Tetesi: PhD aliyopewa Mwigulu Nchemba ipo kwenye hati hati ya kufutwa

Tetesi: PhD aliyopewa Mwigulu Nchemba ipo kwenye hati hati ya kufutwa

Tumelalamika muda mrefu kuwa kuna PhD zinatolewa kwa baadhi ya wanasiasa wa Tanzania, kama njungu kupitia vyuo vikuu vya Tanzania

Kuna tetesi kuwa East Africa university quality assurance wanatarajia kuifuta PhD ya Mwigulu Nchemba baada ya kuonekana kukopy andiko la mtu mwingine.

Vyanzo vyetu pia vimefuatilia Phd ya Mh. Suleman Jafo nayo ipo matatani kufutwa.

Kwa kauli hii kaeni mkao wa kufuatilia yanayojiri na kwa sasa amepiga kimya kama mtu aliyefiwa na wazazi .
Hii habari umeiokota wapi, nasi tukachimbue zaidi huko kwenye chanzo?
 
Tumelalamika muda mrefu kuwa kuna PhD zinatolewa kwa baadhi ya wanasiasa wa Tanzania, kama njungu kupitia vyuo vikuu vya Tanzania

Kuna tetesi kuwa East Africa university quality assurance wanatarajia kuifuta PhD ya Mwigulu Nchemba baada ya kuonekana kukopy andiko la mtu mwingine.

Vyanzo vyetu pia vimefuatilia Phd ya Mh. Suleman Jafo nayo ipo matatani kufutwa.

Kwa kauli hii kaeni mkao wa kufuatilia yanayojiri na kwa sasa amepiga kimya kama mtu aliyefiwa na wazazi .
Sio Afrika hii achilia mbali Tanganyika.... imeisha hiyooooo!!
 
Hii habari umeiokota wapi, nasi tukachimbue zaidi huko kwenye chanzo?
The Inter-University Council for East Africa (IUCEA) .
IUCEA is a strategic institution of the East African
Community (EAC) responsible for coordinating the development of higher education and
research in the region.
 
The Inter-University Council for East Africa (IUCEA) .
IUCEA is a strategic institution of the East African
Community (EAC) responsible for coordinating the development of higher education and
research in the region.
Shukrani kwa taarifa hii mkuu 'peno'.
 

Mimi PhD ya Jafo ni Mungu tu anisamehe.

Hawa watu walikuwa mawaziri enzi ya Magufuli, Magufuli yule aliyetaka muda wote watu wafanye kazi. Walipata wapi muda wa kufanyia kazi hizo PhD?

Elimu za watu waliosoma baada ya kuwa viongozi zina mashaka makubwa sana.
Kwahiyo unamaanisha viongozi wasisome au??
 
Ndio maana huko shuleni mnapata masifuri, hata kusoma kitu na kukielewa tu ni kazi.
Mkuu unapoleta thread usiwe na majibu yako mfukoni.

Wewe jibu swali accordingly, mi nimekuuliza maana inaonekana kama kuna hujuma ya baadhi ya viongozi walishapata vyeo na madaraka na hatimae kupata bumbaring PhDs

Sasa nimeuliza hii inamaanisha wakiwa viongozi wasidahiriwe kusoma hizo PhD?? Ndio msingi wa swali langu

Sasa wewe unakuja ety masifuri kwani nani amekwambia kuwa wewe umefaulu si wale wale waliotuambia sisi umepata masifuri ma ndio wanawaaward hawa viongozi PhD?

Mkuu acha kiburi hivyo vihela vyako vitaisha waulize MAKARANI wa sensa
Ndio maana huko shuleni mnapata masifuri, hata kusoma kitu na kukielewa tu ni kazi.
 
Tumelalamika muda mrefu kuwa kuna PhD zinatolewa kwa baadhi ya wanasiasa wa Tanzania, kama njungu kupitia vyuo vikuu vya Tanzania

Kuna tetesi kuwa East Africa university quality assurance wanatarajia kuifuta PhD ya Mwigulu Nchemba baada ya kuonekana kukopy andiko la mtu mwingine.

Vyanzo vyetu pia vimefuatilia Phd ya Mh. Suleman Jafo nayo ipo matatani kufutwa.

Kwa kauli hii kaeni mkao wa kufuatilia yanayojiri na kwa sasa amepiga kimya kama mtu aliyefiwa na wazazi .
Kuna tetesi kuwa East Africa university quality assurance wanatarajia kuifuta PhD ya Mwigulu Nchemba baada ya kuonekana kukopy andiko la mtu mwingine.
Sawa zimeanza kukata
 
Mkuu unapoleta thread usiwe na majibu yako mfukoni.

Wewe jibu swali accordingly, mi nimekuuliza maana inaonekana kama kuna hujuma ya baadhi ya viongozi walishapata vyeo na madaraka na hatimae kupata bumbaring PhDs

Sasa nimeuliza hii inamaanisha wakiwa viongozi wasidahiriwe kusoma hizo PhD?? Ndio msingi wa swali langu

Sasa wewe unakuja ety masifuri kwani nani amekwambia kuwa wewe umefaulu si wale wale waliotuambia sisi umepata masifuri ma ndio wanawaaward hawa viongozi PhD?

Mkuu acha kiburi hivyo vihela vyako vitaisha waulize MAKARANI wa sensa
Hahaha, nisamehe mimi mkuu.

Suluhisho hapa ni kuacha ujanja ujanja, sio viongozi tu ambao hufanya huu ujanja ujanja. Watu wengi wanaotaka vyeti tu ili wapande vyeo au waheshimiwe huwa wanaenda vyuoni kujifanya wanasoma kumbe ni zuga tu.

Pia, wakufunzi waheshimu taaluma zao na waache tamaa ya pesa. Maadili ya kazi ni muhimu sana.

Naendelea kuomba radhi pale nilipokukwaza!
 
Ndio sababu bara la Africa litazidi kuwa masikini kwa mambo ya blaaaablaaa kama haya.
 
Back
Top Bottom