Pi Network, imebaki siku Moja watanzania tujifunze kuhusu crypto scam, litakuwa ni funzo muhimu sana ili kuepusha wakurupukaji kwenye crypto

Nipe mwongozo jinsi ya kuuza
Kama tayari zishaingia kwenye pi wallet na zipo kwenye available balance ndio zinaweza kuuzika, ili kuziuza fungua okx, kama huna account inabidi ufungue,
Bonyeza apo deposit crypto


Halafu search pi, utaibonyeza

Halafu copy address


Then fungua pi wallet, bonyeza pay/request


Bonyeza manually add address, utajaza kiasi cha pi unazotaka kuzipeleka okx, hapo kwenye address utai paste ile address uliyocopy okx, tayari zitakwenda
 
sasa hio inahusiana vp na PI kutokua scam? volume ilikua kubwa kwa sababu watu walikuja kuziuza price ikaenda chini ama huelewi maaana ya volume
Kama ni hivyo pi ingulikua price ipo chini ya 1 USD maana leo tu kwenye okx turnover ni 300M+ usd, lakini angalia resistance yake
 
Mchakato mgumu kama kuendesha gari uingereza
 
Kwenye wallet inasoma 0
 
Una akili sana,yaani kubonyeza TU button ya mine kwa siku upoteze muda,na Kuna watu wanakesha wakiangalia mipira,ambayo hawapati faida yeyote ile.
Lakini Pi ndio imeanza na sio kama ndio imefika mwisho,..........hatuwezi kushangaa siku Bei ya Pi Moja ikifika Dola 5,10 hata 100.......imagine mtu mwenye Pi 500 atakua na Bei Gani?
2015 kipindi Bitocoin Moja inacheza chini ya $1000 hakuna aliyejua kua Kuna siku itafika $100,000
Na mtu ukimuambia anunue anasema utapeli na anakua na hoja,sababu unakuta inashuka hadi $200 from $800 ndani ya mwezi TU😄😄
ila Sasa hivi MTU mwenye Bitcoin Moja ni mtu tajiri sana Kwa hela za kitanzania

Hata hio 1.5M uliyoipata baada ya kumine free Pi, useme ununue umeme kwenye nyumba Yako,hizo luku, utatumia kipindi mtoto yupo chekechea hadi anaingia form one ,ama useme ununue bando 1.5M ,mi binafsi hilo bando langu la miaka 5,.......
.....kinachowaumiza watu wengi ni kutochimba huku wakiamini ni "scam",kua huwezi kua haujaweka pesa,upate pesa😃😄😁lakini,wanaikuta Pi imeanza na thamani
 
Umeuza wapi ? njoo hapa tuthibitishie, otherwise inafanya bluffing tu hakuna lolote.
Hivi wewe umekomaa mishipa ya shingo imekutoka,huamini kama Pi coins inauzwa na kununuliwa😃😁😆😆😆😆😆 wewe ni mpumbavu,sio hata mjinga
Gate.io,OKX Hawa wote wameilist Pi coins Toka tarehe 20 mwezi huu,mainet ilivofunguliwa tu
 
Kila mwenye kusubiri yupo pamoja na mwenyezi mungu,mtu unauza Pi kwa $1.4,unashangaa siku unakuta Pi moja $30 pale,unaanza kuwalaumu waliohold😄😆😆
Usiuze Pi zako! Subiri zile DApps zianze kutumika! ukiuza hizo uta regret. baadae! Just relax achana na hao wasiojua White paper inasema nini! wale jamaa sio wajinga

Don't Sell
 
Kila mwenye kusubiri yupo pamoja na mwenyezi mungu,mtu unauza Pi kwa $1.4,unashangaa siku unakuta Pi mon $30 pale,unaanz akuwalaumu waliohold😄😆😆
Mimi nipo kwenye crypto tokea 2014, na mine, hold na kuzi stake, sifanyi trading maana kuna kipindi nilijaribu nikala hasara, pi nilitegemea kutokana selling pressure irudi mpaka 0.5 halafu ikae kwa muda kidogo lakini imenishangaza
 
Sawa Mrs Mpumbavu, njoo hapa na proof kwamba umeuza Pi, acha story yani hata Pi moja mmeshindwa kuja na proof.
 
Bitcoin huwezi fananisha na scam pi, bitcoin ni Open source, Pi sio open source, huwezi jua code wameweka nn, ndiomana nawaambia, mnatumia ujinga wenu kutajirisha watu, miaka sita unafikiri wamepata faida gani.
 
🤣 🤣 🤣 hutaamini kitakachotokea
 
Sawa Mrs Mpumbavu, njoo hapa na proof kwamba umeuza Pi, acha story yani hata Pi moja mmeshindwa kuja na proof.
Yaani nije kukuproofia wewe kua nimeuza Pi?,........😆😅😅
Yaani Hadi sasa haujui kua Gate.io,OKX etc Pi inauzwa na kununuliwa?
Yaani haumini kua Pi wamerelease mainnet Yao?,tarehe 20/02/2025?
Je wewe sio mpumbavu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…