Picha aliyoposti Makonda siku moja baada ya Mahakama kutoa kibali cha kuchapisha Gazetini wito wa kumuita Mahakamani

Picha aliyoposti Makonda siku moja baada ya Mahakama kutoa kibali cha kuchapisha Gazetini wito wa kumuita Mahakamani

ni kheri utafutwe na Police kuliko kutafutwa na Mahakama - endapo Mahakama itaridhia kesi iendelee basi unaweza kujikuta unapigwa miaka kadhaa na popote ulipo tayari utakuwa mfungwa.

Chezea chochote duniani ila si MAHAKAMA.
 
Siku moja tangu Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni kutoa kibali cha kuchapisha Gazetini wito wa kumuita Mahakamani aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda na kuubandika wito huo katika Makazi yake ya Dar na Kijijini kwao Koromije, Makonda amepost picha kwenye ukurasa wake ikimuonyesha akiwa na darubini.

Katika kesi hiyo, Saed Kubenea anaomba kuweza kumshtaki Paul Makonda, hata hivyo Makonda hajaonekana Mahakamani. Kesi imeahirisha hadi Machi 2, 2022.

Makonda amepost picha hiyo katika ukurasa wake wa Instagram lakini hajaandika chochote.


View attachment 2113609
UNATAFUTWA MSHIKAJI....HUJAPATA MESSAGE YA MAHAKAMA COMRADE?
 
Mnaenda kufungua kesi za kipumbavu alafu mnalaumu serikali? Mmerogwa?
Kesi zote za jinai zinafunguliwa na jamhuri kupitia dpp.
Kubenea aliambiwa serikali haina nia ya kumshtaki makonda
Sasa why mahakama inakubali kutoa kibali cha kumtafuta alipo? Wakati mtu anaonekana yupo anawaenjoy waliomshtaki yani Mtuhumiwa anajipost instagram[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Makonda siyo wakubeza sanaa jamaa ni shupavu hatari na ndiyo maana anawacheki kwa dharau kama vile hawaoni kumbe anawaona
Anajipa matumaini hewa! katika watu waoga Paulo Bashite ni miongoni mwao. Huwezi hata kumlinganisha na Sabaya. Makonda alikuwa anasaidiwa na mfumo tu lakini mwoga balaa!
 
Za ndani kabisa ashachora huyo , mama alimwambia achore arudi 2025 ,
Mama alimwambia achore kivipi wakati huyo mama ndio mtoa maagizo nani ashuguulikiwe au aachwe?
 
28A5B3A2-D08A-4C70-9B3C-626A14601B0B.jpeg

Huyu mwamba hii kiburi anaitoa wapi ? Means mahakama haina meno??
 
Wote waliokuwa na akili kipindi cha Sadam Hussein kutiwa nguvuni na Vikosi vya Marekani mtakumbuka kauli za dharau na kibri kabla ya kutiwa nguvuni.
Anachofanya Bashite ni dharau kubwa sana kwa vyombo vya dola
[emoji23][emoji23][emoji23]Mbona unaumia na kuteseka sana?
 
Wote waliokuwa na akili kipindi cha Sadam Hussein kutiwa nguvuni na Vikosi vya Marekani mtakumbuka kauli za dharau na kibri kabla ya kutiwa nguvuni.
Anachofanya Bashite ni dharau kubwa sana kwa vyombo vya dola
Mlitaka apost kitu gani? Kwamba anaomba msamaha ili mmcheke na maneno yenu ya chuki....!! Nendeni mkamtafute
 
Anajipa matumaini hewa! katika watu waoga Paulo Bashite ni miongoni mwao. Huwezi hata kumlinganisha na Sabaya. Makonda alikuwa anasaidiwa na mfumo tu lakini mwoga balaa!
Eti mwoga! Ungekuwa wewe ungejipeleka mbele ya wahuni wapenda damu?
 
Siku moja tangu Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni kutoa kibali cha kuchapisha Gazetini wito wa kumuita Mahakamani aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda na kuubandika wito huo katika Makazi yake ya Dar na Kijijini kwao Koromije, Makonda amepost picha kwenye ukurasa wake ikimuonyesha akiwa na darubini.

Katika kesi hiyo, Saed Kubenea anaomba kuweza kumshtaki Paul Makonda, hata hivyo Makonda hajaonekana Mahakamani. Kesi imeahirishwa hadi Machi 2, 2022.

Makonda amepost picha hiyo katika ukurasa wake wa Instagram lakini hajaandika chochote.


View attachment 2113609
Kwa hiyo ameamua kutuzoom kwa mbaalii kabisa, anamaanisha Nini🤔.
 
Naona Masanja ameandika maoni hapo, siku mtu akitiwa nguvuni aseme hivyo hivyo, sisi watz unafiki mwingi
 
Inawezekana kahakikishiwa uhuru wake na mamlaka siyo ajabu akalamba na uteuzi
Daud Albart Bashite hana uwezo wa kuipiga chenga mahakama na serekali ikiwa kweli inamuhitaji
 
Naona Masanja ameandika maoni hapo, siku mtu akitiwa nguvuni aseme hivyo hivyo, sisi watz unafiki mwingi
Natamani atuwe nguvuni, Ila kesi aliyonayo sio kesi ya jinai ni kesi ya madai. Ni Kama kesi ya musiba. Umeona kinachoendelea?
 
Hata sabaya alimtegemea Jiwe ..yupo wapi huyo Jiwe? Na kama kweli Mama ndio mtoa maagizo basi naye hana muda mrefu..

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hii kesi aliyonayo makonda haina issue sana, kwa kuwa sio kesi ya jinai.
Kesi ya jinai inafhnguliwa na jamhuri kupitia dpp.
Kubenea alipaswa amshtaki dpp kwa kushindwa kumfungulia makonda kesi, alafu baada ya hapo huenda dpp angemfungulia makonda kesi ya jinai na ndio ingekua na nguvu.
 
Back
Top Bottom