Pre GE2025 Peter Msigwa: CHADEMA idhibitiwe kabla haijaleta vurugu nchini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Pamoja na udhaifu mkubwa wa Cdm
Lakini kwa heshima ya msigwa
Ningeshauri ajiuzila siasa
Atafute kazi zingine za kufanya
Anjidhalilisha kula matapishi yake

Dr. Slaa anabaki kuwa mwanasiasa wa upinzani mwenye msimamo
Aliahidi kuachana na siasa za vyama Hadi leo
 
Slaa ni liability amezeeka,Msigwa Bado Yuko hot yaani hapo mnatumia Hadi povu πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Lakini ni ukweli kasema
Yaani nimecheka kwa nguvu, Upendo na Msigwa ni kama wameahidiwa nafasi moja ya uongozi huko ccm, kwa sharti la atakayemzidi mwenzake kuharisha dhidi ya cdm ndio ataipata hiyo nafasi. Yaani huyo Msigwa na Upendo ndio wa kuiponda cdm ili kuipa mvuto ccm? Kwa kizazi kipi cha kuambiwa habari hizo?
 
Wanawapelekea spana tuu πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Slaa ni liability amezeeka,Msigwa Bado Yuko hot yaani hapo mnatumia Hadi povu πŸ˜‚πŸ˜‚
Ni kweli kuwa Slaa kazeeka, ila ukimlinganisha Slaa na Msigwa kwa hoja mtu atajua Slaa ndio kijana.
 
Huyu ni mmoja wa wale Nyerere aliwaita malaya.
 
Mnaweweseka sana Kwa Msigwa na Peneza πŸ˜‚πŸ˜‚
Nilikuwa najua ccm imechoka, ila sikuwahi kudhania imechoka kiasi kufikia wakati wa kuwategemea Msigwa na Peneza kuwapatia mvuto! Bwaahaaa Bwahaaaa nimecheka kinoma.
 
Msigwa ni njaa inamsumbua na ameingia huko CCM kutafutia mabinti zake ulaji.
Amekuwa Malaya wa kisiasa.
 
Nilikuwa najua ccm imechoka, ila sikuwahi kudhania imechoka kiasi kufikia wakati wa kuwategemea Msigwa na Peneza kuwapatia mvuto! Bwaahaaa Bwahaaaa nimecheka kinoma.
Pole sana
 
Huyo mzee ni poyoyo, hao aliowataja ni professionals siyo mashabiki ubwabwa kama yeye.
For the first time Leo dada umeweka comment ya mana Sana....kataa wana siasa wahuni eti sijuwi mchungaji WA mbuzi Msigwa
 
M
Mna uhakika Msigwa hajalogwa?

Anadhani hizo porojo zitakiangusha Chadema ambacho kiko mioyoni mwa Watanzania?

Alishindwa Dr John Pombe ambaye ali employ all mechanical, digital and political warfare?
 
Amesema amelazimika kuondoka kwenye chama hicho kwa kuwa hakuwa tayari kushuhudia akiendelea kutumika, kwani kwa muda mrefu amekuwa akikosoa sera na mipango ya CCM na serikali wakati ndani ya chama chao (CHADEMA) mipango na Katiba havifuatwi
Sio baada ya kushindwa uchaguzi?

Na Angeshinda je?
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Peter Msigwa nimemlaani kwa Jina la Bwana Mungu wa Israeli jambo baya litampata kwa dhihaka anayofanya.

Sisi watu wa Mungu tulimwamini akatangulia mbele ktk mapambabo ameamua kukejeli kazi ya Mungu?

Natamka kwa jina la Mungu, Mungu wa Yakobo. Msigwa Mungu atashughulika na wewe very soon
 
Msigwa ni mpumbavu sana kwanini useme sasa wakati ulikuwa sehemu ya uongozi wa Chadema?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…