Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,265
- 201,451
mzee hata ukisalitiwa hauna sababu ya kuua mtu wala kupiga.Lazima kuna chanzo cha kugombana hapo na huenda ikawa ni moja wao kumsaliti mwenzake
Mbona kama uzi huu! Nini kilitokea mkuu..Wanawake viumbe wa ajabu sana nina week tuka niachane na aliyekuwa mzazi mwenzangu,ningekuwa na hasira za karibu mngesikia nipo segerea.nashukuru Mungu nilivuka kipimo cha ustahimilivu wangu.
Ndoa ina mifumo mingi mpaka sogea tuishi ni ndoa, kwan wanauana kwa cheti cha ndoa ?Serikali isitoe leseni za ndoa bila mafunzo.
kama ulikuwepo mzee ,ilishanitokea nikaamua kutemana na yule mwanamkeUnajua mkuu wanawake huwa anakubadilisha kuua kwa majibu yake huenda jamaa alimkamata na sms za kuchepuka ila majibu yake ndo jamaa akapandisha moli
Aibuuu alafu mtaani unatamba kinomaSo sad
Mdada mrembo mwenyewe sijui imekuaje!
Ila wanaume kama unaona network haikamati si unamwacha tu?why uue?
Hao wa kuwamwagia maneno wako wapi siku hizi?wamejaa machungu na hasira,plus huu ugumu wa Maisha keshalipa ma ada ya watoto,site fundi kazingua kazini nako sijui Kuna Nini ukiingia kichwakichwa utakula za usoangalia usije ukaishia kujiua siku moja.....sometimes kutapika meneno live kunafaa maana unaondoa sumu.... but you have to have a good man wakati unamwaga maneno yeye anacheka, unapata hasira unamwaga sumu yote, ukichoka unaenda kuoga yeye anakuja anakula mzigo kwa raha zake...maisha yanasonga.
Sanasana!Inasikitisha sana.
Hapo sasa ilimradi tuuuHa haaaa besela?si ndio Ile mbao ya kutundikia neti imekuwaje Tena🤣?
Uko kama mm mzee wa magazeti yani ntaandika msg hata kama kosa ni langu utajkuta ww ndo unajifeel guiltyNiko mid 30,sijawahi kula kitasa hata kimoja!ninaogopa ngumi ya mwanaume balaa so tukiwa live siwezi kuchongoa mdomo Tena nasimama mbalii....Ila ukiona nimetoka kwenye uso wako meseji utazopata utajuta
Sure....hili nalo Ni tatizo sugu kwenye jamii yetu kwa sasahakuna bahati mbaya mental health tu ilikuwa inamsumbua huyo jamaa
Ha haaa kumbe tuko wengi!ndugu yangu tuendelee tu na magazeti ushujaa wa kuwaface Hawa jamaa Ni Jambo la hatari Sana...Ni WAUAJI hawaUko kama mm mzee wa magazeti yani ntaandika msg hata kama kosa ni langu utajkuta ww ndo unajifeel guilty
Aiseee..bora wewe unayafahamu tunayopitia wanaume,omba sana uendelee kuyakumbuka mpaka utakapokuwa na mwenza wako.Hao wa kuwamwagia maneno wako wapi siku hizi?wamejaa machungu na hasira,plus huu ugumu wa Maisha keshalipa ma ada ya watoto,site fundi kazingua kazini nako sijui Kuna Nini ukiingia kichwakichwa utakula za uso
Ninaye tayari,nayakumbuka kila Mara. nacheza nae kwa step😁Aiseee..bora wewe unayafahamu tunayopitia wanaume,omba sana uendelee kuyakumbuka mpaka utakapokuwa na mwenza wako.
Haya yatakuwa magonjwa ya akili, Mtu kama Mandela alikaa pembeni na ni mtu maarufu, Sasa hizi kuua nyingi kwa kisingizio cha usaliti ni ugonjwa wa akili tu.Kwani umefungwa kamba, ukiona mtu ni msaliti chapa lapa ukaanze upya kuliko kujitia laana ya kuua. Pia hao watoto watanyanyasika maana bafo wadogo
Wanaume sijui mnakwama wapi mnashindwa kufanya maamuzi magumu. Mtu akikusaliti wewe achana nae kaendelee na mambo mengine
Sio wanarogwa na watu wasiowatakia ndoa yao mema bali hao hao wake zetu ndio wanatutengeneza kiasi kwamba hata akikosea unashindwa kuhimili wivuMwanamke achepuke ndio nimuue si namwacha aende kwao hawa watu wanaoua wanawekewa dawa nini mbona haingii akilini kabisa kuua kwa sababu ya pwechele...au wanakua wamerogwa na watu wasiowatakia ndoa njema kwa akili ya kawaida hawa wadogo hawawezi kuwa na maamuzi mazito hivyo huku wakiwa na watoto..