Tetesi: PhD aliyopewa Mwigulu Nchemba ipo kwenye hati hati ya kufutwa

Tetesi: PhD aliyopewa Mwigulu Nchemba ipo kwenye hati hati ya kufutwa

Hahaha, nisamehe mimi mkuu.

Suluhisho hapa ni kuacha ujanja ujanja, sio viongozi tu ambao hufanya huu ujanja ujanja. Watu wengi wanaotaka vyeti tu ili wapande vyeo au waheshimiwe huwa wanaenda vyuoni kujifanya wanasoma kumbe ni zuga tu.

Pia, wakufunzi waheshimu taaluma zao na waache tamaa ya pesa. Maadili ya kazi ni muhimu sana.

Naendelea kuomba radhi pale nilipokukwaza!
Mzee tunarudi Kule kule kwa shule ya sheria
Inabidi mpaka uwepo hizi PhD zikiwa hivi basi udahili wao uchunguzwe au kuwe na pannel zao maalumu kureview asters na PhDs wasiwe hawa lecturers wetu wanaowinda fursa
Inaweza kusaidia
 
Tumelalamika muda mrefu kuwa kuna PhD zinatolewa kwa baadhi ya wanasiasa wa Tanzania, kama njungu kupitia vyuo vikuu vya Tanzania

Kuna tetesi kuwa East Africa university quality assurance wanatarajia kuifuta PhD ya Mwigulu Nchemba baada ya kuonekana kukopy andiko la mtu mwingine.

Vyanzo vyetu pia vimefuatilia Phd ya Mh. Suleman Jafo nayo ipo matatani kufutwa.

Kwa kauli hii kaeni mkao wa kufuatilia yanayojiri na kwa sasa amepiga kimya kama mtu aliyefiwa na wazazi .
Vyanzo vyetu pia vimefuatilia Phd ya Mh. Suleman Jafo nayo ipo matatani kufutwa.
 
PhD sio ulimi kila mtu awe nao.

Wengine mmepangiwa kuishia degree, kuwa na kiasi ni tabia ya kimungu, mambo mengine ni kudhalilisha taaluma na ukoo wake kwa ujumla
 
Tumelalamika muda mrefu kuwa kuna PhD zinatolewa kwa baadhi ya wanasiasa wa Tanzania, kama njungu kupitia vyuo vikuu vya Tanzania

Kuna tetesi kuwa East Africa university quality assurance wanatarajia kuifuta PhD ya Mwigulu Nchemba baada ya kuonekana kukopy andiko la mtu mwingine.

Vyanzo vyetu pia vimefuatilia Phd ya Mh. Suleman Jafo nayo ipo matatani kufutwa.

Kwa kauli hii kaeni mkao wa kufuatilia yanayojiri na kwa sasa amepiga kimya kama mtu aliyefiwa na wazazi .
 

Attachments

Ulishawahi kumsikia Mwigulu anaongea lugha pendwa ya malikia kiinglish?? Aiseeeee Ni jangaaa sijuhi wakienda ulaya wazungu wanatuonaje??
 
Maprofesa na madokta wa zungu hata akiwa na PhD atapenda tu umuite kwà jina lake ila huku kwetu aspirants wa kisiasa na wahadhiri wetu wanataka uanze na Dr fulani stupid kabisa.
 
Ni ulimbukeni tu
Maprofesa na madokta wa zungu hata akiwa na PhD atapenda tu umuite kwà jina lake ila huku kwetu aspirants wa kisiasa na wahadhiri wetu wanataka uanze na Dr fulani stupid kabisa.
 
Tumelalamika muda mrefu kuwa kuna PhD zinatolewa kwa baadhi ya wanasiasa wa Tanzania, kama njungu kupitia vyuo vikuu vya Tanzania

Kuna tetesi kuwa East Africa university quality assurance wanatarajia kuifuta PhD ya Mwigulu Nchemba baada ya kuonekana kukopy andiko la mtu mwingine.

Vyanzo vyetu pia vimefuatilia Phd ya Mh. Suleman Jafo nayo ipo matatani kufutwa.

Kwa kauli hii kaeni mkao wa kufuatilia yanayojiri na kwa sasa amepiga kimya kama mtu aliyefiwa na wazazi .
TUNAOMBA MTUJUZE tumetoka VYETI FAKE sasa PHD FAKE
 
Tumelalamika muda mrefu kuwa kuna PhD zinatolewa kwa baadhi ya wanasiasa wa Tanzania, kama njungu kupitia vyuo vikuu vya Tanzania

Kuna tetesi kuwa East Africa university quality assurance wanatarajia kuifuta PhD ya Mwigulu Nchemba baada ya kuonekana kukopy andiko la mtu mwingine.

Vyanzo vyetu pia vimefuatilia Phd ya Mh. Suleman Jafo nayo ipo matatani kufutwa.

Kwa kauli hii kaeni mkao wa kufuatilia yanayojiri na kwa sasa amepiga kimya kama mtu aliyefiwa na wazazi .
Maskini Rais wa Miamba
 
The Inter-University Council for East Africa (IUCEA) .
IUCEA is a strategic institution of the East African
Community (EAC) responsible for coordinating the development of higher education and
research in the region.
Kimenuka !!
 
Back
Top Bottom