blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
Muulize! Si mlikuwa pamojaHivi Musiba atakuwa na hali gani?Wote aliowachambua na kusema maovu yao wamerudi serikalini. Kuanzia January,Nape na sasa Kinana bila kumsahau Membe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muulize! Si mlikuwa pamojaHivi Musiba atakuwa na hali gani?Wote aliowachambua na kusema maovu yao wamerudi serikalini. Kuanzia January,Nape na sasa Kinana bila kumsahau Membe.
Haswaaaaa, ndiyo lililo kubwa na muhimu sana hilo.Kwa zile siasa za kihanithi alizoleta dhalimu, acha hayo majizi ya msoga yarejee. Nani anamsifia huyo mama, sisi tunashukuru nchi hii haiongozwi kwa siasa za kihayawani. Ccm haitegemei kura kukaa madarakani, na dhalimu ndio alikoleza tabia hiyo. Na hiyo ,2025 haitashinda kirahisi maana haina ushawishi wowote zaidi ya kutegemea vyombo vya dola. Cha muhimu dhalimu hayuko madarakani.
Mpe pole sana. Hivi kweli madaktari hospitali nchi nzima walikuwa waanzishe mgomo usio na kikomo. Embu vuta picha huko mahospitali hali ingekuaje? Pale tunasema dereva aligonga binadamu mmoja asipindue basi lenye binadamu 50.Ndio huyo huyo.
Ndio maana nasema aliingia kwenye 18 zao wakamshughlikia.Mpe pole sana. Hivi kweli madaktari hospitali nchi nzima walikuwa waanzishe mgomo usio na kikomo. Embu vuta picha huko mahospitali hali ingekuaje? Pale tunasema dereva aligonga binadamu mmoja asipindue basi lenye binadamu 50.
Una akili sana Mkuu, binadamu tuna mahitaji mengi lakin katika hayo zipo priorities. Kuna wakati Kuondoa uhayawani kwenye uongoz wa nchi hii ilikuwa ni priority muhimu na ya juu sana. Mengine yatakuja tu with time.Kwa zile siasa za kihanithi alizoleta dhalimu, acha hayo majizi ya msoga yarejee. Nani anamsifia huyo mama, sisi tunashukuru nchi hii haiongozwi kwa siasa za kihayawani. Ccm haitegemei kura kukaa madarakani, na dhalimu ndio alikoleza tabia hiyo. Na hiyo ,2025 haitashinda kirahisi maana haina ushawishi wowote zaidi ya kutegemea vyombo vya dola. Cha muhimu dhalimu hayuko madarakani.
Mang'ula na Samia wanazofiana umri lakini ni rika moja!Ni mzee acha apumzike
Alipata funzo kubwa kutoka kwa JAMHURI na kufundisha wengi watakaokuja mbele yake kwa cheo chake.Ndio maana nasema aliingia kwenye 18 zao wakamshughlikia.
So kwa akili yako ya kuvukia barabara hakuna tofauti kati ya CCM na Taifa, ukijibu hapa ndio ntachora mstari wa aidha niendelee kukutafutia mwalimu wa Civics au niacheUnatafuta malumbano ya hoja,
Elimu tena?,Ndio uwezo wako wa kufikiri ulipoishia..
Kuandika kwenyewe shida,alafu unakuwa na Audacity ya kuuliza elimu ya mtu..
Wacha waingie hawa majizi wa msoga, kuliko yale majizi wauaji wa sukuma gang.
Majizi hawa walau huwa wanajali wengineWacha waingie hawa majizi wa msoga, kuliko yale majizi wauaji wa sukuma gang.
Dah! Shamba la BIBITutegemeee Twiga, Tembo, Simba, Faru, Zebra na wanyama wengine kupungua, madawa ya kulevywa mateja / vibaka kuongezeka mtaani, rushwa kutamalaki na mali za CCM / umma kubinafshishwa tena kwa kina Rostam na wenzake.
SSH na JK wanaupiga mwingi.