi iendelee
Nilihamia wiki iliyopita!.Kwani na wewe unaishi Chato siku hizi?
Kasema tuchukue mazuri Mkuu! Msigwa nadhani ana mahusiano ya kifamilia na mwendazake.
Mama anatabia za kiutu siyo yule UngaungaHakumchelewesha DC Jane wa kule Sumawanga. Uzi ule ule.
Alafu aliwafuga majambazi kama kina Sabaya..yeye na genge lake walipendelea utekaji na mauaji.
Ushazoea kujambishwa jambishwa sanaWe mbona hukuuliwa upo hapo unajamba buuu
Kwa mabaya aliyafanyaMagufuli atakumbukwa vizazi na vizazi
Kwa nyinyi wenye vyeti feki na wauza madawa aliwanyosha kweli kweli mtamkumbuka mpaka muingie kaburini. Chezea Magu wewe!! Alikuwa hacheki na nyani kama wewe!Kipindi tulichopitia kilikuwa kigumu sana kama kumeza kaa la moto