Philosophy of Religion: Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kwa hoja ya Ufunuo na maandiko matakatifu

Philosophy of Religion: Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kwa hoja ya Ufunuo na maandiko matakatifu

Tatizo umejibu kidini(imani) tena kwa muhemuko kweli kweli .. ebu tafakari bila kuwa ba mrengo halafu ndo uandike.
Sasa mwenye mihemko mimi au wewe ? Kosoa nilichokiandika siyo unaonyesha uoga mapema namna hii.

Hapa kama hujui jambo linalojadiliwa hapa ni bora ukaendelea kusoma kimya kimya.

Shukrani.
 
Kanuni nimeiweka mimi kuonesha namna gani haifai kwasababu ina circukar reasoning

Ila wewe ukanipinga kwa kusema iko vizuri na imeekezea kwa usahihi

Sasa nashangaa saizi baada ya mimi kuitumia kwenye jambo ambalo linapingana na imani yako umeanza kuiwekea vikwazo na kuonesha haifai
Hakuna sehemu niliyo wekea kikwazo nina uhakika hujasoma ukaelewa nilicho kiandika. Msingi wa hoja yangu na ndiyo haujabadilika uko katika kuhakiki habari na kujua mwanzo na hitimisho lake.

Mimi nachokupinga wewe ni kutokusoma kwako hii mada na kutokuchunga amana, yaani hata hujui kunukuu marejeo, huwezi ukaniwekea screenshot na usiandike jina la kitabu huu ni uhuni au kutokujua adabu za kujishughulisha na marejeo. Sasa mimi bado naishi katika kile nilichokukosoa wewe.

Sasa nakuuliza onyesha wapi nimeweka kikwazo ?
Wala usinipe lawama wakati hapa tu unaonesha kuipinga kanuni hiyo
Onyesha nilipo pinga.

Usisahau kujibu maswali niliyo kuuliza.
1. Ukubali kua msingi wa kanuni hiyo ina logical contradiction na haifai, ili ujiweke kwenye nafasi ya kutomkubali Yesu kuwa bwana na mwokozi wa maisha yako
Msingi wangu ni kuhakiki habari kujua ukweli wake na kufikia hitimisho lake ndiyo maana sikukataa hilo bali nilikurudisha katika mizani ya uhakiki wa habari ambayo wewe siyo kwamba hujaiweka bali nina uhakika huijui, nilikwambia hata awekwe Yesu sisi tunarudi kuhakiki habari, hii haipingani na nilichokwambia kwamba lazima tuangalie mchakato ulikuwaje mpaka tukafika katika hitimisho hilo, rejea nilichokiandika huko nyuma.
2. Na kwasababu utakuwa umechagua option namba 1 basi automatical utakuwa umepinga hoja ya uwepo wa Mungu uliyoonesha kuikubali mwanzo ilivyotungwa kupitia kanuni hii
Kijana jaribu kukua na uwe mkweli na uonyeshe hicho unachokidai usiandike kama mwanafunzi aliye karirishwa nadharia yaani unaandika kirahisi rahisi tu bila kung'amua hoja husika.
 
Mtu anayejua chorus ya wimbo wa "Dax my last words" hawezi kuhesabiwa kama ni mtu ambaye anaujua wimbo mzima

Hao unaowaita maswahaba walikuwa wameshika some verses ambazo hazikuwatosha kuweza kutoa kitabu kimoja kilicho kamilika

Nimekuuliza swali hapo

Kulikuwa na haja gani ya wao kuhangaika kutafutiza maneno sehemu tofauti tofauti ilihali wao walikuwa wamei master Quran yote kifuani?
Hili nimeshakujibu.
 
Tushayaongea haya, inashangaza siku iz kila siku mijadala yaimani haikomi humu JF,na huu ndio wakat sahihi wa watu kuujua ukwel, apart from dini.

Huyo Mungu wa dini ambaye analazimisha umjuw kupitia mafunzo ya dini&kusoma vitabu huyo sio Mungu bali stori tu.

Kuna maswal mpka leo hakuna yeyote awezaye kuyajibu kama akili yake imebase kwenye hayo mastory yasiyo na uthibitisho.

Jiulize huyo Mungu wenu wa uongo wa ukristo na uislamu, bila mkoloni kuja mungemjua huyo Allah sjui jesus/Elohim? Mungemjua kwel?

Ni muda mrefu dunia imepitia tangu ule wakat mnaouita uumbaji, zaid ya maelfu ya miaka imepita, lkn chaajabu uyo Mungu wenu wa dini kaja kujifunua Afrika na kwa nchi za mtu mweusi miaka ya karbuni tu hiv kama 400 iliyopita mbali na maelfu ya miaka [emoji23][emoji23] jibu swal huyo pimbi wenu alikuwa wap muda woote uo kuja Afrika kujitambulisha ili tumjue? Je wale wazee waliokufa before hiz imani hazijaja waliabudu nni?

Shahidi hivyo vitabu vyenu mnavyoita vitakatifu, ilihali vimejawa uongo na stor za kujipinga.

Vitisho na uongo ndvyo vimejawa ktk hivyo vitabu, ambapo wengi wanaosoma hayo mastori hulazimika kuamini kwa lazima bila kuhoji kwakuhofia hukumu ya moto, huu ni Upumbavu kbsa.

Huwez kumthibitisha Muumba wa kwel kupitia maandiko maana dunian kila taifa na jamii zina imani zao ambazo zinaamin ktk Uungu mpka wanaoamini ngombe&sanamu ni miungu, je maneno yao tunaweza proof kuwa sahihi sabbu yamekutaka uamin?

Yapo mengi ya kuprove uwepo wa Muumba wa kwel, na haya ukiyatumia kupima Uungu wa hao wasadikika wa Quran & Bible utagunduakuwa hiyo miungu haipo, bali ni stori za wahuni wa kizungu&arabu walioamua kutumia nguvu za ushirikina &mashetan kwa kuyageuza Miungu tokea ktk tamaduni zao na kuforce jamii zingine ziamn kilazima.

Fuatilia kipindi cha uenezi wa hizo injili na dini, mamilion walkufa sabbu ya dini, je ukowapi Upendo wa uyo Mungu wenu wa mchongo??

Jesus, Allah,jehiva, elishadai, elohimu hawa wote ni mashetan ktk uhusika tofaut na majina tofauti ambpo hutumia majina tofaut lkn mhusika ni mmoja.

[emoji117]Note: mungu wa dini zote ni mmoja& hayupo maana hana sifa za uumbaji.


Ukwel mchungu
View attachment 2139235
Watu wametafuta namna ya kujipa comfort

Wametengeneza uzembe tegemezi kwa kuendekeza mawazo waliyo jitengenezea kichwani wakiamini huko angani kuna jamaa mwenye midevu na nguo nyeupe

Jamaa ambaye muda wote hana kazi ya kufanya zaidi ya kuangalia nani kafanya dhambi nani hajafanya dhambi

Watu wamejikuta wakiwa watumwa kwa mawazo yao na kudhani jamaa huyo ili kumridhisha inabidi ukae na njaa (wanaita mfungo) utoe pesa (wanaita sadaka)

Halafu ikitokea kitu unacho wish hakijaenda ulivyotaka, hapo itahesabika kama jamaa anajibu maombi kwa wakati wake kwa hiyo uwe mpole

Ikitokea umefanya juhudi zako jambo likafanikiwa basi hapo itahesabika jamaa kajibu maombi yako

Ukiumwa, ni mpinzani wa huyo jamaa ambaye ana sifa ya mapembe na kila kitu kibaya kuwa anakujaribu

Unatakiwa umuombe jamaa mwenye uchebe aliyevalua nguo nyeupe ili akuepushe na mchizi mwenye pembe

Ikitokea umeomba na ukafa, basi huku tutasema jamaa mwenye uchebe na mavazi meupe alikupenda zaidi japokuwa mwanzo tulikuwa tunsmpa lawama mpinzani wake
 
Hao walihifadhi Qur'aan yote kwa mujibu wa lahaja fulani, ndiyo maana hapo baadae akaja swahaba mwingine kutoa ushauri wa kuzikusanya lahaja zote saba ziwepo katika nakala moja.

Kwahiyo iliwawajibika wakusanye kwa wengine na kujua aya hii ipo katika sura gani na ile ipo wapi na hii ilishuka wakati gani na ile ilishuka wakati kwahiyi si jambo la mtu mmoja pweke.
Tatizo liko wapi sijui hatuekewani

Unaposema huyo aliyetoa ushauri kwamba ikusanywe iwekwe kwenye single book halafu akawatafuta hao watu walio hifadhi Quran.

Hiki ndio kipengele ambacho rmtunashindwa kuekewana

Ni kwamba unakusudia kwamba hicho kikundi kilichotafutwa na huyo swahaba kiliandika Quran kutoka kwenye vichwa vyao bila ku involve other extenal sources?

Nasema hivyo kwasababu hao watu ndio waliokuwa wakizunguka kila pembe kusaka aya, sasa kivipi tena aya ambazo ziko kichwani wao waanze kuhangaika kwenye minguo kusakama masalia ya verses?

Kwa jinsi unavyoeleza wewe kwamba Quran ilikuwa imehifadhiwa na hao watu basi ingeonesha kukamilika ndani ya muda mfupi kwasababu ilikuwa ni ishu ya kupaste tu
 
Tushayaongea haya, inashangaza siku iz kila siku mijadala yaimani haikomi humu JF,na huu ndio wakat sahihi wa watu kuujua ukwel, apart from dini.
Ukweli gani huo ? Nje ya dini na unahusu nini ?
Huyo Mungu wa dini ambaye analazimisha umjuw kupitia mafunzo ya dini&kusoma vitabu huyo sio Mungu bali stori tu.
Embu tujadili hili kwenye Uislamu sababu mimi ni Muislamu.

Unaweza kunionyesha wapi Mola amelazimisha umjue ?

Kingine naomba uthibitishe ya kuwa hizo ni stori. Bila shaka unajua sifa ya habari kuitwa stori. Najua wewe ni miongoni mwa watu wanao kimbia maswali, hapa usikimbie sababu mmekuwa wajinga mpaka mnakera sasa.

Kuna mwenzako humu huwa anadai hizi ni Hadithi, ila nikimuomba athibitishe hilo anakimbia na hakuna aliyeweza kujibi swali hilo, na wewe hutaweza kujibu swali hilo, bali nataka nikuonyeshe kiwango chako cha ujinga kilivyo.
Kuna maswal mpka leo hakuna yeyote awezaye kuyajibu kama akili yake imebase kwenye hayo mastory yasiyo na uthibitisho.
Katika maswali marahisi kuwahi kuulizwa haya uliyo yauliza shida yenu hamsomi na hamjui wapi mkasome na kuzijua hizi habari, ndiyo maana huwa nawashangaa sana mnapo uliza maswali mepesi kama haya.
 
Kijana elewe Qur'aan iliteremka katika lahaja saba ni ngumu mtu mmoja kuhifadhi lahaja zote hasa kwa wakati ule ambao haikuwa katika nakala moja. Jaribu kusoma uelewe kuna maswali unauliza marahisi sana kiasi ambacho laiti kana ungetuliza akili yako usingeuliza.
Sasa mbona unajipinga tena?

Mwanzo ulisema Quran ilikamilika na ilihifadhiwa kifuani yote na watu hata baada ya vita ya Yomama, saizi tena unapiga kuwa haikuwezekana kuihifadhi yote kwasababu ilikuwa na contents kubwa

Nadhindwa kukuelewa
 
Jiulize huyo Mungu wenu wa uongo wa ukristo na uislamu, bila mkoloni kuja mungemjua huyo Allah sjui jesus/Elohim? Mungemjua kwel?
Uislamu umefika lini Afrika ?

Sababu Misri, Habashi ambayo ilijumuisha Ethiopia ya leo, Sudani, Eritrea Uislamu haukuletwa na Mkoloni hoja yako iko wapi ?

Lakini jalia mfano Uislamu umeletwa na Mkoloni swali,shida iko wapi ? Kingine elimu au haki huja kwa hatua na kuna sababu zake kwamba jambo huanzia kwa watu fulani kisha hwenda kwa wengine, mbona uhoji kuhusu Teknolojia inavyo hama kutoka sehemu moja kwenda nyingine na elimu iko hivyo hivyo.

Ndiyo maana tumemjua kwa njia hizo na alipanga iwe hivyo ndiyo maana imekuwa.
Ni muda mrefu dunia imepitia tangu ule wakat mnaouita uumbaji, zaid ya maelfu ya miaka imepita, lkn chaajabu uyo Mungu wenu wa dini kaja kujifunua Afrika na kwa nchi za mtu mweusi miaka ya karbuni tu hiv kama 400 iliyopita mbali na maelfu ya miaka
emoji23.png
emoji23.png
jibu swal huyo pimbi wenu alikuwa wap muda woote uo kuja Afrika kujitambulisha ili tumjue? Je wale wazee waliokufa before hiz imani hazijaja waliabudu nni?
Kwanini unaandika uongo ? Mansa Musa tangu afariki imepita miaka mingapi ?

Nabii Musa aliishi Afrika ? Nabii Yusufu aliishi Afrika, unaiongelea Africa gani ?

Ukanda huu tu wa Afrika ukisoma kitabu cha Ibn Batuta utaona amekufa zaidi ya miaka 600 lakini aliukuta Uislamu Kilwa.

Nachokiona hapa najadiliana na watu wanao sikia stori za vijiweni.
Shahidi hivyo vitabu vyenu mnavyoita vitakatifu, ilihali vimejawa uongo na stor za kujipinga.
Mimi nakupa miaka kumi uonyeshe uongo wowote katika Qur'aan, ukiweza nitaomba hii ID yangu ifungiwe na wewe utakuwa shahidi.
Vitisho na uongo ndvyo vimejawa ktk hivyo vitabu, ambapo wengi wanaosoma hayo mastori hulazimika kuamini kwa lazima bila kuhoji kwakuhofia hukumu ya moto, huu ni Upumbavu kbsa.
Hizi porojo na malalamiko, hakuna hoja hapa.
Huwez kumthibitisha Muumba wa kwel kupitia maandiko maana dunian kila taifa na jamii zina imani zao ambazo zinaamin ktk Uungu mpka wanaoamini ngombe&sanamu ni miungu, je maneno yao tunaweza proof kuwa sahihi sabbu yamekutaka uamin?

Yapo mengi ya kuprove uwepo wa Muumba wa kwel, na haya ukiyatumia kupima Uungu wa hao wasadikika wa Quran & Bible utagunduakuwa hiyo miungu haipo, bali ni stori za wahuni wa kizungu&arabu walioamua kutumia nguvu za ushirikina &mashetan kwa kuyageuza Miungu tokea ktk tamaduni zao na kuforce jamii zingine ziamn kilazima.

Fuatilia kipindi cha uenezi wa hizo injili na dini, mamilion walkufa sabbu ya dini, je ukowapi Upendo wa uyo Mungu wenu wa mchongo??

Jesus, Allah,jehiva, elishadai, elohimu hawa wote ni mashetan ktk uhusika tofaut na majina tofauti ambpo hutumia majina tofaut lkn mhusika ni mmoja.

emoji117.png
Note: mungu wa dini zote ni mmoja& hayupo maana hana sifa za uumbaji.
Haya ni malalamiko hakuna hoja hapa.

Ulivyo anza kwa mbwembwe kijana kama unajua vile, halafu hapa kuna mjinga mwenzako naona amekuunga mkono.
 
Tatizo liko wapi sijui hatuekewani

Unaposema huyo aliyetoa ushauri kwamba ikusanywe iwekwe kwenye single book halafu akawatafuta hao watu walio hifadhi Quran.

Hiki ndio kipengele ambacho rmtunashindwa kuekewana

Ni kwamba unakusudia kwamba hicho kikundi kilichotafutwa na huyo swahaba kiliandika Quran kutoka kwenye vichwa vyao bila ku involve other extenal sources?

Nasema hivyo kwasababu hao watu ndio waliokuwa wakizunguka kila pembe kusaka aya, sasa kivipi tena aya ambazo ziko kichwani wao waanze kuhangaika kwenye minguo kusakama masalia ya verses?

Kwa jinsi unavyoeleza wewe kwamba Quran ilikuwa imehifadhiwa na hao watu basi ingeonesha kukamilika ndani ya muda mfupi kwasababu ilikuwa ni ishu ya kupaste tu
Soma nilichokiandika kipo wazi sana. Hivi uliisoma historia ya Qur'aan wapi kijana ?
 
Hakuna sehemu niliyo wekea kikwazo nina uhakika hujasoma ukaelewa nilicho kiandika. Msingi wa hoja yangu na ndiyo haujabadilika uko katika kuhakiki habari na kujua mwanzo na hitimisho lake.

Mimi nachokupinga wewe ni kutokusoma kwako hii mada na kutokuchunga amana, yaani hata hujui kunukuu marejeo, huwezi ukaniwekea screenshot na usiandike jina la kitabu huu ni uhuni au kutokujua adabu za kujishughulisha na marejeo. Sasa mimi bado naishi katika kile nilichokukosoa wewe.

Sasa nakuuliza onyesha wapi nimeweka kikwazo ?

Onyesha nilipo pinga.

Usisahau kujibu maswali niliyo kuuliza.

Msingi wangu ni kuhakiki habari kujua ukweli wake na kufikia hitimisho lake ndiyo maana sikukataa hilo bali nilikurudisha katika mizani ya uhakiki wa habari ambayo wewe siyo kwamba hujaiweka bali nina uhakika huijui, nilikwambia hata awekwe Yesu sisi tunarudi kuhakiki habari, hii haipingani na nilichokwambia kwamba lazima tuangalie mchakato ulikuwaje mpaka tukafika katika hitimisho hilo, rejea nilichokiandika huko nyuma.

Kijana jaribu kukua na uwe mkweli na uonyeshe hicho unachokidai usiandike kama mwanafunzi aliye karirishwa nadharia yaani unaandika kirahisi rahisi tu bila kung'amua hoja husika.
Kwani hoja niliyo propose kwako kuhusu yesu kuwa njia ya kweli na uzima kwa ksnuni ile ile iliyotumika kwa Mungu, umeikubali?

Mwanzo nimekuwekea Quote ya mwanazuoni, nikaja nikakuwekea na screenshot ikionesha lugha asili iliyitumika na tafsiri yake ya kingereza lakini bado unaona haitoshi

Hujanambia kwanini screenshot hiyo isiwe reliable, au kwanini jambo la ukweli haliwezi kunukuliwa kwa screenshot
 
Sasa mbona unajipinga tena?

Mwanzo ulisema Quran ilikamilika na ilihifadhiwa kifuani yote na watu hata baada ya vita ya Yomama, saizi tena unapiga kuwa haikuwezekana kuihifadhi yote kwasababu ilikuwa na contents kubwa

Nadhindwa kukuelewa
Kijana unanichosha sana aisee, hivi unaelewa naposema lahaja ? Leo hii ukija Tanzania ukiambiwa mtoto wangu amehifadhi Qur'aan ujue ameihafadhi Qur'aan kwa namna ya usomaji wa Riwaya ya Imamu Hafsi aliyo ipokea toka kwa Imamu Aaswim hii chain inaenda mpaka kwa Mtume. Maswahaba walikuwa wahifadhi kulingana na ndimi fulani, wengine kwa namna fulani hii haimaanishi kwamba haijahifadhiwa ndiyo maana nimekuwekea maswahaba walio hifadhi Qur'aan yote. Huelewei wapi ?
 
Sayansi haina majibu sio kwenye ishu ya Mungu tu

Haina majibu kuhusu unicorn, thor, spiderman, tea pot inayo orbit kwenye jua nk.
Hiyo Thor Spiderman nahisi ni idea sidhani kama kuna mtu anaamini kuwa hivo vinaishi
 
Soma nilichokiandika kipo wazi sana. Hivi uliisoma historia ya Qur'aan wapi kijana ?
Jibu hoja hizo,

Unapinga kwamba Quran haikuwa compiled kwenye mapanga, nguo, wanyama na badala yake ilitolewa kutoka kwa watu walio hifadhi yote vifuani mwao?
 
Kwani hoja niliyo propose kwako kuhusu yesu kuwa njia ya kweli na uzima kwa ksnuni ile ile iliyotumika kwa Mungu, umeikubali?
Uliza swali sahihi kulingana na majibu yangu.
Mwanzo nimekuwekea Quote ya mwanazuoni, nikaja nikakuwekea na screenshot ikionesha lugha asili iliyitumika na tafsiri yake ya kingereza lakini bado unaona haitoshi
Nilikutaka uweke jina la kitabu lakini mpaka muda huu hujafanya. Ushawahi kuandika tafiti yoyote ? Vile ulivyo andika ndiyo huwa mnaandika marejeo ya vitabu ?

Kijana usihangaike sana, kwa ufupi hukijui unachokijadili yaani hujakisoma ndiyo maana hujui hata jina la kitabu. Tafuta jina la kitabu, nasema hivyo kwa sababu nyingi sana, maneno uliyo ya screenshot hayajajitosheleza.
Hujanambia kwanini screenshot hiyo isiwe reliable, au kwanini jambo la ukweli haliwezi kunukuliwa kwa screenshot
Jibu rahisi sana sababu hujairudisha kwenyw asili yake.
 
Jibu hoja hizo,

Unapinga kwamba Quran haikuwa compiled kwenye mapanga, nguo, wanyama na badala yake ilitolewa kutoka kwa watu walio hifadhi yote vifuani mwao?
Hili nimeshakujibu. Kingine kijana huna hoja katika hii mada, umekurupuka sana na nilikupa tahadhari.

Umeanza kukimbia maswali yangu katika kuikosoa logic ba katika historia kadhalika umechemka.

Nimekuuliza swali rahisi sana, nitajie kitabu ulichosoma hizi habari za Qur'aan unaruka ruka mpaka muda huu.

Kazi yangu nimemaliza, sasa nasubiri majibu ya maswali yangu niliyo kuuliza.
 
Kijana unanichosha sana aisee, hivi unaelewa naposema lahaja ? Leo hii ukija Tanzania ukiambiwa mtoto wangu amehifadhi Qur'aan ujue ameihafadhi Qur'aan kwa namna ya usomaji wa Riwaya ya Imamu Hafsi aliyo ipokea toka kwa Imamu Aaswim hii chain inaenda mpaka kwa Mtume. Maswahaba walikuwa wahifadhi kulingana na ndimi fulani, wengine kwa namna fulani hii haimaanishi kwamba haijahifadhiwa ndiyo maana nimekuwekea maswahaba walio hifadhi Qur'aan yote. Huelewei wapi ?
Kwanza hiki unachokiandika hapa nakiona kama ni personal perspective, otherwise uje na vivid evidence kutoka reliable source ikiongelea hiki ulichokiandika

Hao maswahaba uliowaweka na kuwataja kama walihifadhi Quran yote, una hakika kile walichokinukuu hakikutoka nje ya kile ambacho walikuwa wamekihifadhi kifuani?

Ebu cheki huyu Zayid Ibn Thabit alivyoelezewa hapa na namna unavyomuelezea wewe

Huyo alikuwa ni editor au secretary wa Muhammad na alikuwa na kibarua cha kuzunguka kutafuta maandiko, sasa kivipi tena huyu mtu anayetafuta text awe ni mmoja wa watu walio hifadhi Quran yote?
 
Hiyo Thor Spiderman nahisi ni idea sidhani kama kuna mtu anaamini kuwa hivo vinaishi
Kwani kigezo kinachofanya Mungu isiwe ni idea ni nini?

Kwasababu watu wanaamini?

Kwa hiyo unaamini endapo kuna watu watakuwa wanaamini Thor na spiderman basi character hao lazima wawepo?
 
Uliza swali sahihi kulingana na majibu yangu.
Majibu ndio ynayopaswa kuwa sahihi kulingana na swali
Nilikutaka uweke jina la kitabu lakini mpaka muda huu hujafanya. Ushawahi kuandika tafiti yoyote ? Vile ulivyo andika ndiyo huwa mnaandika marejeo ya vitabu ?
Kwa hiyo ile niliyokuwekea mimi ni kitu gani?

Kijana usihangaike sana, kwa ufupi hukijui unachokijadili yaani hujakisoma ndiyo maana hujui hata jina la kitabu. Tafuta jina la kitabu, nasema hivyo kwa sababu nyingi sana, maneno uliyo ya screenshot hayajajitosheleza.
Kama umeamua kukataa hiyo quote ni sawa
Jibu rahisi sana sababu hujairudisha kwenyw asili yake.
Asili yake ipi?
 
Hili nimeshakujibu. Kingine kijana huna hoja katika hii mada, umekurupuka sana na nilikupa tahadhari.

Umeanza kukimbia maswali yangu katika kuikosoa logic ba katika historia kadhalika umechemka.

Nimekuuliza swali rahisi sana, nitajie kitabu ulichosoma hizi habari za Qur'aan unaruka ruka mpaka muda huu.

Kazi yangu nimemaliza, sasa nasubiri majibu ya maswali yangu niliyo kuuliza.
Sio kila kitu kipo in term of book, hususani kwenye vitu vya kale

Na hata hivyo zipo nukuu ambazo zipo ndani ya vitabu fulani ambazo zimekuwa maarufu kuliko kitabu chenyewe


Zipo article nyingi zimeelezea hizi habari kwa upana wake, hebu soma hapa History of Quran halafu unioneshe hao waliobakia wakiwa wamehifadhi Quran yote baada ya vita ya Yomama

Unapinga hiyo source?
 
Hiyo process ya kufikia conclusion kuwa hakipo ni ipi? na ni personal au universal?
Au nikiamua tu naweza kusema hakipo.
Kwanini unaniuliza swali ambalo nimekujibu hapo kwenye post yangu tena kwa kuonesha msisitizo nimei highlight ikiwa bolded kwa rangi nyekundu?
 
Back
Top Bottom