Sasa hivi kapewa kitengo basi kanyamaza kimya na kapewa kabisa kuwa mchora ramani ya uchaguzi wa 2025Kigogo alichezea fursa KWA kupishana na gari la mshahara.
Angejiuza kwa jiwe akafika bei akavuta kama mwenzake Mange
Wezi, wauza madawa, mafisadi na vyeti feki hawawezi ona zuri lolote mkuu!!
Leo ananyooshwa yeyeKwa nyinyi wenye vyeti feki na wauza madawa aliwanyosha kweli kweli mtamkumbuka mpaka muingie kaburini. Chezea Magu wewe!! Alikuwa hacheki na nyani kama wewe!
Use common sense..tuige na MAUAJI na UTEKAJI.
Mmerogwa vya kutosha kina sukuma gangWezi, wauza madawa, mafisadi na vyeti feki hawawezi ona zuri lolote mkuu!!
Wewe ni MUSHUTI TUUUUse common sense
Anyooshwe na nani wakati anawaongoza Malaka huko mbinguni lakini wewe unaendelea kunyooshwa tu hata awamu hii ya sita. Sisi tunaendelea kula nchi na kina Mbowe!!Leo ananyooshwa yeye
Kama unahisi ni mazuri iga lesbian wewe..tuige na MAUAJI na UTEKAJI.
Jiwe limegeuka mchangaWezi, wauza madawa, mafisadi na vyeti feki hawawezi ona zuri lolote mkuu!!
Tangu ulivyofukuzwa Mombasa usiku wa manane naona umeendelea kutetea kazi yakoKama unahisi ni mazuri iga lesbian wewe
Kwa nyinyi wenye vyeti feki na wauza madawa aliwanyosha kweli kweli mtamkumbuka mpaka muingie kaburini. Chezea Magu wewe!! Alikuwa hacheki na nyani kama wewe!
Ilikuwa ni sawa na najisi..alikuwa anacheka na Babu Seya na Papii aliwakaribisha Ikulu.
Ilikuwa ni sawa na najisi
Kwa nini unakuwa mpuuzi kiasi hiki?..tuige na MAUAJI na UTEKAJI.
Hujaelewa swali,amesema kuyaenzi mazuri ya magufuli!..tuige na MAUAJI na UTEKAJI.
Sasa kumbe alikuwa sahihi kusimamia haya, kule kupingwa sijui kulitokana na nini.Ni sawa, Msigwa yupo sahihi.
Uzembe kwenye taasisi za serikali umerudi tena, wafanyabiashara kukwepa kulipa kodi, wameshajua mama yao anaongea sana, vitendo vichache.
Kasema mazuri..tuige na MAUAJI na UTEKAJI.
Ni Msigwa yupo sahihi au kilichosemwa ni sahihi? Maana isije ikawa usahihi wa hayo maneno unategemea na aliyesema.Ni sawa, Msigwa yupo sahihi.
Uzembe kwenye taasisi za serikali umerudi tena, wafanyabiashara kukwepa kulipa kodi, wameshajua mama yao anaongea sana, vitendo vichache.
Mabaya tuwagee waliyokuwa washauri wake na watumishi wake kama tunavyofanya sasa kwa Rais Samia.mabaya tuyafanyeje?
Mfumo ule ule hadi mtu afe ndio asifiwe.Sasa kumbe alikuwa sahihi kusimamia haya, kule kupingwa sijui kulitokana na nini.