Umewaza nini🤣
Na bado unajiita tajiriMina 32 sina mke sina mtoto sina maisha yaani sina kila kitu. Maisha haya nyoso sana
Nimechungulia joined yake nkakuta 2009Na bado unajiita tajiri
Safi, ameamua kuchangamsha serverNimewaza kwamba sio kweli ukifika umri fulani jambo fulani linatakiwa kuwa tayari
Maisha hayana formula...na haiwezekani kila mtu apite mule mule alipopitia mwingine
Hata mleta mada analijua hilo lakini ameamua kukaza fuvu tu
Yani katika mambo aliyofanikiwa so far ni kua member wa JF tu.Nimechungulia joined yake nkakuta 2009
2014Nimechungulia joined yake nkakuta 2009
Msosi ni endelevuMuda wako utafika utakinai mwenyewe
Nitakupa story ndogo kuna kipindi nilikua nalalamika Sina chakula nikachukuliwa nikapelekwa sehemu usiku unapewa kila chakula unachotaka wewe lakini nimwambie hicho chakula sharti ni moja Kula hapohapo tu hakuna kuondoka nacho kwa hio unajikuta umekula sana Sahani mbili tu ninaposema kila chakula namaanisha kila chakula unafika muda unakinai kabisa yaan mahotpot unabaki kuyaangalia tu hivi unachagua chakula kingine unaacha
Moral of the story:
Maana yake ni kwamba kuna muda utafika wewe utapewa kila kitu unachokitaka na urafi wako wa kutaka kila kitu mpaka utakinai mwenyewe na utataka kugawa Ila sharti lingine hauruhusiwi kugawa hicho chakula ni cha kwako TU na usimpe mtu mwingine yeyote kwa hio inafika wakati watu wenye njaa wanakuja kuomba uwape Ila ukikumbuka sharti ulilopewa unaishia kusema huna chakula na ilihali wanakiona chakula kile pale na hauwapi
Atapewa na nani kwa kila anachokitaka?Muda wako utafika utakinai mwenyewe
Nitakupa story ndogo
Kuna kipindi nilikua nalalamika Sina chakula nikachukuliwa nikapelekwa sehemu usiku unapewa kila chakula unachotaka wewe lakini nimwambie hicho chakula sharti ni moja Kula hapohapo tu hakuna kuondoka nacho kwa hio unajikuta umekula sana Sahani mbili tu ninaposema kila chakula namaanisha kila chakula unafika muda unakinai kabisa yaan mahotpot unabaki kuyaangalia tu hivi unachagua chakula kingine unaacha
Moral of the story:
Maana yake ni kwamba kuna muda utafika wewe utapewa kila kitu unachokitaka na urafi wako wa kutaka kila kitu mpaka utakinai mwenyewe na utataka kugawa Ila sharti lingine hauruhusiwi kugawa hicho chakula ni cha kwako TU na usimpe mtu mwingine yeyote kwa hio inafika wakati watu wenye njaa wanakuja kuomba uwape Ila ukikumbuka sharti ulilopewa unaishia kusema huna chakula na ilihali wanakiona chakula kile pale na hauwapi
Haujui we Zombie endelea kuuliza Jibu utalipataAtapewa na nani kwa kila anachokitaka?
Kila siku ni New Menu ushindwe wewe tu Ila usikiuke Masharti uliyopewa ukikiuka unatimuliwa maana yake hutopata tena kile ulichokipataMsosi ni endelevu
Dooo nini hio mkuu, pesa za masharti ama? Mkuu life ni utapeli sana. Kuna muda unafika unajitafakari hadi unasema au mm niliumbwa kuwa mfano wa watu wengine? Nitumike wajifunze kupitia mimi wafanikiwe?Muda wako utafika utakinai mwenyewe
Nitakupa story ndogo
Kuna kipindi nilikua nalalamika Sina chakula nikachukuliwa nikapelekwa sehemu usiku unapewa kila chakula unachotaka wewe lakini nimwambie hicho chakula sharti ni moja Kula hapohapo tu hakuna kuondoka nacho kwa hio unajikuta umekula sana Sahani mbili tu ninaposema kila chakula namaanisha kila chakula unafika muda unakinai kabisa yaan mahotpot unabaki kuyaangalia tu hivi unachagua chakula kingine unaacha
Moral of the story:
Maana yake ni kwamba kuna muda utafika wewe utapewa kila kitu unachokitaka na urafi wako wa kutaka kila kitu mpaka utakinai mwenyewe na utataka kugawa Ila sharti lingine hauruhusiwi kugawa hicho chakula ni cha kwako TU na usimpe mtu mwingine yeyote kwa hio inafika wakati watu wenye njaa wanakuja kuomba uwape Ila ukikumbuka sharti ulilopewa unaishia kusema huna chakula na ilihali wanakiona chakula kile pale na hauwapi
😁Yani katika mambo aliyofanikiwa so far ni kua member wa JF tu.
😀
Maisha yana kanuni zake ili ufanikiwe wewe unatumia kanuni zipi?Dooo nini hio mkuu, pesa za masharti ama? Mkuu life ni utapeli sana. Kuna muda unafika unajitafakari hadi unasema au mm niliumbwa kuwa mfano wa watu wengine? Nitumike wajifunze kupitia mimi wafanikiwe?
Mkuu 32yrs sina ramani ya maisha. Sina mpenzi wa kusema nikijipata kesho namuoa😂 alooo sio poa. Kuna muda unawaangalia wana wanavyo ishiblife poaa unasema haya bana labda yangu bado.
Weka wachezaji wenzie, Harmonize na 4deni ni tasnia tofauti.hata bongo wapo watu wengi vipaji vimewabeba. wana umri mdogo na kipato wanacho ila bado ni wagumu kuoa. mfano Ray Vanny, Harmonize, Hasheem Thabeet na wengineo
Sasa si ndio maana nikakuuliza wewe unayejua unijulishe? Mbona unaanza kutupa ngumi kama vile umeshikwa trako? Huo upumbavu wa kuitana Zombie nenda kamuite Mamako hivyo atafurahi tu.Haujui we Zombie endelea kuuliza Jibu utalipata
Mkuu wewe unaongelea utajiri, mimi naongelea mafanikio basic needs. Hizo kanuni nadhani unamaanisha matajiri. Ila kuna hawa wana labda umeaoma nao tu wanaishi life la kawaida sio la utajiri ila la kupata anachokitaka. Mfani kwenye circle yako ya wana wengi unakuta mlisoma wote, wao wametatavkazi mzuri zenye maslahi, halafu wewe huna hata hakika ya kupokea mwisho wa mweziMaisha yana kanuni zake ili ufanikiwe wewe unatumia kanuni zipi?
Angalia tajiri iliyokuua mentioned2014