Peter Msigwa awaasa watanzania kuenzi mazuri ya Hayati John Pombe Magufuli

Kweli mkuu .

 
Huyo mchungaji wa mchongo hana akili. Huyo mtu hawezi kua mfano kwenye jambo lolote, ni aibu kwa taifa.

Nidhamu ipi, kwenda kukaa Chato miezi sita na kutumia resources za taifa kulipa wasaidizi wake na kufanyia shughuli za serikali kibarazani kwake?

Kununua ndege kama mashati bila kufuata sheria za manunjzi?

Kula hela za plea bargain

Kupoteza 1.5 Trillion

Aache utani, au kwasababu ni baba yake mkwe?
 
Ndani ya mioyo yao wanammisi jamaa. Ila kwakua shetani ameshaingia kwenye vichwa vyao lazima wakane hadharani.

Ni jambo la muda tu sote tutakubaliana kuwa tumepoteza kiongozi mweledi na mzalendo.
 
Uongozi hauendi hivyo hizo sifa anazotaka appointees wake wawe nazo inabidi awe nazo kwanza. Ataishia kuwafukuza hadi achoke. Maafisa chini ya RC, RAS,DED, DAS wanajua hilo.
 
Taratibu mnakubali, mwisho wa siku tukishafika kwenye kilele cha shimo la sewa mtaenda Burigi kuomba afufuke.
 
Ni sawa, Msigwa yupo sahihi.

Uzembe kwenye taasisi za serikali umerudi tena, wafanyabiashara kukwepa kulipa kodi, wameshajua mama yao anaongea sana, vitendo vichache.
upuuzi umerudi kwa kasi kila kona.yajayo yanasikitisha.
 
hizo guts atazitoa wapi?nchi sasa ni holela kila mtu anaenda ajuavyo,rubani katanglia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…