John Haramba
JF-Expert Member
- Feb 4, 2022
- 365
- 1,374
Siku moja tangu Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni kutoa kibali cha kuchapisha Gazetini wito wa kumuita Mahakamani aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda na kuubandika wito huo katika Makazi yake ya Dar na Kijijini kwao Koromije, Makonda amepost picha kwenye ukurasa wake ikimuonyesha akiwa na darubini.
Katika kesi hiyo, Saed Kubenea anaomba kuweza kumshtaki Paul Makonda, hata hivyo Makonda hajaonekana Mahakamani. Kesi imeahirishwa hadi Machi 2, 2022.
Makonda amepost picha hiyo katika ukurasa wake wa Instagram lakini hajaandika chochote.
Katika kesi hiyo, Saed Kubenea anaomba kuweza kumshtaki Paul Makonda, hata hivyo Makonda hajaonekana Mahakamani. Kesi imeahirishwa hadi Machi 2, 2022.
Makonda amepost picha hiyo katika ukurasa wake wa Instagram lakini hajaandika chochote.