Pre GE2025 Peter Msigwa: Nimemtuhumu Mwenyekiti wa Chama, sijamtuhumu Mbowe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Usilitaje bure jina la Bwana Mungu wako. Msigwa huyo siyo mtumishi kwani alipotoka SA alipewa nguo za mitumba nyingi aje awagawie bure watu wasiojiweza lakini yeye akaziuza zote,huyo ni fisadi.
Acha ujinga wako wewe .liongo likubwa wewe. Kwa hiyo Hapa ndio umesikia ndio wabaya mitumba kama akili yako ilivyo fubaa kama mitumba.
 

Amesahau ya Msiba na Membe. Kujitoa ufahamu kwa anili ya kujikomba kwa wakubwa zako kuna gharama zake.
Msigwa sasa asubiri kuyasema mahakamani ili akiweza kikombe kinuepuke au akinywee na huo ndiyo ukweli mengine ni kujishaua kama wanawake
 
Ataenda kusemea mahakamani siyo mitandaoni.
 
Akina Lucas kwenye Bendera wanawakilishwa na Jembe na kule Pwani akina Haji Manara ndio Nyundo ya kugombea mpini kwenye jembe πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nimesema matusi tukana lakini ulete majibu hapa.si ulijifanya unayafahamu matokeo yake? Uliyapatia wapi hayo matokeo? Ulikuwa unafuatilia matokeo ya watu ili upate nini ewe mshamba usiyejitambua?πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Wewe nishakujua ni shoga naamua kukupuuza sina muda na mashoga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…