Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani nimeleweka.Atheist ni mtu
Hata kama ulikusudia Atheism bado hauko sahihi vile vile
Kukosea nako zungumzia haswa hakupo kwenye grammarNadhani nimeleweka.
Mbona huwa unakaimbilia kwenye grammar wewe au ndio upeo wako umeishia hapo?
Angalia context.
Hahaha!!! Huangalii vitu kama context ilivyo..Kukosea nako zungumzia haswa hakupo kwenye grammar
Hujaeleweka na ndio maana nimekuambia hata ungeandika kwa namna niliyo pendekeza mimk bado upo kwenye box lile lile
Hauko sahihi kwasababu atheism sio imani, sio kwasababu ya grammar errors
Ukisema atheism ni imani unakuwa huna tofauti na mtu anayesema "umewahi kuona kitu gani cha njano ambacho ni invisible"Hahaha!!! Huangalii vitu kama context ilivyo..
Atheist, scientism zote ni imani.
Kusema kwamba hakuna Mungu ni nini kama sio imani?
Hahaha!!! yan hiyo reason ya kitoto sana.Ukisema atheism ni imani unakuwa huna tofauti na mtu anayesema "umewahi kuona kitu gani cha njano ambacho ni invisible"
Kivipi chenye sifa ya kutoonekana kiwe na rangi?
Au ngoja niiweke kwa namna nyingine
Athesism iwe imani ya kuamini Mungu hayupo
Lakini nawe kama ni mkristo ambaye huamini Mungu Allah basi atahesabika kuwa una dini mbili
Moja ni ukristo na nyingine ni uislamu uliyoipata kwa kutoamini Mungu Allah
Hiyo itakuwa imekaaje?
Hivi umesoma hicho ulichokiandika ? Hujataja jina la kitabu kijana, umetaja jina la Imamu Suyuti, na ukataja jina chuo kikuu cha Al-Azhari, na mji wa Cairo uliopo Misri, na mwaka wa Hijiria na ukurasa.
Kukosa imani sio imaniHahaha!!! yan hiyo reason ya kitoto sana.
Complexity ya kitu haifanyi kitu hicho kuwa uongo au simpplicity ya kitu haifanyi kitu hicho kuwa kweli.
Unaongelea degree tu ya imani na sio kukosa imani hapo.
Kusema kwamba huamini kitu maanayake unaamini kuwa huamini chochote.
Kama haitoshi nikakuwekea na image ya quoteHivi umesoma hicho ulichokiandika ? Hujataja jina la kitabu kijana, umetaja jina la Imamu Suyuti, na ukataja jina chuo kikuu cha Al-Azhari, na mji wa Cairo uliopo Misri, na mwaka wa Hijiria na ukurasa.
Nasubiri jina la kitabu.
Hahahaa!!!Kukosa imani sio imani
Kama ilivyo kutofanya mapenzi kuwa sio mkao wa style ya kufanya mapenzi
Kijana nilikupa angaliza ukianzisha mada kama hizi hakikisha umesoma ukaelewa. Qur'aan haina matoleo kijana hili kwanza weka akilini.Quran version gani?
Ya 1924 ya kimisri iliyokuwa edited na Iman Hafs?
Au ya Imam Warsh's ambayo inatumika sana north africa?
Ina maana hukuona hapo kwamba hujaweka jina la kitabu au unajitoa ufahamu ?Kama haitoshi nikakuwekea na image ya quote
Ipi hoja yako, sio kweli kuwa maneno hayo yalisemwa kama nilivyo nukuu?
Sisi tutamuuliza imekuwaje amefikia hitimisho hilo ?Mkristo anaweza aka formulate hoja kwa mtindo huo huo
Akaweka assertion hapo kwenye Mungu akamuweka Yesu na akasema tayari kasha thibitisha Yesu alibatizwa na ndio njia ya kweli ya uzima, huwezi kuiona pepo bila kupitia yeye
Haya yote yanarudi kule kule mpaka amefikia hapo kuna mchakato umepitia kisha tuna hoji mpaka tunajua ukweli ni upi.Akaweka msingi wake wa hoja, kama ule ule uliotumika kwenye Mungu
Halafu aka conclude kua kwa vigezo hivyo basi ni kweli Yesu ndio njia ya kweli na uzima
- Maandiko ni ya kweli kwasababu yameandikwa na Mungu au watu walio ongozwa
- . Nani aliwaongoza hao watu? (Mungu ndio alifanya hiyo kazi)
Utakubali?
Principle gani niliyo ikubali ?Utapinga richa ya kwamba katumia principle ile ile uliyoikubali kwenye hoja nyingine kwasababu hoja ya mara ya pili inaenda kinyume na mafundisho yako?
Tangu alipokufa mtume.Ilipokamilika tangu muda gani?
Kutoka kwa watu na sehemu walipo andika.Alikuwa akiikusanya kutoka wapi?
Nanukuu, kijana unaonekana huna marejeo ya uhakika.Sio kweli kua watu waliifadhi kifuani, bali waliokuwepo currently walikuwa wameifadhi aya chache kifuani ambazo hazikuweza kutosha kukamilika
Unajua kama Zayd bin Thabit alikuwa amehifadhi yote ? Na yeye alikuwa amekufa ?Waliodaiwa kuifadhi Quran kifuani walikuwa wamekwisha uliwa kwenye vita ya Yamama
Kijana inakuwaje unauliza maswali ambayo nimeshajibu ? Qur'aan ilikuwa imehifadhiwa katika vifua vya watu na imeandikwa sehemu mbali mbali, kilichofanywa na maswahaba ni kuikusanya na kuiweka katika mfumo wa kitabu kimoja ili iwe marejeo kwa wengine.Quran ilikuwepo wapi?
Unauliza maswali ya kitoto sana, sababu ilikuwa ni watu kufa na ilikuwa haijawekwa sehemu moja kama kitabu.Kwanini likatoka wazo la kukusanya wakati ilikuwepo?
Nani anasema anaamini Mungu hayupo?Hahahaa!!!
Unaposema huamini Mungu na unaposema unaamini Mungu hayupo kipi sahihi?
Kitu chochote ambacho hakielezeki kwa sheria za kisayansi hiyo ndio imani..
Unaposikiliza mziki flani kama wa dax unakuwa unaongozwa na logic gani kuupenda?
Au unaamini tu ni mzuri?
Kwanini umuulize wakati kanuni imejitosheleza?Sisi tutamuuliza imekuwaje amefikia hitimisho hilo ?
Haya yote yanarudi kule kule mpaka amefikia hapo kuna mchakato umepitia kisha tuna hoji mpaka tunajua ukweli ni upi.
Principle gani niliyo ikubali ?
Unatumia simple things to disuss complex things.Nani anasema anaamini Mungu hayupo?
Atheism ni lack of beliefs, ukosefu wa kitu sio umiliki wa kitu
Kutokuwa na imani, sio kuwa na imani
Kutokuwa na hobby ya michezo sio aina flani inayokutambulisha kama ni mwana sport
TV Kuzima haihesabiki kitendo hicho kama ni channel ya TV
Atheism is not a belief system just like
Unemployed is not a some sort of Job
Naked is not clothing style