Tetesi: PhD aliyopewa Mwigulu Nchemba ipo kwenye hati hati ya kufutwa

Tetesi: PhD aliyopewa Mwigulu Nchemba ipo kwenye hati hati ya kufutwa


Mimi PhD ya Jafo ni Mungu tu anisamehe.

Hawa watu walikuwa mawaziri enzi ya Magufuli, Magufuli yule aliyetaka muda wote watu wafanye kazi. Walipata wapi muda wa kufanyia kazi hizo PhD?

Elimu za watu waliosoma baada ya kuwa viongozi zina mashaka makubwa sana.
Vilaza wengi sana katika kundi tajwa
 

Mimi PhD ya Jafo ni Mungu tu anisamehe.

Hawa watu walikuwa mawaziri enzi ya Magufuli, Magufuli yule aliyetaka muda wote watu wafanye kazi. Walipata wapi muda wa kufanyia kazi hizo PhD?

Elimu za watu waliosoma baada ya kuwa viongozi zina mashaka makubwa sana.
 

Attachments

  • 3F992089-D420-4B6F-BFC6-A59B36DC678D.jpeg
    3F992089-D420-4B6F-BFC6-A59B36DC678D.jpeg
    35.1 KB · Views: 4
Aisee! Kumbe kuna watu wana PhD za mchongo? Kama ni ya mchongo ifutwe tu. Na afikishwe kwenye vyombo vya sheria kwa kufanya udanganyifu huku akiwa kiongozi wa umma. Na huo uongozi aliopewa nao ufutwe!😡😡😡😡😡😡
 
Vilaza wengi sana katika kundi tajwa
Ukihoji wanadhani unaona wivu, ila ukweli utabaki kuwa ukweli tu.

Kwenye hizi taasisi zetu za elimu sasa hivi utateseka na kupata cheti kihalali kama huna pesa tu.

Jafo huyu huyu aliyekuwa waziri wa TAMISEMI chini ya JPM mtu wa kazi, alipata wapi muda wa kusoma na kuandaa andiko na hatukuwahi muona likizo?

 
Hata yeye si alipata yake akiwa waziri? Kundi lile lile la WhatsApp, tofauti ni maadmin tu.
Kabisa.

Ila ilipohojiwa mlango wa kuzimu ulifunguka na Shetani akatuma malaika wake kuitikisa Mbingu, lakini UKUU WA MUNGU UKATAMALAKI na Mwanamapinduzi akapokelewa na hatia yake imebaki mioyoni na mikononi mwao.
 

Mimi PhD ya Jafo ni Mungu tu anisamehe.

Hawa watu walikuwa mawaziri enzi ya Magufuli, Magufuli yule aliyetaka muda wote watu wafanye kazi. Walipata wapi muda wa kufanyia kazi hizo PhD?

Elimu za watu waliosoma baada ya kuwa viongozi zina mashaka makubwa sana.
Ndio maana Viongozi wa pale Ufipa st hawatakagi Ujinga mfano Tundu Antipas Lisu hataki PhD ya .mchongoma
 
Bora apunguzwe speed ya kuwania uraisi maana kama figisu basi Mzee wa msoga ni master na mwigulu asifikirie kupata uraisi kama Mzee wa msoga atakuwa hai
 
Tumelalamika muda mrefu kuwa kuna PhD zinatolewa kwa baadhi ya wanasiasa wa Tanzania, kama njungu kupitia vyuo vikuu vya Tanzania

Kuna tetesi kuwa East Africa university quality assurance wanatarajia kuifuta PhD ya Mwigulu Nchemba baada ya kuonekana kukopy andiko la mtu mwingine.

Vyanzo vyetu pia vimefuatilia Phd ya Mh. Suleman Jafo nayo ipo matatani kufutwa.

Kwa kauli hii kaeni mkao wa kufuatilia yanayojiri na kwa sasa amepiga kimya kama mtu aliyefiwa na wazazi .
Hahahahahaha urais
 
Back
Top Bottom