Pi Network, imebaki siku Moja watanzania tujifunze kuhusu crypto scam, litakuwa ni funzo muhimu sana ili kuepusha wakurupukaji kwenye crypto

Nikitupia Pi 500*2.1$ *2600

Pi Is Money Ngoja tuwe wavumilivu mpaka zile DApps ziwe released na ikawe listed na Binance..
Halafu mtu aseme ni scam kweli?

Na mwezi ujao panaweza kuwa na next migration.
 
Halafu mtu aseme ni scam kweli?

Na mwezi ujao panaweza kuwa na next migration.
watu hawajielewi hii ni mapinduzi kwenye Cryptos! watu wataona maajabu..yaani watu wafanye hackathon, gcv movements uite sijui wanachukua data.Ndo binadamu lakini hatuwezi fanana
 
watu hawajielewi hii ni mapinduzi kwenye Cryptos! watu wataona maajabu..yaani watu wafanye hackathon, gcv movements uite sijui wanachukua data.Ndo binadamu lakini hatuwezi fanana
Data zenyewe zitawasaidia niniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
Price si imefika dollar tatu. Tuliouza na dola moja na point roho zinatuumaπŸ˜‚
 
Huna akili wewe unajifnya mjuaji sana kabla ya hyo bitcoin kuwepo uliwahi waza kutakuwepo bitcoin km hukuwahi waza bx tuliza mkundu wako Teknolojia inakuwa kila siku kenge wewe
 


Endelea kuweka 50$, 20$, 5$ ku hold ukitegemea siku utapiga 10k$
 
Hatimaye ipo kwa hewa sasa, full kuchekelea. Mimi nilisema hata kama ni uongo acha ni mine tu kikubwa silipii. Leo nawacheka 😁😁😁
Nothing is free in this world. There is always a price to pay covertly or overtly.
Mfano misaada kupitia USAID sasa Trump na Elon Musk wana wasanua what was going on behind the curtain.
 
Huna akili wewe unajifnya mjuaji sana kabla ya hyo bitcoin kuwepo uliwahi waza kutakuwepo bitcoin km hukuwahi waza bx tuliza mkundu wako Teknolojia inakuwa kila siku kenge wewe
watu wa PI bana akili zenu wote sawa, kwamba unataka kufananisha bitcoin ilivoanza na PI 🀣 🀣 , wakati bitcoin inaanza ndo ilianza mfumo mzima wa block chain the whole tech is new amna ambae alishawahi kuona kitu kama icho before na ata waliokua nazo hawakununua kwa sababu walitaka zije kuongezeka, walinunua kwa sababu walikua wanataka kufanya bishara za siri sasa wewe jikute kama una akili kuliko wote

Yawezekana pia mlikosea kuzaliwa na ubongo maybe, tabia ya kupenda vitu vya bure imekua tatizo sana afrika at a cost of personal data
 
Halafu mtu aseme ni scam kweli?

Na mwezi ujao panaweza kuwa na next migration.
🀣🀣🀣, kuna sehem afrika uchawi umekolea sana watu hawana afadhali, ulienda shule?
 
Wewe itakua unamilikiii meme coins ambazo hazina economy value lakin unaipondaa pi network pia 😁😁 pi iko 2.. pi ni real project hii ni marathon ila kuweza kuipiku btc ni ngumu hata ukiangaliaa tokenomics za pi na btc ni tofauti baadh ya Pi fans wana mawenge ya kutaka kufanikiwa chap ila ni project halisi hata kama wamekusanya data Sheria za US, Europe lazima KYC kwa usalamaa ila onchain Pi network inapiga kazi freshii una store pi zako na kutuma baadhi ya exchange acha kukurupukaa itakua pia una uelewaa mdogo kuhusu finTech 😁😁
 
Hamna analojua huyo mwache aendelee kubet , ushawahi kuona mcheza kamari ana akili
sawa nyie ndo mna akili kuliko wote ndo maaana pi imeingia na price ya laki tatu kwa sababu mna akili kuliko kila mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…