Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya kushughulikiana yapo tu kila awamu na lazima yawepo.Alipata funzo kubwa kutoka kwa JAMHURI na kufundisha wengi watakaokuja mbele yake kwa cheo chake.
Kwani Joyce kaachwa?Yalishapita hayo. Past is past.
Kama unamaanisha tujipange kudai katiba mpya hapo sawa, lakin kama unamaanisha kujipanga kwa uchaguz hapo hamna kitu kama hicho mana bila katiba mpya itakuwa ni uchafuzi tu kama kawaidaWapinzani sasa tujipange vzr,kama huyu mzee abdrahaman karudi tena
Kuna Raisi, Kuna chama halafu kuna JAMHURI. Ukitaka uwe mbali na kushughulikiwa, Vimbiana na woote ila katika kuvimba kwako uwe una uelewa wa kutofautisha matokeo ya kumvimbia Raisi, matokeo ya kukivimbia Chama na matokeo ya kuivimbia JAMHURI na maslahi yake. Kama unataka kuvimba nenda kwa wavimbaji Nunda kama kina Mbowe wakufundishe tofauti ya hayo majina matatu.Mambo ya kushughulikiana yapo tu kila awamu.
Unazungumzia Jeshi gani Mkuu,hili hili kwetu hata Mwenyekiti wa CCM kata anaweza kupigia salute na Mkuu wa majeshi.Kwa sababu zipi hasa za msingi? Jeshi halina chama we jamaa
Chadema Kuna mbio gani, au hizi?Ugonjwa mkubwa ndani ya CCM ni kuchagua wazee. Kinana ni mzee ataweza mbio za cdm kwa sasa?
La ajabu itakuwa nini sasa hapo wakati, tofauti na miaka mitano iliyopita, wananchi sasa wapo huru kuonesha hisia zao alimrad hawavunji sheria!!!CCM ya 2014 inarudi kwa kasi; muda mfupisana ujao zomea zomea dhidi ya rangi ya kijani mitaani itarudi pia kwa kasi.
Yani Mbowe afungwe tena ndani kutetea Wananchi wasiojielewa??Sasa Chadema huu ndo muda wenu wa kushine kama mtakuwa na akili. Nendeni kwa wananchi mjijenge. Maana ukweli sasa hii iliyopo ni serikali ya kufavor matajiri ambao ni minority hapa Tanzania.
"leta maneno " by jkCCM INA WENYEWE NA WENYEWE NDIYO HAWA
Kwamba wajanja wa mjini watumie njia za mshamba?Sasa hapa ndio watu wataona kuwa Jiwe aliharibu Nchi,Msoga gang watatumia njia alizotumia Magufuli kuwanyamazisha Wananchi-style hiyo hiyo watatumia kwa wale watakaosumbua utawala wa Samia.
Dah! Shamba la BIBI
Magufuli amisha onyesha njia,ikifika kipindi cha Uchaguzi ni ubabe tu utatumika baada ya muda watu watatumia maisha yataendelea.hakuna tena cha kuhofia kuwa chama kitakufa.Unajua watu wa ccm huwa nawashangaa, 2015 walisema ili kunusuru chama ilibidi wampitishe jiwe. Bila hivyo maji yalikua ya shingo
Sasa hivi wanasema Bora tukirudishe kwa wenyewe, ambao walikiri 2015 wangeshindwa.
Ila CCM inapaswa kufa kifo matata sana
Kwa nini Mkuu??Wakristu wa nchi hii wajinga sana, bure kabisa badala ya kushikamana wanamalizana wenyewe kwa wenyewe, you are not even real Christians anyway ni Makabila kabila tu!