Pi Network, imebaki siku Moja watanzania tujifunze kuhusu crypto scam, litakuwa ni funzo muhimu sana ili kuepusha wakurupukaji kwenye crypto

Pi Network, imebaki siku Moja watanzania tujifunze kuhusu crypto scam, litakuwa ni funzo muhimu sana ili kuepusha wakurupukaji kwenye crypto

Kinachoshangaza signers zaidi ya mmoja wote wanakua manipulated, bybit wajichunguze wao


Siwezi kuwa na app inayoiba data zangu, Pioneers wa Pi mnatetea sana kwasabu tunawaambia watu nini cha kufanya.

Pi ni scam completely, target kubwa ilikuwa Kwa wazee na watu wasio na uelewa kuhusu crypto, lakini ndio hivyo umeenda viral.

KYC system ya Pi ni wizi tu, ndiomana almost KYC wengi zinakataa.
Customer care ndio kabisa, fuatilia ni wangapi wamepoteza Pi zao na hakuna msaada wowote waliopata.

Leo unakuja kusema haijazinduliwa, hivi unaelewa kweli unachozungumzia ? Kwani tarehe 20 mlikuwa mnasubilia nini ?
Siwezi ona mnaibiwa afu nikae kimya, Pi ni scam.
Kwa sasa exchange ninayoitumia ni moja tuu nayo ni Remitano jamaa hawana janjajanja kabisa na kitambo tuu walishaachana na kulist coin mpya kabisa manake wanajua %kubwa ni scam tuu
 
Hivi uli mine Pi? Sion sababu ya wewe kuendelea ku attack Pi?

Hivyo vyote ulivoongelea vinaangukia kwenye kitu kinaitwa Teknolojia! Ndio maana umeona makampuni mengine ya simu yana phase out katika ulimwengu wa kibiashara sababu watu wanakuja na ubunifu na teknolojia mpya kila siku.

Naona Ideas zako zote hapo ni za mwaka 1947! Prove me wrong! Basi watu wanaopata pesa kupitia Google adds kwenye blogs zao wamepitwa na wakati sio?

Anzisha Mining app yako uanze kula pesa kama ni rahisi
Hatuwezi kuelewana kwa sababu umeweka tamaa mbele. unachokiona na unachotaka kikskia ni pesa ofwhich skulaumu ukiangalia huu mradi watu wengi walioushikilia wana motives zilizojificha chini yake, Nikolas anaaminisha watu PI ni kitu exceptional 🤣 🤣 🤣 ndo maaana ata mlivoambiwa GCV amna aliejihangaisha kutumia akili kwa sababu tamaa zenu zpo mbele, ni eperienced traders tu walijitokeza na kusema huu mradi ni scam na hakuna namna coin inaweza kua na supply ya 100B ikauzwa $314k ila nyie tamaa mliona kama watu wana wivu na nyie, tarehe 20 mlijionea wenyewe

2) Hakuna mtu yoyote mwenye akili timamu anaweza kuuza taarifa zake mtandaoni kwa kuahidiwa ela, kwa sisi tuliokua online for the longest tunaelewa, mpaka leo tunasumbuana na google kuhusu kukusanya taarifa zetu na hua wanapigwa fine kubwa, ila kwa nyie mliokua na tamaa hamuwezi kuelewa ni juzi tu apa china watu walitekwa na kuuliwa uchunguzi kuja kubaini utekaji unahusiana na PI ila wewe unaeona tamaa zaidi ya uhalisia amna namna utaweza kushaurika, Issue ya GCV nadhan mshaona uhalisia sasa bado kuhusu issue ya taarifa
 
I don’t think so refer to the investiment and people who has engaged to the Pi is high profile the thing is real
Unajua kuhusu ile kesi ya china mauaji yaliofanyika baada ya taarifa za wana pi kuuzwa? umesoma kwanza hii nakala
1740426361656.png
 
Bro, mbona unakua na wivu wa kichawi?

mtu alikua anatumia 1 minute- kila siku ku click button ya 'mine' bure kabisa.

Then after 6 years amepata $500+.

sasa masuala ya kufungua duka yanakujaje hapo?

kwahiyo wewe unafikiri hakua na shughuli nyingine miaka yote hiyo?

Mimi ni mwaka wa tatu huu nimekua namine Renec coin kila Jmosi.

Je unafikiri miaka yote hii mitatu sina shughuli nyingine nategemea Renec tu?

una wivu wa kisenge kweli...
1740427120774.png
 
Hatuwezi kuelewana kwa sababu umeweka tamaa mbele. unachokiona na unachotaka kikskia ni pesa ofwhich skulaumu ukiangalia huu mradi watu wengi walioushikilia wana motives zilizojificha chini yake, Nikolas anaaminisha watu PI ni kitu exceptional 🤣 🤣 🤣 ndo maaana ata mlivoambiwa GCV amna aliejihangaisha kutumia akili kwa sababu tamaa zenu zpo mbele, ni eperienced traders tu walijitokeza na kusema huu mradi ni scam na hakuna namna coin inaweza kua na supply ya 100B ikauzwa $314k ila nyie tamaa mliona kama watu wana wivu na nyie, tarehe 20 mlijionea wenyewe

2) Hakuna mtu yoyote mwenye akili timamu anaweza kuuza taarifa zake mtandaoni kwa kuahidiwa ela, kwa sisi tuliokua online for the longest tunaelewa, mpaka leo tunasumbuana na google kuhusu kukusanya taarifa zetu na hua wanapigwa fine kubwa, ila kwa nyie mliokua na tamaa hamuwezi kuelewa ni juzi tu apa china watu walitekwa na kuuliwa uchunguzi kuja kubaini utekaji unahusiana na PI ila wewe unaeona tamaa zaidi ya uhalisia amna namna utaweza kushaurika, Issue ya GCV nadhan mshaona uhalisia sasa bado kuhusu issue ya taarifa
Acha watu wafanye wanachoona na sahihi kwao bana. Kama wakifa au kutapeliwa wewe utapungukiwa nini. Maana suala la kufa ni guaranteed kila mtu atakufa ila kwa namna gani mtu atakufa ndo haijulikani. Yaweza kuwa wengine watakufa kupitia Pi. Usijitie umuhimu kwenye maisha ya watu, fanya yako.
 
Acha watu wafanye wanachoona na sahihi kwao bana. Kama wakifa au kutapeliwa wewe utapungukiwa nini. Maana suala la kufa ni guaranteed kila mtu atakufa ila kwa namna gani mtu atakufa ndo haijulikani. Yaweza kuwa wengine watakufa kupitia Pi. Usijitie umuhimu kwenye maisha ya watu, fanya yako.
Kua mwafrika nalo tatizo, wewe unapewa side effects unasema niache kutoa info? yaani uliwekewa kichwa ili utunze meno ama
 
Kua mwafrika nalo tatizo, wewe unapewa side effects unasema niache kutoa info? yaani uliwekewa kichwa ili utunze meno ama
We unapata hasara gani hizo unazosema side effects zikiwapata?
Umeshawambia ndio, kama hawataki kukuamini si uachane nao.
Labda useme wewe unaathirika vipi kutokana na maamuzi yao.
Wewe ndo kichwa unatunzia meno maana umekaza fuvu kutaka watu waamini kile unachowaambia.
Watu wengi wametapeliwa hapa Tanzania kwa namna mbalimbali, na kuna watu kama wewe walionya mapema kabisa, ila watu hawakusikia, hata hivyo wameendelea kutapekiwa kila mara kwa style tofauti tofauti.
Hivyo punguza kujipa umuhimu kwenye maisha ya watu. Umeshatoa onyo na kama ni kweli wataona matokeo yake na wewe hutopungukiwa na chochote zaidi ya kusema niliwaambia.
 
We unapata hasara gani hizo unazosema side effects zikiwapata?
Umeshawambia ndio, kama hawataki kukuamini si uachane nao.
Labda useme wewe unaathirika vipi kutokana na maamuzi yao.
Wewe ndo kichwa unatunzia meno maana umekaza fuvu kutaka watu waamini kile unachowaambia.
Watu wengi wametapeliwa hapa Tanzania kwa namna mbalimbali, na kuna watu kama wewe walionya mapema kabisa, ila watu hawakusikia, hata hivyo wameendelea kutapekiwa kila mara kwa style tofauti tofauti.
Hivyo punguza kujipa umuhimu kwenye maisha ya watu. Umeshatoa onyo na kama ni kweli wataona matokeo yake na wewe hutopungukiwa na chochote zaidi ya kusema niliwaambia.
kisukari kipo juu sana.
 
We unapata hasara gani hizo unazosema side effects zikiwapata?
Umeshawambia ndio, kama hawataki kukuamini si uachane nao.
Labda useme wewe unaathirika vipi kutokana na maamuzi yao.
Wewe ndo kichwa unatunzia meno maana umekaza fuvu kutaka watu waamini kile unachowaambia.
Watu wengi wametapeliwa hapa Tanzania kwa namna mbalimbali, na kuna watu kama wewe walionya mapema kabisa, ila watu hawakusikia, hata hivyo wameendelea kutapekiwa kila mara kwa style tofauti tofauti.
Hivyo punguza kujipa umuhimu kwenye maisha ya watu. Umeshatoa onyo na kama ni kweli wataona matokeo yake na wewe hutopungukiwa na chochote zaidi ya kusema niliwaambia.
Kuna sehem una tatizo so bure, sio kila alieingia kwenye PI ameingia kwa kupewa taarifa sahihi na ndo tunapoingia kutoa ushauri, kwa mfano kuna mtu aliingia kwenye PI hakuambiwa data znauzwa kupitia sehem kama izi anapata uelewa anfanya maamuzi sahihi sio kila alieingia PI ana kichwa panzi
Kuna watu wanapenda data zao ziwe private pia kuna watu wanatamani kufanya crypto ila hawana taarifa sahihi, ila kwakua kuna vijana uchwara kama nyie mnataka kuwatumia link mpate PI as reward sisi tunanyoosha maelezo, wewe ambae huelewi chochote kinachoendelea na huna concern yoyote kuhusu legitimacy ya PI endelea hujanyimwa
 
Kuna sehem una tatizo so bure, sio kila alieingia kwenye PI ameingia kwa kupewa taarifa sahihi na ndo tunapoingia kutoa ushauri, kwa mfano kuna mtu aliingia kwenye PI hakuambiwa data znauzwa kupitia sehem kama izi anapata uelewa anfanya maamuzi sahihi sio kila alieingia PI ana kichwa panzi
Kuna watu wanapenda data zao ziwe private pia kuna watu wanatamani kufanya crypto ila hawana taarifa sahihi, ila kwakua kuna vijana uchwara kama nyie mnataka kuwatumia link mpate PI as reward sisi tunanyoosha maelezo, wewe ambae huelewi chochote kinachoendelea na huna concern yoyote kuhusu legitimacy ya PI endelea hujanyimwa
Hujasema wewe binafsi unapata hasara gani hayo yote yakiwatokea?
 
Ha ha ha ha ha .
Hamna hasara kabisa, hamna hasara hata kwa mbali. Sasa kama mtu anakesha kwenye simu kucheza games ambazo hapati chochote, mtu anakesha online kusoma umbea ambao haumsaidii chochote na mtu ambaye leo hii kile alichokifanya ambacho kwa siku hakikuchokua zaidi ya dakika moja na anapata mpunga hapo mwenye hasara ni nani boss?

Najua wengi mlitegemea ni scam na watu hawatapata chochote ila kilichotokea kimekuwa pia tofauti na mategemeo yenu ndio maana mmebaki kusema ina price ndogo. Price ndogo kwa mtaji wa shingapi tuliowekeza? Ningefungua duka la nguo ningehitaji mtaji right?
Una akili sana ww dada
 
Kuna Uzi nilifungua kuhusu scam aliyotufanyia Mo Dewji, Kwa kujifanya account yake ilikuwa hacked, na wengi tulifahamu baada ya Kanye west kutufumbua macho.

McAfee aliwahi kusema alikuwa na uwezo wa kutengeneza pesa nyingi kuliko Mungu, akiwa na Lockheed Martin kwasabu ya kutengeneza black software, Kwa wale msiofahamu kuhusu black software, black software ni zile software unazopewa task utengeneze lakini haziko public available, na Wala hauwezi kuwa na ruhusa ya kusema in public ulitengeneza software Gani, mana ukianza tu kuzigusia hata Kwa uchache ktk public unakuwa ni national threat, mwisho wa siku inabidi wakuue.

McAfee alipiga pesa nyingi kwenye crypto sio kwasabu ya kutrade bali kumention coin ambazo watu wanunue na kuuza kwenye Twitter Kwa sasa X, alikuwa anapewa commission yake lakini wamiliki wa coin walipiga pesa ndefu kutoka Kwa raia au followers wa McAfee, mana walikuwa wanacheza na Liquidity.

Kwa wale ambao tunafuatilia Habari ndiomana tunaona black project ambazo wamezifanya USA kwenye Area 51, Kuna wanajeshi zimewasababishia kansa lakini wanachohitaji ni matibabu tu sio fidia, na hata uwaulize walikuwa wanafanya nini Area 51 hawawezi sema kwasabu ni classified project, na hata taarifa za kuthibitisha kwamba walishiriki haziwezi patikana kwasabu ni National interest,

Leo nataka niwaambie wale wote wanaomiliki Pi, kuwa Pi ni scam project haitompa mtu umilionea zaidi ya wamiliki kwasabu wamepiga pesa nyingi kwenye Ads na data mining, wamekusanya KYC na kuuza Kwa makampuni yanayohusika, hususani MeTa na Google.
Pi yaweza kuwa ni black project ya kukusanya taarifa zenu na kuweka malware kwenye simu zenu.

Crypto unahitaji elimu na sio ukurupukaji, ndiomana ma CEO wa Pi ni social engineers sio crypto enthusiast, kaangalie hata chuo alichosoma CEO wa Pi wame mremove kwenye bio ili wajiepushe na scam ambayo kesho mtaishuhudia.

Kama unaelewa crypto mining huwezi sema unamine Pi, ndiomana apps zote za mining play store walishagazitoa.

Watu wanafikiri pi itampiku BTC lakini haiwezi japokuwa BTC Kuna siku itakuwa na anguko kubwa pale watu watakapojifunza maana halisi ya privacy, kwasabu huwezi amini katika privacy na unatumia CeX (centralized exchanges) kama Binance, Coinbase n.k kwasabu ni trackable.

Bitcoin sio anonymous bado ni trackable kwahiyo naamini kizazi kijacho hakitoitumia Bitcoin kwasabu ni zero privacy.

Sasa vipi kuhusu Pi ambayo ni KYC based, haziko open source tujue wanafanya nini Wala Chochote, lakini wajinga wanaikumbatia na hususani wazee wa affiliate,
Niwaambie tu Pi haitofika hata 1$ ila itavanish

Sasa kesho tusubiri kuona crypto millionaire wa Pi Network waje hapa mana ni siku ya Mainnet.
Usalama wa Taifa wasizuie fedha zetu za crypto tunazipata kwa tabu sana
 
Ukiwa na akili timamu lazima ujiulize haya maswali
1)Toka lini crypto coin inahitaji KYC, yaani leo hii nkitaka kumiliki BTC nifanye KYC?
2) Lenogo la crypto ni kua hidden ila PI wanataka nijaze taarifa zangu
3) Kuhusu tukio lililotokea china watu kutekwa Kukiwa kunahisishwa PI , ukiwa na akili timamu lazima ujiondoe,
4) Ushawahi kuona matangazo kwenye btc? ama ushawahi kuona btc anakwambia sajili mtu kwa code yako upate btc za nyongeza
5) Uafrika nao ni tatizo, mtu yuko radhi auliwe ila apate pesa duu 🤣 🤣 🤣
Ni wivu tu unakusumbua
 
Back
Top Bottom