Mi mjanja sana aisee siwezi kua mpumbavu,Pi coins ni scam.we jamaa umefunga kwel mwezi huu
Ni sahihi Pi coins ni scam,imagine mtu amenunua Pi 7000,kwa $0.6,daah ana hasara kubwa mno akiuza kwa bei hii chini,hapo Pi core team ndio wamefaidika kwa kuchukua data zakeNajua unafanya sarcasm ila ukwel ni kwamba wote waliowekeza PI ni mangombe, ndo maana mpaka leo bado wanalilia price ya laki 3 🤣 🤣 , kwa lugha nyepesi you got fooled, na pia nmetumia BTC kama mfano kwa sababu ndo alieanzisha crypto, btc ndo founder wa crypto coins wengine wote wamekuja baada yake, pia muundo wa crypto upo common na unatakiwa uwe transparent, mfano hakuna central authority inaweza kufunga coins zako kwa sababu flan, mfano PI
Watu wanapenda kutapeliwa wenyewe imagine mtu anaenda OKX,bitget,Pionex,etc ananunua Pi 5000 zikiwa $0.6 anaziuza ndani ya wiki tu kwa $1.8,yaani hapa anatapeliwa kabisa na hasara anaipata kwa kujitakiaKuna watu wanapenda kutapeliwa sana
Hawawezi kua mabilionea Pi coins market cap yake inazidiwa hata na mtaji wa Mo dewji cheki hapaPi billions zipo bwerere a watu watakua mabilionea hahaah hahaaa hahaaa
Tushawazoea ninyi, kujifanya Wajuaji hata Kwa maamuzi ya wengine... Zipo taarifa nyingi tu za Watu zinauzwa nje hata ya pi network...!!!🤣 🤣 🤣 afrika tutachelewa sana, una uhakika PI ni bure? hujatoa taarifa zako kwa PI?
50cent alisema " mnakata viuno kwenye fake coins , wakati real niggers Wana https://jamii.app/JFUserGuide money from real investments walizoumia kitambo kuzifanya zisimameHawawezi kua mabilionea Pi coins market cap yake inazidiwa hata na mtaji wa Mo dewji cheki hapa
Coins hazina thamani yeyote.50cent alisema " mnakata viuno kwenye fake coins , wakati real niggers Wana JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala money from real investments walizoumia kitambo kuzifanya zisimame
Jack Ma yupo sahihi,maana utajiri wake ni mkubwa kuliko marketcap ya Bitcoin iliyojaa utapeli mtupuJack Ma alipata kusema wakati anaanzisha Alibaba alikua anajua matapeli hawatosogea , alikuja kustuka matapeli ni wengi kuliko watu halisi pamoja na kuweka payment terms Jack anasema watu bado hutapeliwa kama kawaida , jack Ma anasema hadi Leo bado anajifunza juu ya digital platforms na e- commerce
bilionea wa kuclick button mambo vp? unaonaje biashara leo ushalipa wafanya kazi salary?Tushawazoea ninyi, kujifanya Wajuaji hata Kwa maamuzi ya wengine... Zipo taarifa nyingi tu za Watu zinauzwa nje hata ya pi network...!!!
Fata mambo Yako Chief.
nna mengi kuhusu pi coin nkimwaga apa kila kitu utakata tamaa however, 🤣 🤣 🤣 🤣Tushawazoea ninyi, kujifanya Wajuaji hata Kwa maamuzi ya wengine... Zipo taarifa nyingi tu za Watu zinauzwa nje hata ya pi network...!!!
Fata mambo Yako Chief.
Tushawazoea ninyi, kujifanya Wajuaji hata Kwa maamuzi ya wengine... Zipo taarifa nyingi tu za Watu zinauzwa nje hata ya pi network...!!!
Fata mambo Yako Chief.
Ku Buy/Sell BTC kwenye exchange inahitaji uwe na KYC1) Does bitcoin need KYC?
2) Does bitcoin give you extra bitcoin when you share your code with someone else
KYC ni kwa ajili ya exchange sio bitcoin, ni kama vile unafanya KYC benki but hakuna namna kumiliki tsh unahitaji KYC, yaaani mtazunguka kote but this project is a pure scam, tamaa ya pesa za bure who knows what comes next?Ku Buy/Sell BTC kwenye exchange inahitaji uwe na KYC
and whats worse ukialika mtu unapewa PI 🤣 🤣 🤣 apo apo mnataka kua mabilionea, sasa Core team na sisi nan wakwel? mliambiwa dola laki 3 tukawaambia haiwezekan mkatuona hatuna akili sasa nan mkwel mpaka sasaKu Buy/Sell BTC kwenye exchange inahitaji uwe na KYC
ukialika mtu unapewa tsh 🤣 🤣 🤣Ku Buy/Sell BTC kwenye exchange inahitaji uwe na KYC
Wanaalikana kwenye utajiri kama vile wanaalikana kwenye harusiukialika mtu unapewa tsh 🤣 🤣 🤣
Boss upo sawa kweli?its very easy to prove its a scam, with the simpliest checks
1) Does bitcoin need KYC?
2) Does bitcoin give you extra bitcoin when you share your code with someone else
3) does bitcoin show ads
4) PI team decide which PI are verified and not verified, mfano ukishindwa kumaliza KYC PI zako znachukuliwa
5) Does ETH ask you to upload your personal info
6) Can you send PI to trust wallet or meta mask
if all these dont add up then you should be worried with what your dealing with, you will simply ignore this because unaishi kwa matumaini na sio uhalisia, ata nani aje aseme ni scam hutaelewa ndo maaana mnaitwa PI community, wale wachina ni watu kama wewe walikua na vichwa vigumu mpaka pale vifo vilipowakuta