BABA Dillish
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 2,362
- 3,252
Vilaza wengi sana katika kundi tajwa
Mimi PhD ya Jafo ni Mungu tu anisamehe.
Hawa watu walikuwa mawaziri enzi ya Magufuli, Magufuli yule aliyetaka muda wote watu wafanye kazi. Walipata wapi muda wa kufanyia kazi hizo PhD?
Elimu za watu waliosoma baada ya kuwa viongozi zina mashaka makubwa sana.
Mimi PhD ya Jafo ni Mungu tu anisamehe.
Hawa watu walikuwa mawaziri enzi ya Magufuli, Magufuli yule aliyetaka muda wote watu wafanye kazi. Walipata wapi muda wa kufanyia kazi hizo PhD?
Elimu za watu waliosoma baada ya kuwa viongozi zina mashaka makubwa sana.
Burundi?
PhD ya Jafo Nayo inafutwa soon.Vilaza wengi sana katika kundi tajwa
Jaffa PhD kaichukuaje ?Nashangaa sana😝😝😝😝😝😝😝PhD ya Jafo Nayo inafutwa soon.
Vilaza wengi sana katika kundi tajwa
Nani alikuwa mtu wa Kazi.
Sema ya Magufuli ilipohojiwa, Dunia ikatiwa Giza mbinguni wakampokea mwana Mapinduzi mtu wa Mungu.
Kabisa.Hata yeye si alipata yake akiwa waziri? Kundi lile lile la WhatsApp, tofauti ni maadmin tu.
Ni dokita ndiyo.Eti mwigulu nae ni doctor of philosophy, hahahahah
Ndio kazi yenu hiyo Nyie tagazi na chawazi wote kuwa na elimu ya kubumba...Kukariri PhD
So jamaa anautaka urais? Hivi hawa watu hawajifunzi kwamba ukikitaka kitu kupita kiasi mara zote hukipati? Hata demu ukimwonyesha unamtaka sana anakudiss.Burundi?
Tatizo siyo PhD bali Urais
Mbona PhD ya Slaa ilisifiwa sana Chadema?!
Ndio maana Viongozi wa pale Ufipa st hawatakagi Ujinga mfano Tundu Antipas Lisu hataki PhD ya .mchongoma
Mimi PhD ya Jafo ni Mungu tu anisamehe.
Hawa watu walikuwa mawaziri enzi ya Magufuli, Magufuli yule aliyetaka muda wote watu wafanye kazi. Walipata wapi muda wa kufanyia kazi hizo PhD?
Elimu za watu waliosoma baada ya kuwa viongozi zina mashaka makubwa sana.
Tena tumechoka kweri kweri !! Lakini Karma itatenda !!Du hii ni hatari xn tutafika mbinguni tukiwa tumechoka
Hahahahahaha uraisTumelalamika muda mrefu kuwa kuna PhD zinatolewa kwa baadhi ya wanasiasa wa Tanzania, kama njungu kupitia vyuo vikuu vya Tanzania
Kuna tetesi kuwa East Africa university quality assurance wanatarajia kuifuta PhD ya Mwigulu Nchemba baada ya kuonekana kukopy andiko la mtu mwingine.
Vyanzo vyetu pia vimefuatilia Phd ya Mh. Suleman Jafo nayo ipo matatani kufutwa.
Kwa kauli hii kaeni mkao wa kufuatilia yanayojiri na kwa sasa amepiga kimya kama mtu aliyefiwa na wazazi .