Nawe tulia basi. Kwani Dk Mpango alipokua waziri wa fedha 2015-2020 alikuwa ni mbunge wa wapi?. Kumbuka kuna ubunge wa kuteuliwa.Sasa jina ulotaja haponi mbunge?
Sijui huwa mnafikiria kwa kutumia nini
Jiongeze mkuu, unaongea ujinga mwingi sana kwa wakati mmojaNyie ndio mnasomea ujinga
Tatizo letu watanzania ni much know sana.
Hilo nalifahamu huwa kuna viti vya Raisi..Ubunge wa kuteuliwa.
Sasa huyo Bw mdogo ni Mbunge?...au wewe ulitaka ateuliwe then apewe mikoba?
Kila kitu ni protocol boss..
Mbona Magu kajaza wasukuma kila sehemu yenye hela nchini?Kimei ni MKABILA. Hafai. Kajaza Wachaga CRDB
Kimei mtu mbunifu snUteuzi wa Dkt. Philip Mpango unaweza kuwa na tafsiri nyingi, mojawapo ikiwa ni kutaka kumpenyeza Charles Kimei kuwa Waziri wa Fedha.
Mpango ni mchapakazi, mnyenyekevu na Mzalendo hivyo anafaa kwa nafasi hiyo ili kumsaidia mheshimiwa Samia Suluhu Hassan.
Kama Mpango anamlisha Mkurugenzi mstaafu wa CRDB ambaye aliiongoza vyema Benki hiyo lakini kikawa ni kichaka cha utakatishaji, basi tuendako safari itazidi kuwa ndefu.
Mwigulu Nchemba atafaa zaidi Wizara ya Fedha maana anao uzoefu na weledi katika majukumu hayo kutokana na kufanya kazi Benki Kuu na kisha wizara ya Fedha wakati wa Serikali ya JK.
Nani anafaa?Kimei na Mwigulu wote hawafai kuwa Mawaziri wa Fedha.
Mwigulu hafai kabisaHuyo Mwigulu afungwe jiwe moja shingoni tukamtose baharini
Bora KimeiNani anafaa?
Mwigulu hafai kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaMwigulu wampe uwaziri wa wizara ya fedha, Economist by proffession atafaa sana.
Cv ya Ashatu Kijaji japo kwa ufupi ndugu.Ashatu Kijaji anafaa kuwa Waziri wa fedha.
Nalifahamu hiloNawe tulia basi. Kwani Dk Mpango alipokua waziri wa fedha 2015-2020 alikuwa ni mbunge wa wapi?. Kumbuka kuna ubunge wa kuteuliwa.
Mwigulu hafai kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaMwigulu wampe uwaziri wa wizara ya fedha, Economist by proffession atafaa sana.
Aaah kalale huko....Jiongeze mkuu, unaongea ujinga mwingi sana kwa wakati mmoja
Unaelekezwa bado unakaza skeleton kuelewa. Kasali uko kazi zimekushindaNdio sijakataa..kuteuliwa sawa.
Saivi hana shughuli yoyote
Kwa hiyo atateuliwa muda huo huo na kukabidhiwa kazi,? Kila kitu kinazingatia protocol Mkuu
Tulieni. Mtaona maajabu mtashangazwaUteuzi wa Dkt. Philip Mpango unaweza kuwa na tafsiri nyingi, mojawapo ikiwa ni kutaka kumpenyeza Charles Kimei kuwa Waziri wa Fedha.
Mpango ni mchapakazi, mnyenyekevu na Mzalendo hivyo anafaa kwa nafasi hiyo ili kumsaidia mheshimiwa Samia Suluhu Hassan.
Kama Mpango anamlisha Mkurugenzi mstaafu wa CRDB ambaye aliiongoza vyema Benki hiyo lakini kikawa ni kichaka cha utakatishaji, basi tuendako safari itazidi kuwa ndefu.
Mwigulu Nchemba atafaa zaidi Wizara ya Fedha maana anao uzoefu na weledi katika majukumu hayo kutokana na kufanya kazi Benki Kuu na kisha wizara ya Fedha wakati wa Serikali ya JK.
Umemaanisha nini hii?Sasa aliyetajwa na Mbunge?
Huyu mnafiki Kama kabudi tu, watu dizaini hii hawafai NI majungu mengi.Mwigulu wampe uwaziri wa wizara ya fedha, Economist by proffession atafaa sana.