TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Naunga Mkono hoja!Hii habari umeiokota wapi, nasi tukachimbue zaidi huko kwenye chanzo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga Mkono hoja!Hii habari umeiokota wapi, nasi tukachimbue zaidi huko kwenye chanzo?
Utakuwa mmoja wao Le profeseriSi kweli!
Kuna na yule wa Bukombe Waziri anaitwa Biteko naye ana PhD
Mimi PhD ya Jafo ni Mungu tu anisamehe.
Hawa watu walikuwa mawaziri enzi ya Magufuli, Magufuli yule aliyetaka muda wote watu wafanye kazi. Walipata wapi muda wa kufanyia kazi hizo PhD?
Elimu za watu waliosoma baada ya kuwa viongozi zina mashaka makubwa sana.
We jamaaa unatatizo sana ....hawezi Jenga hoja zako bila chadema!!?? Kama vile wamkuchukulia mke....Burundi?
Tatizo siyo PhD bali Urais
Mbona PhD ya Slaa ilisifiwa sana Chadema?!
Hivi hawa akina Jafo na Mwigulu Nchemba walitunukiwa hizo PhD na chuo/vyuo gani?!Kuna tetesi kuwa East Africa university quality assurance wanatarajia kuifuta PhD ya Mwigulu Nchemba baada ya kuonekana kukopy andiko la mtu mwingine.
Vyanzo vyetu pia vimefuatilia Phd ya Mh. Suleman Jafo nayo ipo matatani kufutwa.
Kuna kipindi flani Kuna jamaa alitoaga kitabu kikielezea viongozi wote waliopata madigriii na PhD ya michongo ...alikamatwa na kitabu kikapigwa marufuku badala ya kumjibu hoja zake. Hata ya Mwendazake ilikuwa ya mchongo..bongo nyosoAisee! Kumbe kuna watu wana PhD za mchongo? Kama ni ya mchongo ifutwe tu. Na afikishwe kwenye vyombo vya sheria kwa kufanya udanganyifu huku akiwa kiongozi wa umma. Na huo uongozi aliopewa nao ufutwe!😡😡😡😡😡😡
Atajua hajui; naunga mkono digrii zote za chupi zifutwe, wanatuchosha sana hawa umbwa!Tumelalamika muda mrefu kuwa kuna PhD zinatolewa kwa baadhi ya wanasiasa wa Tanzania, kama njungu kupitia vyuo vikuu vya Tanzania
Kuna tetesi kuwa East Africa university quality assurance wanatarajia kuifuta PhD ya Mwigulu Nchemba baada ya kuonekana kukopy andiko la mtu mwingine.
Vyanzo vyetu pia vimefuatilia Phd ya Mh. Suleman Jafo nayo ipo matatani kufutwa.
Kwa kauli hii kaeni mkao wa kufuatilia yanayojiri na kwa sasa amepiga kimya kama mtu aliyefiwa na wazazi .
Walikuwa wapi wakati wa Phd ya mwendawazimu wa Chato?Tumelalamika muda mrefu kuwa kuna PhD zinatolewa kwa baadhi ya wanasiasa wa Tanzania, kama njungu kupitia vyuo vikuu vya Tanzania
Kuna tetesi kuwa East Africa university quality assurance wanatarajia kuifuta PhD ya Mwigulu Nchemba baada ya kuonekana kukopy andiko la mtu mwingine.
Vyanzo vyetu pia vimefuatilia Phd ya Mh. Suleman Jafo nayo ipo matatani kufutwa.
Kwa kauli hii kaeni mkao wa kufuatilia yanayojiri na kwa sasa amepiga kimya kama mtu aliyefiwa na wazazi .
Hao wote walifanya kitu mbaya elimu yetuTumelalamika muda mrefu kuwa kuna PhD zinatolewa kwa baadhi ya wanasiasa wa Tanzania, kama njungu kupitia vyuo vikuu vya Tanzania
Kuna tetesi kuwa East Africa university quality assurance wanatarajia kuifuta PhD ya Mwigulu Nchemba baada ya kuonekana kukopy andiko la mtu mwingine.
Vyanzo vyetu pia vimefuatilia Phd ya Mh. Suleman Jafo nayo ipo matatani kufutwa.
Kwa kauli hii kaeni mkao wa kufuatilia yanayojiri na kwa sasa amepiga kimya kama mtu aliyefiwa na wazazi .
Wewe uwe unakaa pembeni wenzio wakiwa wanaongea PhD, unajua maana ya kukopi andiko hii ni stage ya mbali sana kwakoNoma ya nini?
Wewe ndio mbwiga kweli unayedhani kuna kitu kipya Hapa duniani!Wewe uwe unakaa pembeni wenzio wakiwa wanaongea PhD, unajua maana ya kukopi andiko hii ni stage ya mbali sana kwako
Phd ya ukweli ni serious business... mtu anayefanya uwaziri na PHD kwa wakati mmoja inabidi aseme, kati ya uwaziri na PHD kipi alikuwa anakitumikia.
Acha ujinga na ka PhD kako! Umasikini siyo sifa! Kujiita mtoto wa masikini ni ujinga kiasi cha SGR.😝😝😝 Hizo PhD watuachie sisi watoto wa maskini huwa tunazichukua tu
phd ya jiwe ilihojiwa na Ben Sanane ikamgharimu kifo. hata hivyo aliyetoa amri Ben auawe naye akafaUkihoji wanadhani unaona wivu, ila ukweli utabaki kuwa ukweli tu.
Kwenye hizi taasisi zetu za elimu sasa hivi utateseka na kupata cheti kihalali kama huna pesa tu.
Jafo huyu huyu aliyekuwa waziri wa TAMISEMI chini ya JPM mtu wa kazi, alipata wapi muda wa kusoma na kuandaa andiko na hatukuwahi muona likizo?
Acha ujinga na ka PhD
Hatuna Fedha za kuhonga mpuuzi wewe wa kiwango cha Royal tour.Acha ujinga na ka PhD kako! Umasikini siyo sifa! Kujiita mtoto wa masikini ni ujinga kiasi cha SGR.
Hata bachelor ukiifanya kwa usahihi, huwezi pia kuwa mbunge, waziri na baba wa familia at the same time; tumepigwa pale.Kila nkifikiria PHD inavokula mda then uwe waziri wa Magufuli!!!!