Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinana in teenage?Ni mzee acha apumzike
Mzee makamba atatoka lushoto sasa atarudi mjini maana ule ubatizo wa moto alioupata awamu 5 sio mchezoBado nani kutoka kwenye team ya zamani hajapata uteuzi?
Hayanihusu.
Nadhani umri ndio sababu kuu....
Mtazamo wako huo.La ajabu itakuwa nini sasa hapo wakati, tofauti na miaka mitano iliyopita, wananchi sasa wapo huru kuonesha hisia zao alimrad hawavunji sheria!!!
Ni kwel kuwa nchi inaongozwa kutoka m.sog,a kwenda ddm.. hata kama hujui kusoma na picha hujui? Ongera sana comredi, twende sasa kuleeeee...Mangula ameachia nafasi ya umakamu mwenyekiti CCM, kaona isiwe tabu.
Ila hii Ni Mara ya Pili mzee anawekwa pembeni, sijajua ana tatizo gani na wenzio huko.
Nafasi imechukuliwa na Kinana
Membe karudishwa CCM
===
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Philip Mangula leo Alhamisi Machi 31, 2022 amewasilisha katika Halmashauri Kuu ya CCM barua ya kuachia nafasi hiyo.
Kikao Cha Halmashauri Kuu ya CCM kimependekeza jina la Katibu Mkuu wa zamani Abdulrahman Kinana kuteuliwa kupigiwa kura za kuwa Makamu Mwenyekiti CCM Bara ambapo atachukua nafasi ya Philip Mangula.
Kikao hicho kimefanyika leo 31 Machi 2022 Jijini Dodoma.
Pia soma;
1). Nashauri Makamu Mwenyekiti wa CCM Mzee Philip Mangula ang'atuke na akabidhi mikoba kwa Abdulrahman Kinana
2). Ukatibu Mkuu CCM: Nani anafaa kuchukua nafasi ya Daniel Chongolo? Kinana ndani
View attachment 2170662
mzee wa msituni ''gorilla war fighter''Kinana ni kijana?
Kazi iendelee?
Namimi nakazia ni punguani huyo hajui ili ccm itolewe nilazima yeye aunge nguvu kwa chadema au siyo wakenya waliamua kuigomea kanu anaandika Kama vile vyama vilivyopo madarakani hujiamualia vyenyewe kutoka ..aise chadema inakaazi kwelikweliHuna akili mkuu. Unahemuka tu bila kuelewa chochote.
Sasa hapa umeandika kitu gani ninachoweza kukujibu!
crimea tangu liwe chini ya koloni la urusi la colomije hakana maana tena kalipoteza fahamu kakasahau kwamba ccm inawenyewe na sasa wata revengeKuna kajamaa kanaitwa Crimea nadhani katakuwa kashaanza kuelewa nini maana ya wenye chama chao...
Siasa ni master mind game mam tuko nae had 2030
Kwa akili ya kawaida unaweza kuhisi hao ndyo walikuwa maadui wakubwa wa JPM.huenda hata uhai wake walichukua.
Sasa wanarudi Tena kutafuna Mali za watanzania
Madikiteta huwa yanafanya vyote yanafisadi,yananyima uhuru wa kusema,yanabana demokrasi,yanaua na kutupa baharini,yanakuwa juu ya sheria nakadhalika yaani madikiteta hayaachi kitu CAG akiyakagua na kuyakosoa yanamufukuza...yanatafuta kundi dhaifu kwenye jamii kv wakulima na wajasiriamali yanalipa upendeleo kinyume na sheria ili yapendwe...madikiteta noma bora mafisadiMafisadi huwa yana demokrasia sana yanaiba ila yanakuachia uhuru wa kuyasema
Yanaruhusu mikutano ya hadhara na maandamano
Huo ndo ukweli.cdm ni kibaraka wa mafisadi.Subiri 2025 utajua hujui!
Ccm ina wadharau sana, si unaona hata baada ya kelele zenu za miaka nenda rudi kwamba kina kinana hawafai lakini bado wamerudishwa chamani, hii yote ni kuonesha kuwa hamna la kufanya!
Na hivi mmeungana na ccm kumsifia Samia ili kumkomoa marehemu,! Ccm 2025 itakuwa na kazi nyepesi sana.
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app