The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Wakati wewe unawaza PhD ya Mwigulu kufutwa, taasisi za economic rating zinamsifu kwa kudhibiti mfumuko wa bei kuwa chini ya 6% Kinyume kabisa na Nchi nyingi za Afrika na Dunia..Tumelalamika muda mrefu kuwa kuna PhD zinatolewa kwa baadhi ya wanasiasa wa Tanzania, kama njungu kupitia vyuo vikuu vya Tanzania
Kuna tetesi kuwa East Africa university quality assurance wanatarajia kuifuta PhD ya Mwigulu Nchemba baada ya kuonekana kukopy andiko la mtu mwingine.
Vyanzo vyetu pia vimefuatilia Phd ya Mh. Suleman Jafo nayo ipo matatani kufutwa.
Kwa kauli hii kaeni mkao wa kufuatilia yanayojiri na kwa sasa amepiga kimya kama mtu aliyefiwa na wazazi .
Wakati wewe unawaza PhD ya Mwigulu kufutwa, taasisi za economic rating zinamsifu kwa kudhibiti mfumuko wa bei kuwa chini ya 6% Kinyume kabisa na Nchi nyingi za Afrika na Dunia..
So tatizo sio PhD tatizo ni kuwa intelligent
Na ikitokea zikafutwa kweli kwasababu ya wavimba macho wa JF basi mimi Mtoto wa Shule nitatangaza kuondoka JF nirudi shuleni kusoma.Tumelalamika muda mrefu kuwa kuna PhD zinatolewa kwa baadhi ya wanasiasa wa Tanzania, kama njungu kupitia vyuo vikuu vya Tanzania
Kuna tetesi kuwa East Africa university quality assurance wanatarajia kuifuta PhD ya Mwigulu Nchemba baada ya kuonekana kukopy andiko la mtu mwingine.
Vyanzo vyetu pia vimefuatilia Phd ya Mh. Suleman Jafo nayo ipo matatani kufutwa.
Kwa kauli hii kaeni mkao wa kufuatilia yanayojiri na kwa sasa amepiga kimya kama mtu aliyefiwa na wazazi .
Mkuu hapa unatupiga kamba, Mwigulu PhD yake ni ya udsm hivyo anaeweza kuifuta degree hiyo ni senate ya udsm FULLSTOP. Mengine yote ni hadithi za abunuwasi.Tumelalamika muda mrefu kuwa kuna PhD zinatolewa kwa baadhi ya wanasiasa wa Tanzania, kama njungu kupitia vyuo vikuu vya Tanzania
Kuna tetesi kuwa East Africa university quality assurance wanatarajia kuifuta PhD ya Mwigulu Nchemba baada ya kuonekana kukopy andiko la mtu mwingine.
Vyanzo vyetu pia vimefuatilia Phd ya Mh. Suleman Jafo nayo ipo matatani kufutwa.
Kwa kauli hii kaeni mkao wa kufuatilia yanayojiri na kwa sasa amepiga kimya kama mtu aliyefiwa na wazazi .
Kuwa mpole, inafutwa mkuuMkuu hapa unatupiga kamba, Mwigulu PhD yake ni ya udsm hivyo anaeweza kuifuta degree hiyo ni senate ya udsm FULLSTOP. Mengine yote ni hadithi za abunuwasi.
Kufutwa inaweza kufutwa lakini sio na hao ulio wataja.Kuwa mpole, inafutwa mkuu
Quality assurance ndio wameliibua sasa limeshapelekwa senate ya chuo kikuu cha Dar kwa ajili ya kufutwa rasmi.Kufutwa inaweza kufutwa lakini sio na hao ulio wataja.
Kama limepelekwa senate ya udsm ni sawa wao ndio watachunguza ili kuthibitisha kama ni kweli na kufanya maamuzi.Quality assurance ndio wameliibua sasa limeshapelekwa senate ya chuo kikuu cha Dar kwa ajili ya kufutwa rasmi.
Ili ujue jambo hili ni kweli UDSM wakanushe au Nchemba akamushe.
Hili jambo ni kweli na nimelitoa strong room
Ningetamba sana. Ha ha hahahaha haaaa!Utakuwa mmoja wao Le profeseri
Kama ndivyo sisi wengine itabidi tutangulie jehanamu ambako kutakuwa opposite ya hapa tulipo.Aloo, huenda hapa tulipo ndiyo mbinguni kwenyewe; huwezi jua!
Jafo na Wanawake zake 4 anapata wapi muda aa kusoma..... Hii Nchi imejaa Usanii sanaTumelalamika muda mrefu kuwa kuna PhD zinatolewa kwa baadhi ya wanasiasa wa Tanzania, kama njungu kupitia vyuo vikuu vya Tanzania
Kuna tetesi kuwa East Africa university quality assurance wanatarajia kuifuta PhD ya Mwigulu Nchemba baada ya kuonekana kukopy andiko la mtu mwingine.
Vyanzo vyetu pia vimefuatilia Phd ya Mh. Suleman Jafo nayo ipo matatani kufutwa.
Kwa kauli hii kaeni mkao wa kufuatilia yanayojiri na kwa sasa amepiga kimya kama mtu aliyefiwa na wazazi .
kwahiyo wewe nae kwa akili zako unaona madelu ni intelligent?? Basi utakua umezungukwa na mandezi maisha yako yote kiasi kwamba hujui mtu intelligent yukojeWakati wewe unawaza PhD ya Mwigulu kufutwa, taasisi za economic rating zinamsifu kwa kudhibiti mfumuko wa bei kuwa chini ya 6% Kinyume kabisa na Nchi nyingi za Afrika na Dunia..
So tatizo sio PhD tatizo ni kuwa intelligent
PhD inawaza tozo uifananishe na ya Dr slaa jamaa enzi hizo anajua kuwazaBurundi?
Tatizo siyo PhD bali Urais
Mbona PhD ya Slaa ilisifiwa sana Chadema?!
Phd ya slaa haina utata,Burundi?
Tatizo siyo PhD bali Urais
Mbona PhD ya Slaa ilisifiwa sana Chadema?!
ππ Bravoπππ Hizo PhD watuachie sisi watoto wa maskini huwa tunazichukua tu
πMkuu Ongeza muda wa kulala strong room ili uniletee mengi. Mtu primary anasoma kama Lameck, sekondari ni Mwigulu lazima kuna kitu uhakiki Sawa mahali. Ni Sawa na Bashite aliyepata 0 Form IV leo hii ni graduate wa MUCCOBS.Quality assurance ndio wameliibua sasa limeshapelekwa senate ya chuo kikuu cha Dar kwa ajili ya kufutwa rasmi.
Ili ujue jambo hili ni kweli UDSM wakanushe au Nchemba akamushe.
Hili jambo ni kweli na nimelitoa strong room
kwani slaa ana Phd ya kupewa?alipewa na nani?hakuna askofu aliyepewa degree za magumashi hizo ziko ccm tu.Burundi?
Tatizo siyo PhD bali Urais
Mbona PhD ya Slaa ilisifiwa sana Chadema?!