Tushayaongea haya, inashangaza siku iz kila siku mijadala yaimani haikomi humu JF,na huu ndio wakat sahihi wa watu kuujua ukwel, apart from dini.
Huyo Mungu wa dini ambaye analazimisha umjuw kupitia mafunzo ya dini&kusoma vitabu huyo sio Mungu bali stori tu.
Kuna maswal mpka leo hakuna yeyote awezaye kuyajibu kama akili yake imebase kwenye hayo mastory yasiyo na uthibitisho.
Jiulize huyo Mungu wenu wa uongo wa ukristo na uislamu, bila mkoloni kuja mungemjua huyo Allah sjui jesus/Elohim? Mungemjua kwel?
Ni muda mrefu dunia imepitia tangu ule wakat mnaouita uumbaji, zaid ya maelfu ya miaka imepita, lkn chaajabu uyo Mungu wenu wa dini kaja kujifunua Afrika na kwa nchi za mtu mweusi miaka ya karbuni tu hiv kama 400 iliyopita mbali na maelfu ya miaka [emoji23][emoji23] jibu swal huyo pimbi wenu alikuwa wap muda woote uo kuja Afrika kujitambulisha ili tumjue? Je wale wazee waliokufa before hiz imani hazijaja waliabudu nni?
Shahidi hivyo vitabu vyenu mnavyoita vitakatifu, ilihali vimejawa uongo na stor za kujipinga.
Vitisho na uongo ndvyo vimejawa ktk hivyo vitabu, ambapo wengi wanaosoma hayo mastori hulazimika kuamini kwa lazima bila kuhoji kwakuhofia hukumu ya moto, huu ni Upumbavu kbsa.
Huwez kumthibitisha Muumba wa kwel kupitia maandiko maana dunian kila taifa na jamii zina imani zao ambazo zinaamin ktk Uungu mpka wanaoamini ngombe&sanamu ni miungu, je maneno yao tunaweza proof kuwa sahihi sabbu yamekutaka uamin?
Yapo mengi ya kuprove uwepo wa Muumba wa kwel, na haya ukiyatumia kupima Uungu wa hao wasadikika wa Quran & Bible utagunduakuwa hiyo miungu haipo, bali ni stori za wahuni wa kizungu&arabu walioamua kutumia nguvu za ushirikina &mashetan kwa kuyageuza Miungu tokea ktk tamaduni zao na kuforce jamii zingine ziamn kilazima.
Fuatilia kipindi cha uenezi wa hizo injili na dini, mamilion walkufa sabbu ya dini, je ukowapi Upendo wa uyo Mungu wenu wa mchongo??
Jesus, Allah,jehiva, elishadai, elohimu hawa wote ni mashetan ktk uhusika tofaut na majina tofauti ambpo hutumia majina tofaut lkn mhusika ni mmoja.
[emoji117]Note: mungu wa dini zote ni mmoja& hayupo maana hana sifa za uumbaji.
Ukwel mchungu
View attachment 2139235