Picha adimu za TANU, Julius Nyerere na wazalendo waliosahaulika katika Historia ya kudai Uhuru

Waislamu wengi wakat ule kuonekana ilitokana na harakati kubwa na nguvu kuwekwa dar(pwani) ambapo kulikuwa kuna idadi kubwa ya waislamu....
 
Ya Zanzibar ngoja nyuzi zake au fungulia nyuzi yake, hapa tunaongelea Tanganyika.

Huwezi kuiongelea "soksi" bila kugusia "kiatu". Mbona unakua kama "watoto wa mama Salma"
 
Hakuna ukweli ambao Wazanzibari HAWAPENDI kuusikia kama huu na sijui kwa nini inakuwa hivyo!
John Okello atabaki kuwa mtumuhimu sana wa kukumbuka katika historia ya Mapinduzi ya Zanzibar milele na milele.

Kayoka,
Itapendenza kama utafungua uzi wa Okello.
Hakika ni mtu muhimu sana katika historia ya mapinduzi ya Zanzibar.

Hapa ulipomleta si pake.
Hapa tunajadili historia ya TANU.
 
Huwezi kuiongelea "soksi" bila kugusia "kiatu". Mbona unakua kama "watoto wa mama Salma"


Kushoto Kwenda Kulia: Dossa Aziz, Julius Nyerere, Abdul Sykes na Lawi Sijaona
Ukumbi wa Arnautoglo Kwenye dhifa ya Kumuaga Nyerere Kwenda UNO safari ya pili 1957

Hapo bado Nyerere anaweka sharubu kama za Hitler.

 
Nashukuru sana Mohamed Said hii inaonyesha jinsi Historia aidha kwa makusudi au kwa kudharau inapofifishwa.
 

Kushoto Kwenda Kulia: Dossa Aziz, Julius Nyerere, Abdul Sykes na Lawi Sijaona
Ukumbi wa Arnautoglo Kwenye dhifa ya Kumuaga Nyerere Kwenda UNO safari ya pili 1957

Hapo bado Nyerere anaweka sharubu kama za Hitler.


Na ndio kipindi pekee katika maisha yake alipata kuvaa "kibepari" kabla ya kuanza kuvaa "kijamaa"
 


L - R: Sheikh Suleiman Takadir aka Makarios, John Rupia, Julius Nyerere na Bantu Group 1955



Butiama kulikuwa kuna nyumba zipi? tunaomba tuoneshe.
 
Mohamed said tafadhari uwe unalipia haya matangazo ya vitabu vyako hapa jf au kama vipi anzisha forum yako ujitangaze zaidi na zaidi.

Massa,
Siwezi kulipa hisani ambayo JF wamenifanyia mimi.
Nani akinijua kabla sijaandika JF?

Hakika sina cha kuilipa JF.
Hata kama nitaanzisha jukwaa langu halitaweza hata kwa mbali kuifikia JF.
 
Unalinganisha Dar es Salaam na Butiama? Mwishowe utalinganisha Kigoma na Dubai!

Kumbe hapalingani eeh? sasa endelea na raha za historia ya TANU, kama unazo picha za babu zako wakiwa katika harakati za Uhuru unaweza kutuwekea pia.

 

Nakujibu hivi: You re totally wrong!
 

Mag3,
Mtaa wa Jaribu Magomeni Mapipa mtaa ambao Ali Msham alifungua tawi
la TANU 1954 kama ulivyo hivi sasa.

 
Safi sana mkuu ndo ajabu hyo pia watu walikua hawajui kuwa ilikua ikifika ramadhani huyo nyerere alikua anafunga pia.

Kufunga ni tunu kubwa kwa dini yoyote...Naamini asingeweza kupata support ya watu kama asingejitahidi kuwa miongoni mwao. Nyerere hata hivyo hakuachia hapo kufunga. Alikuwa ni mtu anayefunga mara kwa mara hasa inapotokea kipindi cha majaribu au wakati mgumu wa uongozi wake.

Kama tunafahamu hilo, tufunge na kuzidi kuomba dua tuendelee kuwa wamoja na tujenge Taifa lenye mustakabali wa watanzania walio wote. Dini zetu zisiwe ndio chanzo cha kutufarakanisha.
 
The man himself Okello, J
 

Attachments

  • 1430677327503.jpg
    24.6 KB · Views: 231
A man himself aliyesababisha mpaka leo Visiwa vya Zanzibar vinapumua na kusaza. A father of Zanzibar Island.
 

Attachments

  • 1430677520414.jpg
    39 KB · Views: 225

Waislam ndio waliopigania uhuru wa hii nchi, ilo linajulikana sana sema yule alipewa bendela aipeperushe ndiye aliyeleta figisufigisu mpaka mfumo kristo ukachukua nafasi kutoka kwa maelekezo ya mkoloni muingereza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…