Philip Mangula ang'atuka nafasi ya Umakamu Mwenyekiti CCM Taifa. Abdulrahman Kinana apendekezwa na Halmashauri Kuu kuchukua nafasi yake

Philip Mangula ang'atuka nafasi ya Umakamu Mwenyekiti CCM Taifa. Abdulrahman Kinana apendekezwa na Halmashauri Kuu kuchukua nafasi yake

Wakristu wa nchi hii wajinga sana, bure kabisa badala ya kushikamana wanamalizana wenyewe kwa wenyewe, you are not even real Christians anyway ni Makabila kabila tu!
How old are you?!
 
Licha ya jitihada za makusudi kufanyika ili kuusambaratisha na kuuzika rasmi mtandao, ni dhahiri kuwa jitihada hizo zimeshindikana kabisa. Wale wana CCM wakuja, makanikia, na wale mabaki ya mwendazake inawapasa wasome alama za nyakati.

CCM imerudi mikononi mwa wanamtandao. Kama huwezi kupingana nao, basi ungana nao.
 
Mkuu 'Victoire', naona umekuwa mpole!

Lakini naona bado huelewi vizuri. Ngoja nikusaidie kidogo.

Unaposema "CHADEMA waka-'shine,'" waka-'shine' kwa ajenda ipi? Huoni kuwa CCM ya Samia ndiyo CHADEMA ya Mbowe?

Labda useme kwamba CHADEMA waanze mikakati ya kujiingiza ndani ya CCM(CHADEMA) ya Samia.

Kukurahisishia zaidi ni kwamba, usione ajabu sana siasa zetu sasa zikawa kama zile za Kenya zilivyo sasa. Haya mavyama ya CCM, CHADEMA, ACT, CUF, yatakuwa ni vyombo tu vya kubeba watafuta fursa. Inapofika wakati wa kusaka uongozi, mavyama yote yanahaha kutafuta mahala pa kujibanza ili yawe kwenye ulaji. Kwa hiyo anza kutegemea , kwa mfano Muungano wa CCM na CHADEMA hapo 2025, na mambo yanakwenda 'smoothly' kama ugali na mlenda.

Umenielewa?

Jambo hili ni rahisi sana sasa kulieleza kwa wananchi, na hapo ndipo kila mtu atakapoanza kuimba 'Maza, Maza, Maza.....' , pengine hata wewe utakuwa ni kati ya hao waimbaji wa sifa za mama!

Mbowe, inawezekana tayari yupo huko Kenya (chuoni) kujifunza jinsi haya mambo yanavyofanya kazi.

Wewe na mimi hatukuwepo Mbowe alipoitwa Ikulu kujadili "mwafaka, haki, uhuru" Kuna maafikiano mazuri kuliko hayo?

Ngoja nikuache kwa sasa uyatafakari hayo.

Acha kulinganisha siasa za Kenya na Tanzania. Tanznaia Ni chama kimoja kinaongoza miaka nenda Rudi Ila Kenya Vyama hubadilika.

Lawama zote Ni CCM achana na stori za CHADEMA kwenye CCM.
 
........…………………...... and the hunters flew off with live zebras and antelopes, one of which dropped dead at Kilimanjaro International Airport. At the airport was Abdulrahman Kinana, the Minister for Defence and National Service at the time, representing the Tanzanian Government.
 
Karibu sana

FB_IMG_16487353171637080.jpg
 
Acha kulinganisha siasa za Kenya na Tanzania. Tanznaia Ni chama kimoja kinaongoza miaka nenda Rudi Ila Kenya Vyama hubadilika.

Lawama zote Ni CCM achana na stori za CHADEMA kwenye CCM.
Huna akili mkuu. Unahemuka tu bila kuelewa chochote.

Sasa hapa umeandika kitu gani ninachoweza kukujibu!
 
Born town wanavamia shamba kwa kasi....

Hii nchi fanya yako upate ugali ulale...haya ya huko ni utopolo mtupu!

Wenye visu ndo hula nyama
We angalia mpaka ngazi za uongozi wa mashirika nyeti ya serikali wameshrudisha safu yao, uwaziri ndio waliamzia kurudisha vijana wao, na wanamalizia na chama, sasa watakula zaidi ya urefu wa kamba zao kwa raha zao, maana vitengo vyote wapo wenyewe.
 
Mangula ameachia nafasi ya umakamu mwenyekiti CCM, kaona isiwe tabu.

Ila hii Ni Mara ya Pili mzee anawekwa pembeni, sijajua ana tatizo gani na wenzio huko...
Nadhani mliidharau comment yangu hii kwenye uzi fulani hivi kwakuwa nimeongea mimi ngumbaru nadhani tunaanza kuona sasa...mpak April safu ya 2025 itakuwa tayari imekamilika kuanzia ngazi za matawi mpaka mikoani.

Tunakaa na viongozi wa ngazi za juu wa chama wa mikoa kwenye vijiwe vya kahawa lakini kila dakika moja wenzetu wanapokea simu kutoka kwa mwenyekiti wa taifa ambaye ni dhahiri shairi madaraka yamemnogea na kashahisi raia wanaweza kumkataa so nguvu kubwa lazima atumie

20220331_172717.jpg
 
Mangula ameachia nafasi ya umakamu mwenyekiti CCM, kaona isiwe tabu.

Ila hii Ni Mara ya Pili mzee anawekwa pembeni, sijajua ana tatizo gani na wenzio huko.

Nafasi imechukuliwa na Kinana

Membe karudishwa CCM

===

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Philip Mangula leo Alhamisi Machi 31, 2022 amewasilisha katika Halmashauri Kuu ya CCM barua ya kuachia nafasi hiyo.

Kikao Cha Halmashauri Kuu ya CCM kimependekeza jina la Katibu Mkuu wa zamani Abdulrahman Kinana kuteuliwa kupigiwa kura za kuwa Makamu Mwenyekiti CCM Bara ambapo atachukua nafasi ya Philip Mangula.

Kikao hicho kimefanyika leo 31 Machi 2022 Jijini Dodoma.


Pia soma;

1). Nashauri Makamu Mwenyekiti wa CCM Mzee Philip Mangula ang'atuke na akabidhi mikoba kwa Abdulrahman Kinana

2). Ukatibu Mkuu CCM: Nani anafaa kuchukua nafasi ya Daniel Chongolo? Kinana ndani

Hakuna tatizo, waweke yeyote, asipo weza kusimama wasaidizi wapo.
 
Back
Top Bottom