The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Wewe kiazi ndio unitishie Mimi? Hivi wewe binti mbona unashobokea watu hovyo hapa jf? Acha kujilengesha sikuhitaji.Mkuu Mimi SIO mtu wa fujo Ila ukiniletea hisia zako za kifujofujo nitakupelekea najua jinsi ya kupigana na Nguruwe bila kuchafuka kwa hio wewe Nguruwe angalia fujo zako
NguruweWewe kiazi ndio unitishie Mimi? Hivi wewe binti mbona unashobokea watu hovyo hapa jf? Acha kujilengesha sikuhitaji.
Hakuna kuhama labda watufukuze😂Watu wanapenda sana kuona wenzao wakiteseka. Home siondoki.
Bado nipo kwa Baba, na Baba yupo kwa Babu.
Wasanii wa mziki nao ni wanaume au wavulana!?hata bongo wapo watu wengi vipaji vimewabeba. wana umri mdogo na kipato wanacho ila bado ni wagumu kuoa. mfano Ray Vanny, Harmonize, Hasheem Thabeet na wengineo
Mbona unajiita tajiri?Nina 32 sina mke sina mtoto sina maisha yaani sina kila kitu. Maisha haya nyoso sana
Uoe huna kipato utalisha nini familia? Hao vijijini wama mazao ma vyakula, usiseme hawana kipato.hajafikiria hilo, suala la kuoa nila mtu binafsi wala haliingiliani na kipato
kuna watu vijijini hawana kipato na wameoa kwenye umri wa miaka 18
kuna waziri Kenya hapo hana mke wala mtoto, na maisha yanakwenda
maamuzi ya kijana kuoa na kuwa na familia hayawezi kuwa kigezo cha dunia nzima kumfata yeye
alafu unataka na sisi tuoe walio tuzidi umri ama
LiwaaaaaaaaaLo na liiiiiiiiweHapo kwenye kwenda dodoma kwa interview kila mwezi kuna namna umegusa wengi 😀😀😀
Faraja tu mkuu nami nijione mtuM
Mbona unajiita tajiri?
Hata wakinifukuza, siwezi toka. Sana sana tutapelekana mahakamani.Hakuna kuhama labda watufukuze😂
Ee ndiyo. Tutoke tuende wapi sasaHata wakinifukuza, siwezi toka. Sana sana tutapelekana mahakamani.
Wao ndio walinileta duniani, Mimi ni jukumu lao.
ndo maana nimesema vijijini huko hawana kipato ila wameoaUoe huna kipato utalisha nini familia? Hao vijijini wama mazao ma vyakula, usiseme hawana kipato.
🤣🤣🤣Kwanini nitoke nyumbani wakati nakula na kushiba?
😊Ee ndiyo. Tutoke tuende wapi sasa
Unaendeleaje rafiki?
Aya TAJIRI jina! Ndo maisha yenyewe hayo lakiniNina 32 sina mke sina mtoto sina maisha yaani sina kila kitu. Maisha haya nyoso sana
usiseme huna kilakitu wakati unatembea na kende hizo ni mali.Nina 32 sina mke sina mtoto sina maisha yaani sina kila kitu. Maisha haya nyoso sana