Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #101
Utanyooshwa wewe uliyepinda kichwa na kubaki ukitukana watu matusi hovyo hovyo tu kama mlevi wa gongoAkina Nchimbi hawatukani anawaona wajinga, ngoja anyooshwe vizuri
Naona njaa imeingia ndani ya CHADEMA mpaka mnaanza kutafutiza pesa kwa hali na mali. Matapeli wakubwa ninyi.πππ.pesa za Join the chain mmepeleka wapi?Shenzi kabisa akajitetee mahakamani
Acha ujinga wako wewe .liongo likubwa wewe. Kwa hiyo Hapa ndio umesikia ndio wabaya mitumba kama akili yako ilivyo fubaa kama mitumba.Usilitaje bure jina la Bwana Mungu wako. Msigwa huyo siyo mtumishi kwani alipotoka SA alipewa nguo za mitumba nyingi aje awagawie bure watu wasiojiweza lakini yeye akaziuza zote,huyo ni fisadi.
Ndugu zangu Watanzania,
Hayo ni maneno ya Mtumishi wa Mungu Mheshimiwa Mchungaji peter Msigwa kada wa CCM kutokea mkoani Iringa na mbunge wa zamani wa Jimbo la Iringa Mjini.
Ambapo amesema ya kuwa yeye amemtuhumu Mwenyekiti wa chama na siyo kumtuhumu Mbowe.
View attachment 3089039
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe amtaka Mchungaji Peter Msigwa kumuomba radhi kwenye Magazeti na kulipa fidia ya Tsh. Bilioni 5 kwa kumkashifu na kumchafua jina
Ataenda kusemea mahakamani siyo mitandaoni.Ndugu zangu Watanzania,
Hayo ni maneno ya Mtumishi wa Mungu Mheshimiwa Mchungaji peter Msigwa kada wa CCM kutokea mkoani Iringa na mbunge wa zamani wa Jimbo la Iringa Mjini.
Ambapo amesema ya kuwa yeye amemtuhumu Mwenyekiti wa chama na siyo kumtuhumu Mbowe.
View attachment 3089039
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe amtaka Mchungaji Peter Msigwa kumuomba radhi kwenye Magazeti na kulipa fidia ya Tsh. Bilioni 5 kwa kumkashifu na kumchafua jina
Mabwabwa ya magufuli tulieni huyo Malaya wa kisiasa anyooshwe.Gaidi dikteta Mbowe
Akina Lucas kwenye Bendera wanawakilishwa na Jembe na kule Pwani akina Haji Manara ndio Nyundo ya kugombea mpini kwenye jembe πππππSiku izi kuna Watu wanajiona miungu ..Hasa wakisha kujipendekeza na kukaa kwenye nguo chafu za wakubwa wakawa CHAWA .
Lukas Mwashambwa naye kawa mungu mtu.
Ana uhakika wa chama chake na mamalia wake watakaa madarakani milele na milele . Kwao hakuna Mungu akipenda π€£π€£π€£π€£.
Wataingia tu porini na kupata ushindi. Nadhani huko porini kuna kura nyingi za wanyama wanazipataπ€£π€£π€£π.
Yes, ndio maana wanafukuzwa Wamasai ili wabaki wanyama ambao ndio wapigakura wao huko porini kama alivyoweka wazi DC wa Longido.
Hao Wanaamua nani aishi na nani afe.
Team Lowassa Wote siyo watukanaji na hii walifundishwa na Lowassa mwenyewe πΌAkina Nchimbi hawatukani anawaona wajinga, ngoja anyooshwe vizuri
Wewe nishakujua ni shoga naamua kukupuuza sina muda na mashoga.Nimesema matusi tukana lakini ulete majibu hapa.si ulijifanya unayafahamu matokeo yake? Uliyapatia wapi hayo matokeo? Ulikuwa unafuatilia matokeo ya watu ili upate nini ewe mshamba usiyejitambua?πππ
We lopolopo hata uDC wa Longido umeukosa?! Kwa hiyo hakuna post inakufaa hapa nchini zaidi ya uchawa?!Wewe ndiye kaa kimya na kumuacha Mtumishi wa MUNGU auseme ukweli wote ili watanzania wapate kuelewa utapeli na udalali wa CHADEMA
Hata Lowasa alikuwa hatukani kabisaTeam Lowassa Wote siyo watukanaji na hii walifundishwa na Lowassa mwenyewe πΌ
UWT mnatakiwa kuanza kampeni mapemaNaona njaa imeingia ndani ya CHADEMA mpaka mnaanza kutafutiza pesa kwa hali na mali. Matapeli wakubwa ninyi.πππ.pesa za Join the chain mmepeleka wapi?
Wasema kweli wanazidi kuongezeka uvccm Bukoba,Nape,mgombea chinjachinja Arusha, mwenyekiti uwt Lindi,DC Longido,Msigwa....ccm ni wasema kweli!Acha mtumishi wa Mungu aendelee kuongea ukweli
Nimekutukana tusi gani mjinga wewe?Utanyooshwa wewe uliyepinda kichwa na kubaki ukitukana watu matusi hovyo hovyo tu kama mlevi wa gongo
Huyo ni Dodo πΌUWT mnatakiwa kuanza kampeni mapema
Ukijipakia maulanzi yako unaanza mbwembwe zako hapa.Huyo ni Dodo πΌ
Mtumishi gani huyo njaa tupu! Anaacha kusimama madhabahuni kuhubiri injili anakuja kutukana watu kwenye majukwaa ya kisiasa. Atambue hii ni fimbo inamshukia kwa kumdhihaki MunguAcheni kuweweseka.jibuni hoja za Mtumishi wa Mungu
Embu kaa pembeni uache wenye akili Timamu na wanaojitambua wajadili hoja.Nimekutukana tusi gani mjinga wewe?
Nadhani unanitafuta muda siyo mrefu nitakushughulikiaEmbu kaa pembeni uache wenye akili Timamu na wanaojitambua wajadili hoja.
YesHuyo ni Dodo πΌ