Peter Msigwa awaasa watanzania kuenzi mazuri ya Hayati John Pombe Magufuli

Peter Msigwa awaasa watanzania kuenzi mazuri ya Hayati John Pombe Magufuli

Kigogo alichezea fursa KWA kupishana na gari la mshahara.
Angejiuza kwa jiwe akafika bei akavuta kama mwenzake Mange
Sasa hivi kapewa kitengo basi kanyamaza kimya na kapewa kabisa kuwa mchora ramani ya uchaguzi wa 2025
 
Kwa nyinyi wenye vyeti feki na wauza madawa aliwanyosha kweli kweli mtamkumbuka mpaka muingie kaburini. Chezea Magu wewe!! Alikuwa hacheki na nyani kama wewe!
Leo ananyooshwa yeye
 
Kwa nyinyi wenye vyeti feki na wauza madawa aliwanyosha kweli kweli mtamkumbuka mpaka muingie kaburini. Chezea Magu wewe!! Alikuwa hacheki na nyani kama wewe!

..alikuwa anacheka na Babu Seya na Papii aliwakaribisha Ikulu.
 
Ni sawa, Msigwa yupo sahihi.

Uzembe kwenye taasisi za serikali umerudi tena, wafanyabiashara kukwepa kulipa kodi, wameshajua mama yao anaongea sana, vitendo vichache.
Sasa kumbe alikuwa sahihi kusimamia haya, kule kupingwa sijui kulitokana na nini.
 
Ni sawa, Msigwa yupo sahihi.

Uzembe kwenye taasisi za serikali umerudi tena, wafanyabiashara kukwepa kulipa kodi, wameshajua mama yao anaongea sana, vitendo vichache.
Ni Msigwa yupo sahihi au kilichosemwa ni sahihi? Maana isije ikawa usahihi wa hayo maneno unategemea na aliyesema.
 
Back
Top Bottom