Kuna hoja ya kuthibitisha uwepo wa Mungu, hoja ambayo imeegemea zaidi katika kutumia vitabu vya dini kama uthibitisho
Ni hoja ambayo ime base kwenye imani ya kusema Mungu amejidhihirisha uwepo wake kwa binadamu kupitia uumbaji au maandiko matakatifu.
Watu wamekua waki experience hayo maandishi kua yametoka moja kwa moja kwa mungu na kupitia experience hiyo wengi wanaamini kuwa wanawasiliana na Mungu directly.
Hiyo ni hoja ya kutoka kwenye ufunuo (argument from revelation) ambayo huusisha maandiko matakatifu (sacred text)
Kwamba
- Imekuwa inspired na Mungu
- Imeamuriwa na Mungu
- Imeandikwa na kuongozwa na Mungu
Msingi wa hoja hii
- . Maandiko yanasema Mungu yupo (Quran)
- . Maandiko ni ya kweli kwasababu yameandikwa na Mungu au watu walio ongozwa
- . Nani aliwaongoza hao watu? (Mungu ndio alifanya hiyo kazi)
- . Mungu ndio chanzo na dhamana ya ukweli
HITIMISHO: Mungu yupo
**************
Hoja au uthibitisho wa namna hiyo haukubaliki na rational thinkers kwasababu una makando kando mengi (flaws) kuna matobo kibao kwenye hii raft ambayo umeitumia kujenga hoja yako
Tatizo la kwanza la hoja hii ni
LOGICAL PROBLEM OF FALLACY CIRCULAR ARGUMENT
Hii ni hoja ambayo inatumia assumption kwa kile inachotaka kuthibitisha na hii huchukuliwa kama moja ya hoja za kijinga na zenye udhaifu sana miongoni mwa hoja zinazojaribu kuthibitisha uwepo wa Mungu
Ukiangalia hiyo misingi ya hoja hizi niliyoiweka hapo juu, namba 2 na namba 3 utaona zime contain hitimisho ndani yake
Hoja ilipaswa ikuongoze mpaka ikufikishe kwenye hitimisho na sio ku assume hitimisho ndani ya msingi wa hoja hiyo hiyo.
Kwasababu lazima ukubali kuwa kitabu hicho kimetoka kwa Mungu ili ukikubali kuwa ni cha kweli na sahihi kisha ukisha kikubali kuwa ni cha kweli na sahihi ukasoma ndani yake kuwa kuna Mungu na hivyo kuhitimisha kuwa kuna Mungu na huyo ndiye. Hicho ndicho ulichohitaji kufikiria ili kukubali kitabu hicho kuwa cha kweli na sahihi hapo awali.
Hii Circular Reasoning ya namna hii haiwezi kumshawishi rational ambaye yeye sio muumini wa Miungu/Mungu
ambulika kua ni maandiko ya kweli zaidi?