Peter Msigwa awaasa watanzania kuenzi mazuri ya Hayati John Pombe Magufuli

Peter Msigwa awaasa watanzania kuenzi mazuri ya Hayati John Pombe Magufuli

Magu hakuwa MNAFIKI,

Alipenda HAKI, hakupenda maskini kuonewa,

Magu MZALENDO,

Magu mwenye uthubutu, Purely AFRICANISM.

Amesaidia kuondoa JAM DSM.

Ile ndoto uliyopenda uione ya TANZANIA ya MAGUFULI, soon itatimia maana tumehakikisha vision Yako inatimia.

Na hatutonyamaa Hadi Ile Nchi nzuri ulipenda uione itakapotimia.

Tunakushukuru Mungu Kwa zawadi ya Magu.

Amen
 
Back
Top Bottom