Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mkuu habari za GeitaKuna watu wanampinga kiaina jeshi la mtu mmoja, ila nafsi zao zinasema hakika lilikuwa jembe!.
Ila ndiyo wanaogopa kuwa wazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu habari za GeitaKuna watu wanampinga kiaina jeshi la mtu mmoja, ila nafsi zao zinasema hakika lilikuwa jembe!.
Ila ndiyo wanaogopa kuwa wazi.
Kweli mkuu .Mchungaji Umeongea ukweli kabisa. Magufuli kulikua na nidhamu sana SERikalini.
Mama Anafanya vizuri ila kama hakutakuwa na nidhamu ndani ya SERIKALI Yake Basi kila kitakachokua kinapatikana kutaishia mifukoni mwa wajanja.
Miradi mingi ya Serika sasa inalega lega sio kwa kukosa fedha Bali kukosa usimamizi mzuri wa wasaidizi wa MH Rais.
Mradi wetu mkubwa wa Julius Nyerere ungekua umeshakamilika tangu mwaka Jana sawa sawa na makubaliano na SERIKALI ya Awamu ya 5 ila kwa kukosa usimamizi mzuri wa viongozi mradi haujakamilika.
Niwito Wangu kwa MH Rais kweli Unajitahidi kufanya Vizuri. Lakini kuwa Mkali kwa wasaidizi wako. Nchi zote zilizoendelea hazikuwa na utani na wazembe Katika SERIKALI.
Kwa nini unakuwa mpuuzi kiasi hiki?
Papaya huyoAcha uzuzu wewe Tindo
Hapana; wewe umejibu kipuuzi. Msigwa kaongea vizuri tu...aliyekuwa akiteka na kuua ndio mpuuzi zaidi.
Hapana; wewe umejibu kipuuzi. Msigwa kaongea vizuri tu.
Hata wewe unapaswa kulaaniwa kwa kuwa mpuuzi...mtekaji na muuaji anapaswa kulaaniwa.
Wezi awaKipindi tulichopitia kilikuwa kigumu sana kama kumeza kaa la moto
Uongozi hauendi hivyo hizo sifa anazotaka appointees wake wawe nazo inabidi awe nazo kwanza. Ataishia kuwafukuza hadi achoke. Maafisa chini ya RC, RAS,DED, DAS wanajua hilo.Mama Samia, Rais wetu, nakuomba, viongozi uliowachagua serikalini, ukisikia wanafanya upuuzi au kula rushwa au kunyanyasa wananchi au wana dharau serikali yako, haraka kabisa usiwacheleweshe tumbua haraka sana, wala usisubiri sijui aje ajieleze.. Piga chini haraka sana, maana LABDA AU HUENDA kuna viongozi kibao umewachagua na chini kwa chini wanakusema vibaya sana na wengine wanaisema vibaya kabisa serikali yako.
Mh. Rais wetu, ukisikia tu, sijui Waziri, Naibu Waziri, Katibu Mkuu, Naibu Katibu Mkuu, RC, RAS, DCs, DAS, DEDs, wakurugenzi wakuu wa taasisi mbalimbali au viongozi wengine uliowachagua ukipata taarifa wanakusema hovyo au wanaisema serikali vibaya chini chini, na ww Mh. Rais wetu wapige chini, kimya kimya, yaani mtu akiamka asubuhi anaona katenguliwa tu, sbb wakati wa unamteua hauja discuss nae, pia wakati wa kumtengua wala usi discuss nae..
I know, binadamu watu wa ajabu sana, kapewa hadi cheo, ila bado atakusema tu, hawaridhiki, wako viongozi wengi huenda/labda wanaisema vibaya au wanadharau serikali kichini chini.. Mh. Rais wetu, ukisikia tu, piga chini haraka paaaap, alafu tunasonga mbele na kazi iendelee
"Pamoja na mapungufu ya Hayati Magufuli lakini kuna mazuri pia tulipaswa kuyaendeleza mfano nidhamu kazini, uoga kwa mali ya umma na kuheshimu wananchi"
View attachment 2549519
Mchungaji Peter Msigwa
Mwenyekiti wa Chadema kanda ya Nyasa
Chanzo: Jambo TV
Taratibu mnakubali, mwisho wa siku tukishafika kwenye kilele cha shimo la sewa mtaenda Burigi kuomba afufuke."Pamoja na mapungufu ya Hayati Magufuli lakini kuna mazuri pia tulipaswa kuyaendeleza mfano nidhamu kazini, uoga kwa mali ya umma na kuheshimu wananchi"
View attachment 2549519
Mchungaji Peter Msigwa
Mwenyekiti wa Chadema kanda ya Nyasa
Chanzo: Jambo TV
Test your wits, soon you'll pick up the cans.
upuuzi umerudi kwa kasi kila kona.yajayo yanasikitisha.Ni sawa, Msigwa yupo sahihi.
Uzembe kwenye taasisi za serikali umerudi tena, wafanyabiashara kukwepa kulipa kodi, wameshajua mama yao anaongea sana, vitendo vichache.
hizo guts atazitoa wapi?nchi sasa ni holela kila mtu anaenda ajuavyo,rubani katanglia.Mama Samia, Rais wetu, nakuomba, viongozi uliowachagua serikalini, ukisikia wanafanya upuuzi au kula rushwa au kunyanyasa wananchi au wana dharau serikali yako, haraka kabisa usiwacheleweshe tumbua haraka sana, wala usisubiri sijui aje ajieleze.. Piga chini haraka sana, maana LABDA AU HUENDA kuna viongozi kibao umewachagua na chini kwa chini wanakusema vibaya sana na wengine wanaisema vibaya kabisa serikali yako.
Mh. Rais wetu, ukisikia tu, sijui Waziri, Naibu Waziri, Katibu Mkuu, Naibu Katibu Mkuu, RC, RAS, DCs, DAS, DEDs, wakurugenzi wakuu wa taasisi mbalimbali au viongozi wengine uliowachagua ukipata taarifa wanakusema hovyo au wanaisema serikali vibaya chini chini, na ww Mh. Rais wetu wapige chini, kimya kimya, yaani mtu akiamka asubuhi anaona katenguliwa tu, sbb wakati wa unamteua hauja discuss nae, pia wakati wa kumtengua wala usi discuss nae..
I know, binadamu watu wa ajabu sana, kapewa hadi cheo, ila bado atakusema tu, hawaridhiki, wako viongozi wengi huenda/labda wanaisema vibaya au wanadharau serikali kichini chini.. Mh. Rais wetu, ukisikia tu, piga chini haraka paaaap, alafu tunasonga mbele na kazi iendeleeguts
Nzuri kabisa mkuu kumbe ulikuwa pande hizi eeh?.Mkuu habari za Geita
Tumia akili au jisaidie hadharanimabaya tuyafanyeje?