Kimei hawez wekwa pale hata sku1...mzee baba alimtoa pale na kumweka nsekela kwa sabab maalum....kwahyo sahau kuhusu kimei....hata huyo mwigulu hawez pewa asimamie pesa...hapo anahitajika mwenye hofu ya mungu na mwenye historia safi
Mkimweka kimei ni kina mramba walewale
so kama ina hisa inapiga kura kama mwanahisa mwingine, sio kuteua, na wala Serikali sio mwanahisa mkuu paleSerekali ina hisa pale mkuu
Mwigullu ni msomi lakini uwaziri wowote hafai.Inawezekana Mwigulu anafaa ila binafsi kiongozi anayekesha mitandaoni kujibishana na watu naona hana nidhamu na mwepesi kujikweza.
Kumekucha! Ingeshangaza km mchaga asingetajwa hapa. Thread imenona sasa, imekamilika.Kimei ni MKABILA. Hafai. Kajaza Wachaga CRDB
Ana tungo tataUteuzi wa Dkt. Philip Mpango unaweza kuwa na tafsiri nyingi, mojawapo ikiwa ni kutaka kumpenyeza Charles Kimei kuwa Waziri wa Fedha.
Mpango ni mchapakazi, mnyenyekevu na Mzalendo hivyo anafaa kwa nafasi hiyo ili kumsaidia mheshimiwa Samia Suluhu Hassan.
Kama Mpango anamlisha Mkurugenzi mstaafu wa CRDB ambaye aliiongoza vyema Benki hiyo lakini kikawa ni kichaka cha utakatishaji, basi tuendako safari itazidi kuwa ndefu.
Mwigulu Nchemba atafaa zaidi Wizara ya Fedha maana anao uzoefu na weledi katika majukumu hayo kutokana na kufanya kazi Benki Kuu na kisha wizara ya Fedha wakati wa Serikali ya JK.
Hii wizara ya fedha apewe kipara kipya ikishindikana kabisa basi hata Bia yetu anafaaMnaendelea kubeti tu mlijua kama mpango atakua makamo!
SukumaGang Out! Huu ni muda wa Wala-rojoNi ujinga huwezi kumpangia rais mtu wa kufanya nae kazi.
Mbona kamteua Mpango wakati ndiye aliyekua waziri wa fedha na ni kipindi ambacho hakukua na uwazi wa matumizi ya fedha za umma,
Huko chato bajeti yake iko wapi, midege na huko ruangwa hadi barabara zina mataa.
Achenni unafiki
Kikubwa mkuu..tuachane na kuzungumza ukabila, udini, na ukanda..hii nchi inaitaji umoja na mshikamano na kikubwa watu kuvumiliana kutokana na tofauti zao kiimani, kikabila na kiitikadi..tukianza kichambua hapa..nani mkabila na Nani si mkabila au mdini..hakuna nakuambia atakayebakia salama..kikubwa tuvumiliane..na kiongozi wetu tusimtazame kwa misingi ya kabila lake,rangi yake au dini yake..Bali kiongozi wetu tumtazame kwa misingi ya uzalendo wake kwa nchi yetu, uwezo, uzoefu..na elimu yake kwa kazi husika.Hizi mada za ukabila ndizo wachaga huzipenda sana, hawa watu ukabila uko kwenye uboho na kwenye damu.Hata michango mingi inayohusu ukabila humu wachangiaji wengi ni wachaga. Wachaga muelewe tu kuwa nyie ni sehemu ndogo sana ya makabila yote yaliyopo TZ, zama zenu za kubebana unakuta ofisi imejaa wachaga hadi wafagiaji zimepitwa na wakati,acheni kulalamika eti kila uteuzi ukifanyika mnataka lazima awemo mchaga.Mambo ya nyuma yamepita eti nyie ndio wasomi😁😁,leo hata sisi Wakara tumekwenda shule vizuri tu,tusitishiane usomi karne hii alaaa...
Hii ni tz mpya chini ya mam wa shoka Bi Samia, hayo mambo yalishapitaMbona magufuli alijaza wasukuma?mkwere kajaza waislam why kimei
Kimei ni MKABILA. Hafai. Kajaza Wachaga CRDB
Mzee punguza povu aisee..haya alijaza wachaga ..vipi bank ilifilisika !? Ilishindwa kutoa gawio kwa wanahisa kisa Kuna wachaga wengi!? Mambo mengine ni ujuhaEti nani kimei? Huyu huyu aliyeifanya benki ya CRDB kuwa ya wachaga,hafai hata kidogo, mwanamama Ashatu Kijaji anafaa sana kuongoza hiyo wizara,ikishindikana atafutwe mtu mmoja kutoka Zanzibar apewe wizara ya fedha.Hawa akina mwigulu,kimei hawafai hata kidogo
Huyo mstaafu wa CRDB wa nini? Kwanza kuna vijana kibao waadilifu ndani ya wizara ya fedha wapeni kazi hiyo....
Mama Samia teua vijana wasomi wa 40 - 45 wakupigie kazi - achana na hawa wazee wastaafu na wanasiasa wa kujikomba komba watakuangusha.
Uteuzi wa Dkt. Philip Mpango unaweza kuwa na tafsiri nyingi, mojawapo ikiwa ni kutaka kumpenyeza Charles Kimei kuwa Waziri wa Fedha.
Mpango ni mchapakazi, mnyenyekevu na Mzalendo hivyo anafaa kwa nafasi hiyo ili kumsaidia mheshimiwa Samia Suluhu Hassan.
Kama Mpango anamlisha Mkurugenzi mstaafu wa CRDB ambaye aliiongoza vyema Benki hiyo lakini kikawa ni kichaka cha utakatishaji, basi tuendako safari itazidi kuwa ndefu.
Mwigulu Nchemba atafaa zaidi Wizara ya Fedha maana anao uzoefu na weledi katika majukumu hayo kutokana na kufanya kazi Benki Kuu na kisha wizara ya Fedha wakati wa Serikali ya JK.
Hii ni africa kaka...mbona unakua kama namna gan..nmeshakwaambia kimei alitolewa pale...nyie mnasema alistaafu..ndio..ila mi nakwambia alitolewa pale .kwisha..hutak kaa haposo kama ina hisa inapiga kura kama mwanahisa mwingine, sio kuteua, na wala Serikali sio mwanahisa mkuu pale
👊👊Kimei ni MKABILA. Hafai. Kajaza Wachaga CRDB
Wizara ya fedha apewe Daudi Albert Bashite.