pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Kwa matendo maovu aliyoyaishi Mkono wa Mwenyezi Mungu ni mrefu sana, walidhulumiwa wanalia sana na huyu mtu, "waliodhulumiwa maisha" yao ndugu zao wanalia sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa upo sahihiHadi kuwaza hivyo tu ni kwamba huna akili
Hakuna mahakama ni matawi ya CCM tupuYani Serikali yetu bhana kuna Mambo ya kutufanya sisi Wapumbavu ila hili too much aisee...!! Dharau zimevuka kipimo
Kweli tupuKwa matendo maovu aliyoyaishi Mkono wa Mwenyezi Mungu ni mrefu sana, walidhulumiwa wanalia sana na huyu mtu, "waliodhulumiwa maisha" yao ndugu zao wanalia sana.
Ovyoo kabisaa yani yale ni matusi kwa serikaliiHakuna mahakama ni matawi ya CCM tupu
Aibu tupuOvyoo kabisaa yani yale ni matusi kwa serikalii
Dharau kubwa snKwamba nipo mbali sana kiasi ili niwaone nahitaji darubini!!!
Mnaenda kufungua kesi za kipumbavu alafu mnalaumu serikali? Mmerogwa?Ovyoo kabisaa yani yale ni matusi kwa serikalii
Mambele wapi, juzi nimemuona mikocheni anaosha gariyuko Mambele
Ni suala la muda tu, mbona hata Sabaya mlikaza fuvu hivi..!Wanataka makonda apate tabu, afungwe waseme "tulisema sisi mwisho wake utakua mbaya" lakini wanajisumbua, wnapoteza muda kama hamuamini basi tusubiri muda.
Hana lolote mkuu kama si wakubeza ajitokeze akaoneshe umwamba wake mahakamaniMakonda siyo wakubeza sanaa jamaa ni shupavu hatari na ndiyo maana anawacheki kwa dharau kama vile hawaoni kumbe anawaona
Wanataka makonda apate tabu, afungwe waseme "tulisema sisi mwisho wake utakua mbaya" lakini wanajisumbua, wnapoteza muda kama hamuamini basi tusubiri muda.
Hata General Lengai Ole Sabaya kuna watu walisema hivi hivi haikuchukuwa Muda Lengai alikuja kuonekana Mahakamani na Pingu mkononi. Tuupe muda wakatiBado wanamlinda!
Gereral Sabaya leo yuko wapi. Bashite ni swala la muda tuYupo juu ya sheria
Makonda siyo wakubeza sanaa jamaa ni shupavu hatari na ndiyo maana anawacheki kwa dharau kama vile hawaoni kumbe anawaona
Yap!..hii kesi haimtishi kabisa, na hao waliomshitaki ni kama wanapoteza muda tuPicha inaongea mengi sana, kwa kifupi ni kwamba mwana bado ana shield sehemu nayo ndiyo inampa dharau namna hii