Phil Foden ana miaka 23 tayari ana mke na ana watoto wawili , Wewe una miaka 28 bado upo kwenu huna mke wala mume unasema bado mdogo

Mkuu Mimi SIO mtu wa fujo Ila ukiniletea hisia zako za kifujofujo nitakupelekea najua jinsi ya kupigana na Nguruwe bila kuchafuka kwa hio wewe Nguruwe angalia fujo zako
Wewe kiazi ndio unitishie Mimi? Hivi wewe binti mbona unashobokea watu hovyo hapa jf? Acha kujilengesha sikuhitaji.
 
Uoe huna kipato utalisha nini familia? Hao vijijini wama mazao ma vyakula, usiseme hawana kipato.
 
Uoe huna kipato utalisha nini familia? Hao vijijini wama mazao ma vyakula, usiseme hawana kipato.
ndo maana nimesema vijijini huko hawana kipato ila wameoa

maana yake wana vyakula, pia kipato kinaweza kuwepo cha kuunga unga (sio rasmi ) bado ukaoa na maisha yakaenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…