Mama Samia, Rais wetu, nakuomba, viongozi uliowachagua serikalini, ukisikia wanafanya upuuzi au kula rushwa au kunyanyasa wananchi au wana dharau serikali yako, haraka kabisa usiwacheleweshe tumbua haraka sana, wala usisubiri sijui aje ajieleze.. Piga chini haraka sana, maana LABDA AU HUENDA kuna viongozi kibao umewachagua na chini kwa chini wanakusema vibaya sana na wengine wanaisema vibaya kabisa serikali yako.
Mh. Rais wetu, ukisikia tu, sijui Waziri, Naibu Waziri, Katibu Mkuu, Naibu Katibu Mkuu, RC, RAS, DCs, DAS, DEDs, wakurugenzi wakuu wa taasisi mbalimbali au viongozi wengine uliowachagua ukipata taarifa wanakusema hovyo au wanaisema serikali vibaya chini chini, na ww Mh. Rais wetu wapige chini, kimya kimya, yaani mtu akiamka asubuhi anaona katenguliwa tu, sbb wakati wa unamteua hauja discuss nae, pia wakati wa kumtengua wala usi discuss nae..
I know, binadamu watu wa ajabu sana, kapewa hadi cheo, ila bado atakusema tu, hawaridhiki, wako viongozi wengi huenda/labda wanaisema vibaya au wanadharau serikali kichini chini.. Mh. Rais wetu, ukisikia tu, piga chini haraka paaaap, alafu tunasonga mbele na kazi iendelee