Philosophy of Religion: Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kwa hoja ya Ufunuo na maandiko matakatifu

Philosophy of Religion: Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kwa hoja ya Ufunuo na maandiko matakatifu

Nadhani nimeleweka.
Mbona huwa unakaimbilia kwenye grammar wewe au ndio upeo wako umeishia hapo?
Angalia context.
Kukosea nako zungumzia haswa hakupo kwenye grammar

Hujaeleweka na ndio maana nimekuambia hata ungeandika kwa namna niliyo pendekeza mimk bado upo kwenye box lile lile

Hauko sahihi kwasababu atheism sio imani, sio kwasababu ya grammar errors
 
Kukosea nako zungumzia haswa hakupo kwenye grammar

Hujaeleweka na ndio maana nimekuambia hata ungeandika kwa namna niliyo pendekeza mimk bado upo kwenye box lile lile

Hauko sahihi kwasababu atheism sio imani, sio kwasababu ya grammar errors
Hahaha!!! Huangalii vitu kama context ilivyo..
Atheist, scientism zote ni imani.
Kusema kwamba hakuna Mungu ni nini kama sio imani?
 
Hahaha!!! Huangalii vitu kama context ilivyo..
Atheist, scientism zote ni imani.
Kusema kwamba hakuna Mungu ni nini kama sio imani?
Ukisema atheism ni imani unakuwa huna tofauti na mtu anayesema "umewahi kuona kitu gani cha njano ambacho ni invisible"

Kivipi chenye sifa ya kutoonekana kiwe na rangi?

Au ngoja niiweke kwa namna nyingine

Athesism iwe imani ya kuamini Mungu hayupo

Lakini nawe kama ni mkristo ambaye huamini Mungu Allah basi atahesabika kuwa una dini mbili

Moja ni ukristo na nyingine ni uislamu uliyoipata kwa kutoamini Mungu Allah

Hiyo itakuwa imekaaje?
 
Tufikie mahali kila mtu abaki na imani yake haina haja ya kubishana na kuanzisha uzi ikiwa unajua fika hauta weza badili msimamo wako au wa wafia dini baasi vya kaisari mpeni kaisari na vya MUNGU mpeni MUNGU maana watu humu ndani mnamchukulia Muumba kwa akili yenu fupi na kwa hoja zilizo ndani ya uwezo wenu wa kufikiri na si kwa yule anaemwabudu MUNGU ambaye anaona kuwa anafanya kazi na kutimiza maombi yake katika maisha yake

KWA KUITIMISHA KUNA NJIA MOJA KWA BINADAMU WOTE NA MJUE KUWA SIKU TU UTAKAPO KUFA UTAJUA YA KUWA NILIKUA NASIMAMA KATIKA UBATILI NA UASI BASI UTAJUA MUNGU NI MKUU KULIKO UNAVYOFIKIRI

NISINGE PENDA SWALI LILILO NJE YA NILICHOANDIKA
 
Ukisema atheism ni imani unakuwa huna tofauti na mtu anayesema "umewahi kuona kitu gani cha njano ambacho ni invisible"

Kivipi chenye sifa ya kutoonekana kiwe na rangi?

Au ngoja niiweke kwa namna nyingine

Athesism iwe imani ya kuamini Mungu hayupo

Lakini nawe kama ni mkristo ambaye huamini Mungu Allah basi atahesabika kuwa una dini mbili

Moja ni ukristo na nyingine ni uislamu uliyoipata kwa kutoamini Mungu Allah

Hiyo itakuwa imekaaje?
Hahaha!!! yan hiyo reason ya kitoto sana.
Complexity ya kitu haifanyi kitu hicho kuwa uongo au simpplicity ya kitu haifanyi kitu hicho kuwa kweli.
Unaongelea degree tu ya imani na sio kukosa imani hapo.
Kusema kwamba huamini kitu maanayake unaamini kuwa huamini chochote.
 
Al-Suyuty, Al-Azhareyyah Press, Cairo, Egypt, 1318 AH, Page 59


View attachment 2138980
Hivi umesoma hicho ulichokiandika ? Hujataja jina la kitabu kijana, umetaja jina la Imamu Suyuti, na ukataja jina chuo kikuu cha Al-Azhari, na mji wa Cairo uliopo Misri, na mwaka wa Hijiria na ukurasa.

Nasubiri jina la kitabu.
 
Hahaha!!! yan hiyo reason ya kitoto sana.
Complexity ya kitu haifanyi kitu hicho kuwa uongo au simpplicity ya kitu haifanyi kitu hicho kuwa kweli.
Unaongelea degree tu ya imani na sio kukosa imani hapo.
Kusema kwamba huamini kitu maanayake unaamini kuwa huamini chochote.
Kukosa imani sio imani

Kama ilivyo kutofanya mapenzi kuwa sio mkao wa style ya kufanya mapenzi
 
Hivi umesoma hicho ulichokiandika ? Hujataja jina la kitabu kijana, umetaja jina la Imamu Suyuti, na ukataja jina chuo kikuu cha Al-Azhari, na mji wa Cairo uliopo Misri, na mwaka wa Hijiria na ukurasa.

Nasubiri jina la kitabu.
Kama haitoshi nikakuwekea na image ya quote

Ipi hoja yako, sio kweli kuwa maneno hayo yalisemwa kama nilivyo nukuu?
 
Kukosa imani sio imani

Kama ilivyo kutofanya mapenzi kuwa sio mkao wa style ya kufanya mapenzi
Hahahaa!!!
Unaposema huamini Mungu na unaposema unaamini Mungu hayupo kipi sahihi?
Kitu chochote ambacho hakielezeki kwa sheria za kisayansi hiyo ndio imani..
Unaposikiliza mziki flani kama wa dax unakuwa unaongozwa na logic gani kuupenda?
Au unaamini tu ni mzuri?
 
Quran version gani?

Ya 1924 ya kimisri iliyokuwa edited na Iman Hafs?

Au ya Imam Warsh's ambayo inatumika sana north africa?
Kijana nilikupa angaliza ukianzisha mada kama hizi hakikisha umesoma ukaelewa. Qur'aan haina matoleo kijana hili kwanza weka akilini.

Nakurudisha nyuma kidogo, ukisoma historia ya uteremkaji wa Qur'aan na ukusunywaji wake. Qur'aan imeteremka katika lahaja saba kiistilah tunasema "Sab'at ahrufi" kulingana na lahaja za waarabu walio kuwepo zama zile za Mtume. Wazo alilokuja nalo Swahaba mtukufu Hudhaifa ibn Al-Yamani ni kuandika Qur'aan ambayo imejumuisha lahaja zote saba, ili watu wasije kupotosha maana na kupata gagaiko.

Kwanye hizo lahaja saba tunapata namna kumi za usomaji wa Qur'aan, na namna zote hizo alizisoma mtume, hii fani ina 'Ilmu al Qiraat".

Hapa nakutajia saba :

  • Nafiʽ al-Madani recitation.
  • Ibn Kathir al-Makki recitation.
  • Abu Amr of Basra recitation.
  • Ibn Amir ad-Dimashqi recitation.
  • Aasim ibn Abi al-Najud recitation.
  • Hamzah az-Zaiyyat recitation.
  • Al-Kisa'i recitation.
Sisi watu wa Afrika tuna Qiraa cha Imam Hafsi kutoka kwa Imamu Aaswim. Usichokijua ni kuwa ni utofauti wa usomaji ila maana ni ile ile. Unakuta kwenye usomaji huu kwenye "Swad" kuna "Zaau" kama ilivyo kwenye kiswahili katika lahaja ya kiunguja Macho tunaita Macho ila kwenye lahaja ya Kiamu Macho tunasema Mato. Sasa usije ukaona labda kuna utofauti wa kimaana.

Yaani Viraa vyote ni Qur'aan moja kwahiyo idadi ya sura ni ile ile ila usomaji ni tofauti.
 
Kama haitoshi nikakuwekea na image ya quote

Ipi hoja yako, sio kweli kuwa maneno hayo yalisemwa kama nilivyo nukuu?
Ina maana hukuona hapo kwamba hujaweka jina la kitabu au unajitoa ufahamu ?
 
Mkristo anaweza aka formulate hoja kwa mtindo huo huo

Akaweka assertion hapo kwenye Mungu akamuweka Yesu na akasema tayari kasha thibitisha Yesu alibatizwa na ndio njia ya kweli ya uzima, huwezi kuiona pepo bila kupitia yeye
Sisi tutamuuliza imekuwaje amefikia hitimisho hilo ?
Akaweka msingi wake wa hoja, kama ule ule uliotumika kwenye Mungu
  1. Maandiko ni ya kweli kwasababu yameandikwa na Mungu au watu walio ongozwa
  2. . Nani aliwaongoza hao watu? (Mungu ndio alifanya hiyo kazi)
Halafu aka conclude kua kwa vigezo hivyo basi ni kweli Yesu ndio njia ya kweli na uzima

Utakubali?
Haya yote yanarudi kule kule mpaka amefikia hapo kuna mchakato umepitia kisha tuna hoji mpaka tunajua ukweli ni upi.
Utapinga richa ya kwamba katumia principle ile ile uliyoikubali kwenye hoja nyingine kwasababu hoja ya mara ya pili inaenda kinyume na mafundisho yako?
Principle gani niliyo ikubali ?
 
Alikuwa akiikusanya kutoka wapi?
Kutoka kwa watu na sehemu walipo andika.
Sio kweli kua watu waliifadhi kifuani, bali waliokuwepo currently walikuwa wameifadhi aya chache kifuani ambazo hazikuweza kutosha kukamilika
Nanukuu, kijana unaonekana huna marejeo ya uhakika.

Qatadah asked Anas ibn Malik, “Who memorized the Qur’an at the time of the Prophet?” He replied, “Four, all of whom were from the Ansar .Ubayy ibn Ka`b, Mu`adh ibn Jabal, Zayd ibn Thabit and Abu Zayd.”

In another narration, Anas said, “When the Prophet died, no one had memorized the Quran except four people: Abu Ad-Darda’, Mu`adh ibn Jabal, Zayd ibn Thabit and Abu Zayd.”

Apparently, the latter narration differs with the former in two things: (l) It signifies that only four persons amongst the Companions of the Prophet (peace be upon him) completed the memorization of the Qur’an during the lifetime of the Prophet (peace be upon him), and (2) it mentioned Abu Ad-Darda’ in the place of Ubayy ibn Ka`b.

Muslim scholars do not accept that only four from amongst the Companions memorized the Quran in the lifetime of the Prophet (peace be upon him`), basing their opinion on the view that Anas ibn Malik (may Allah be pleased with him) said this according to his own knowledge. Moreover, `Abdullah ibn `Amr said, “I heard the Messenger of Allah say,

‘Learn the Quran from (any of these) four individuals: Abdullah ibn Mas`ud, Salim the freed slave of Abu Hudhayfah, Ubbay ibn ka’b, and mu’adh ibn jabal.

Mwisho wa kunukuu.
Waliodaiwa kuifadhi Quran kifuani walikuwa wamekwisha uliwa kwenye vita ya Yamama
Unajua kama Zayd bin Thabit alikuwa amehifadhi yote ? Na yeye alikuwa amekufa ?
 
Quran ilikuwepo wapi?
Kijana inakuwaje unauliza maswali ambayo nimeshajibu ? Qur'aan ilikuwa imehifadhiwa katika vifua vya watu na imeandikwa sehemu mbali mbali, kilichofanywa na maswahaba ni kuikusanya na kuiweka katika mfumo wa kitabu kimoja ili iwe marejeo kwa wengine.
Kwanini likatoka wazo la kukusanya wakati ilikuwepo?
Unauliza maswali ya kitoto sana, sababu ilikuwa ni watu kufa na ilikuwa haijawekwa sehemu moja kama kitabu.

Yaani Qur'aan ilikusanywa haikuandikwa upya kwa maana kitu kipya bali ilikusanywa na kunakaliwa na kuwekwa katika kitabu kimoja.
 
Hahahaa!!!
Unaposema huamini Mungu na unaposema unaamini Mungu hayupo kipi sahihi?
Kitu chochote ambacho hakielezeki kwa sheria za kisayansi hiyo ndio imani..
Unaposikiliza mziki flani kama wa dax unakuwa unaongozwa na logic gani kuupenda?
Au unaamini tu ni mzuri?
Nani anasema anaamini Mungu hayupo?

Atheism ni lack of beliefs, ukosefu wa kitu sio umiliki wa kitu

Kutokuwa na imani, sio kuwa na imani

Kutokuwa na hobby ya michezo sio aina flani inayokutambulisha kama ni mwana sport

TV Kuzima haihesabiki kitendo hicho kama ni channel ya TV

Atheism is not a belief system just like

Unemployed is not a some sort of Job

Naked is not clothing style
 
Sisi tutamuuliza imekuwaje amefikia hitimisho hilo ?

Haya yote yanarudi kule kule mpaka amefikia hapo kuna mchakato umepitia kisha tuna hoji mpaka tunajua ukweli ni upi.

Principle gani niliyo ikubali ?
Kwanini umuulize wakati kanuni imejitosheleza?

Kwanini hoja ambayo ilitumika kuelezea Mungu uliikubali bila kuuliza wakati ilitumia the same principle?
 
Nani anasema anaamini Mungu hayupo?

Atheism ni lack of beliefs, ukosefu wa kitu sio umiliki wa kitu

Kutokuwa na imani, sio kuwa na imani

Kutokuwa na hobby ya michezo sio aina flani inayokutambulisha kama ni mwana sport

TV Kuzima haihesabiki kitendo hicho kama ni channel ya TV

Atheism is not a belief system just like

Unemployed is not a some sort of Job

Naked is not clothing style
Unatumia simple things to disuss complex things.
Nimekueleza kuwa imani ni kitu ambacho hakielezeki kwa misingi ya kisayansi.
kama ni hivo unaposema hakuna Mungu umefuata misingi gani ya sayansi kufikia hitimisho hilo
kama sio kuamini tu?
Kuamini kuwa hakuna Mungu hatakama hayupo kweli bila facts za kisayansi hiyo ni imani tu...
 
Back
Top Bottom