Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Umewaza niniš¤£
Nimewaza kwamba sio kweli ukifika umri fulani jambo fulani linatakiwa kuwa tayari
Maisha hayana formula...na haiwezekani kila mtu apite mule mule alipopitia mwingine
Hata mleta mada analijua hilo lakini ameamua kukaza fuvu tu