Philosophy of Religion: Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kwa hoja ya Ufunuo na maandiko matakatifu

Philosophy of Religion: Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kwa hoja ya Ufunuo na maandiko matakatifu

Kutokuwa na imani inapogeuka kuwa ndio hali ya msimamo wako wa moja kwa moja hiyo tuiitaje? yani mtu anafahamika kabisa kwamba yeye msimamo wake ni kupinga kuhusu kitu fulani kabla hata hujamueleza chochote ila yeye keshaweka msimamo kabisa kuwa hakubaligi hicho kitu.
Na ndio maana ikaitwa lack of beliefs
 
Kuamini sio tatizo mkuu hata kwenye sayansi tunaamini nadharia mbalimbali, ingekuwa vizuri ukathibitisha kuwa hicho wanachoamini ni batili kama kuthibitisha kuwa huko angani hakuna huyo wanaeamini kuwa yupo.
Kwa mfano kama nadharia ipi?
 
Watu wametafuta namna ya kujipa comfort

Wametengeneza uzembe tegemezi kwa kuendekeza mawazo waliyo jitengenezea kichwani wakiamini huko angani kuna jamaa mwenye midevu na nguo nyeupe

Jamaa ambaye muda wote hana kazi ya kufanya zaidi ya kuangalia nani kafanya dhambi nani hajafanya dhambi

Watu wamejikuta wakiwa watumwa kwa mawazo yao na kudhani jamaa huyo ili kumridhisha inabidi ukae na njaa (wanaita mfungo) utoe pesa (wanaita sadaka)

Halafu ikitokea kitu unacho wish hakijaenda ulivyotaka, hapo itahesabika kama jamaa anajibu maombi kwa wakati wake kwa hiyo uwe mpole

Ikitokea umefanya juhudi zako jambo likafanikiwa basi hapo itahesabika jamaa kajibu maombi yako

Ukiumwa, ni mpinzani wa huyo jamaa ambaye ana sifa ya mapembe na kila kitu kibaya kuwa anakujaribu

Unatakiwa umuombe jamaa mwenye uchebe aliyevalua nguo nyeupe ili akuepushe na mchizi mwenye pembe

Ikitokea umeomba na ukafa, basi huku tutasema jamaa mwenye uchebe na mavazi meupe alikupenda zaidi japokuwa mwanzo tulikuwa tunsmpa lawama mpinzani wake
Huwa nawauliza Mungu gani kwanza unayemzungumzia hata japan mfalme wao alikua mungu mpaka mwaka 1945. na namuuliza mbingu ya 7 ipo wapi sasa hivi tumeshavuka beyond solar system.
Na huwa nawakumbusha kuwa mungu wanayemzungumzia ni anapenda chukua watu mateka na kuwafanya watumwa wale wasiomuamini
 
Huwa nawauliza Mungu gani kwanza unayemzungumzia hata japan mfalme wao alikua mungu mpaka mwaka 1945. na namuuliza mbingu ya 7 ipo wapi sasa hivi tumeshavuka beyond solar system.
Na huwa nawakumbusha kuwa mungu wanayemzungumzia ni anapenda chukua watu mateka na kuwafanya watumwa wale wasiomuamini
Kunaye jamaa mmoja humu anaitwa mokaze alikuwa anaipamba Quran kuwa ni kitabu chenye habari za kisayansi na kwamba wanasayansi wamekua wakikitumia hico kitabu kufanya tafiti zao

Nikamuuliza habari za sayansi ambazo zipo kwenye Quran ni habari gani? akaja na verse hii

Have those who disbelieved not considered that the heavens and the earth were a joined entity, and We separated them as under and We made from water every living thing? Will they not then believe?

Quran 21:30

Nikamuuliza hiyo verse imezungumzia habari gani ya sayansi akasema hapo imetaja Bing Bang. Nilicheka

Sikutaka mambo mengi nikamuambia kama ni hivyo kua sayansi ina copy habari za Quran na kuzitumia kwenye tafiti zake kwakua Quran ilikuwepo miaka mingi kabla ya sayansi basi hata Quran itakuwa ili copy hizo verse kutoka kwenye dini ya Sumerians ambayo ilikuwepo miaka elfu kabla ya Quran nikampa hiyo verse kutoka kwenye dini ya sumerian ili aone jinsi gani Quran ili copy habari hiyo

Akabadili uelekeo, ikabidi aitambue dini ya sumerian kama dini ya Mungu wa kweli lakini tangu nilipomuambia Sumerian wana miungu 7 na hao miungu wamezaana akabaki njia panda
 
Kunaye jamaa mmoja humu anaitwa mokaze alikuwa anaipamba Quran kuwa ni kitabu chenye habari za kisayansi na kwamba wanasayansi wamekua wakikitumia hico kitabu kufanya tafiti zao

Nikamuuliza habari za sayansi ambazo zipo kwenye Quran ni habari gani? akaja na verse hii

Have those who disbelieved not considered that the heavens and the earth were a joined entity, and We separated them as under and We made from water every living thing? Will they not then believe?

Quran 21:30

Nikamuuliza hiyo verse imezungumzia habari gani ya sayansi akasema hapo imetaja Bing Bang. Nilicheka

Sikutaka mambo mengi nikamuambia kama ni hivyo kua sayansi ina copy habari za Quran na kuzitumia kwenye tafiti zake kwakua Quran ilikuwepo miaka mingi kabla ya sayansi basi hata Quran itakuwa ili copy hizo verse kutoka kwenye dini ya Sumerians ambayo ilikuwepo miaka elfu kabla ya Quran nikampa hiyo verse kutoka kwenye dini ya sumerian ili aone jinsi gani Quran ili copy habari hiyo

Akabadili uelekeo, ikabidi aitambue dini ya sumerian kama dini ya Mungu wa kweli lakini tangu nilipomuambia Sumerian wana miungu 7 na hao miungu wamezaana akabaki njia panda
Zamani sayansi ilikua inajishikiza kwenye dini maana ilikua ndio changa sasa hivi dini ndio inapambana ijishikize kwenye sayansi. Ila kila wakijaribu wanapopolewa na discovery mpya. Huwa nauwauliza pia, ukigundua kitabu chao kimeongea uongo kutokana na fact za ulimwengu wa sasa hivi bado utakiamini au utaachana nacho.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo ndio vurugu huanza na mufuasi kusema mimi sitotafuta huo ukweli ntabaki na ukweli wa dini yangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Dini zisingezungumza moto wa milele hamna mtu angezifuata watu wanaofuata dini wanaogopa kuungua kuliko kwenda mbinguni kula hizo raha
 
Zamani sayansi ilikua inajishikiza kwenye dini maana ilikua ndio changa sasa hivi dini ndio inapambana ijishikize kwenye sayansi. Ila kila wakijaribu wanapopolewa na discovery mpya. Huwa nauwauliza pia, ukigundua kitabu chao kimeongea uongo kutokana na fact za ulimwengu wa sasa hivi bado utakiamini au utaachana nacho.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo ndio vurugu huanza na mufuasi kusema mimi sitotafuta huo ukweli ntabaki na ukweli wa dini yangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Dini zisingezungumza moto wa milele hamna mtu angezifuata watu wanaofuata dini wanaogopa kuungua kuliko kwenda mbinguni kula hizo raha
Hiyo pia ni fact ya kuizingatia

Kwasababu tunafahamu sayansi huwa inakawaida ya kujikosoa

Vipi katika tafiti ambayo sayansi wamefanya ambayo waumini wanadai tafiti hiyo imeelezwa kwenye vitabu vyao, kwa maana hiyo sayansi imekuja ku copy na kwenda kuifanyia majaribio

Halafu baada ya muda sayansi ikaja kuji prove wrong kua haikuwa sahihi

Je msimamo wao wataendelea nao hivyo hivyo au nao watakubali kuwa vitabi vilipotosha?
 
Hiyo pia ni fact ya kuizingatia

Kwasababu tunafahamu sayansi huwa inakawaida ya kujikosoa

Vipi katika tafiti ambayo sayansi wamefanya ambayo waumini wanadai tafiti hiyo imeelezwa kwenye vitabu vyao, kwa maana hiyo sayansi imekuja ku copy na kwenda kuifanyia majaribio

Halafu baada ya muda sayansi ikaja kuji prove wrong kua haikuwa sahih
Kwa mfano tafiti ipi?
 
Hiyo pia ni fact ya kuizingatia

Kwasababu tunafahamu sayansi huwa inakawaida ya kujikosoa

Vipi katika tafiti ambayo sayansi wamefanya ambayo waumini wanadai tafiti hiyo imeelezwa kwenye vitabu vyao, kwa maana hiyo sayansi imekuja ku copy na kwenda kuifanyia majaribio

Halafu baada ya muda sayansi ikaja kuji prove wrong kua haikuwa sahihi

Je msimamo wao wataendelea nao hivyo hivyo au nao watakubali kuwa vitabi vilipotosha?
huwa na wapopoa tuu kuwa kama hiyo dini inajua ukweli ingetuambia kuhusu dna , tena nikikutana na madr na molecular scientist waamini mungu nawapopoa sana. Nawaambia hivi kama kwelu tupo special sana mbona cell zetu hazina tofauti na amoeba au plasimodium , tuna same cellular structure au the instruction ya kutengeneza jicho langu na la ng'ombe ipo vile vile. Wanabaki kubwabwaja maana wanajua fika huo ndio ukweli ila wanashikilia dini kujitoa stress. Bomu la mwisho nawauliza virus anaweza hijack cell machenary kujizalisha so wote sisi tumeanza na common ancestor na evolution ndio inetufanya tubadilike tuwe na different structure.

Wanasaynsi wanatakiwa waachane na story za mungu maana kuelewa sayansi na bado unaamini mungu inamaanisha ulichosoma kwenye sayansi hukuelewa
 
..Elezea hata kwa ufupi bana sio kila mtu anayajua hayo makitu yenu
Hiyo ni theory aliyokuja nayo einsten mwaka 1917 iliyolenga kuonesha ulimwengu upo stationary haufanyi movement yeyote, hautanuki upo infinite

Hayo yote yalikuja kubadilika mwaka 1929 ambapo Edwin Hubble alikuja kum-prove wrong kwa kuleta ushahidi

Na toka hapo Einsten aliamini moja ya ujinga alioufanya kwenye carrier yake ya kifizikia ni kuja na hiyo theory
 
Kwamba kujiwekea msimamo wa moja kwa moja wa kutokukubali kuamini kitu fulani hata iweje ndio lack of beliefs?
Sasa ulitaka tuweke msimamo ambao ni temporary?
 
kwani mwanzo ulikuwa unaongelea nini?
Nimeongelea kwamba imani si tatizo na ndio maana tunaamini nadharia mbalimbali hadi katika sayansi pia zipo nadharia tunaziamini, kwahiyo hata kwenye masuala ya dini si sahihi kutaka ionekane jambo fulani batili kisa kwa ni imani bali ni vyema kuonesha ni vp ni batili.
 
Hiyo ni theory aliyokuja nayo einsten mwaka 1917 iliyolenga kuonesha ulimwengu upo stationary haufanyi movement yeyote, hautanuki upo infinite

Hayo yote yalikuja kubadilika mwaka 1929 ambapo Edwin Hubble alikuja kum-prove wrong kwa kuleta ushahidi

Na toka hapo Einsten aliamini moja ya ujinga alioufanya kwenye carrier yake ya kifizikia ni kuja na hiyo theory
Sawa mkuu nimekupata vyema.
 
Sasa ulitaka tuweke msimamo ambao ni temporary?
Ilitakiwa kuwe na hoja ya msingi ambayo ndio nguzo yenye kubeba huo msimamo, lakini kilichopo ni kwamba kila chenye kiutwa mungu iwe mtu amejiwekea msimamo wa kupinga na kudai hakipo yani bila hata kusikiliza hoja yeyote hapo ndio naona ni tatizo ambako nadhani huo si ukosefu wa imani ndiyo maana wengine wanaona hali hiyo ni imani kabisa na si ukosefu wa imani.
 
Nimeongelea kwamba imani si tatizo na ndio maana tunaamini nadharia mbalimbali hadi katika sayansi pia zipo nadharia tunaziamini, kwahiyo hata kwenye masuala ya dini si sahihi kutaka ionekane jambo fulani batili kisa kwa ni imani bali ni vyema kuonesha ni vp ni batili.
kwenye scientific theory huegemea kwenye evidence

Hiyo unayoizungumzia wewe kwa kui refer na imani (ambapo hauko sahihi) ni hypothesis

Hypothesis ni moja ya njia za kisayansi zinazopitiwa kabla ya kufikia hitimisho
 
Ilitakiwa kuwe na hoja ya msingi ambayo ndio nguzo yenye kubeba huo msimamo, lakini kilichopo ni kwamba kila chenye kiutwa mungu iwe mtu amejiwekea msimamo wa kupinga na kudai hakipo yani bila hata kusikiliza hoja yeyote hapo ndio naona ni tatizo ambako nadhani huo si ukosefu wa imani ndiyo maana wengine wanaona hali hiyo ni imani kabisa na si ukosefu wa imani.
Kwa mfano hoja gani yenye nguvu inayothibitisha Mungu yupo na atheists hawataki kuisikiliza?
 
Back
Top Bottom