Picha aliyoposti Makonda siku moja baada ya Mahakama kutoa kibali cha kuchapisha Gazetini wito wa kumuita Mahakamani

Picha aliyoposti Makonda siku moja baada ya Mahakama kutoa kibali cha kuchapisha Gazetini wito wa kumuita Mahakamani

Jamuhuri haina interest na case ya Makonda. Hakuna binadamu mkamilifu, wote waovu tu, sema levels tumetofautiana. Wamuache mwamba aendelee kuwakula bata mpk kuku waone wivu
 
ni kheri utafutwe na Police kuliko kutafutwa na Mahakama - endapo Mahakama itaridhia kesi iendelee basi unaweza kujikuta unapigwa miaka kadhaa na popote ulipo tayari utakuwa mfungwa.

Chezea chochote duniani ila si MAHAKAMA.
Mhakama ipi? Mahakama ya wapi?
 
Jamuhuri haina interest na case ya Makonda. Hakuna binadamu mkamilifu, wote waovu tu, sema levels tumetofautiana. Wamuache mwamba aendelee kuwakula bata mpk kuku waone wivu
Yap...tumuache 'mwamba' ale zege.!
Screenshot_20220209-182617.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
😁😁😁 alooooo picha linasoma mengiii


sizani km ata mtaja tena.
 
Kiufupi mwamba namkubali,yaani ana spirit ya kujikubali na kujiamini mno. [emoji23][emoji23][emoji23].unajua ile strong spirit ya kujiamini aliyonayo,inaweza ikakufanya ukabadili mawazo kwa hofu kumfuatilia [emoji23][emoji23].naamini hata kubenea Sasa hv hayuko huru ,anatembea na kulala kwa mashaka [emoji23][emoji23].
 
Siku moja tangu Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni kutoa kibali cha kuchapisha Gazetini wito wa kumuita Mahakamani aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda na kuubandika wito huo katika Makazi yake ya Dar na Kijijini kwao Koromije...
Kweli anaishi kama digidigi! Hapo anangalia kama wanakuja au la, pengine atokee mlango wa nyuma!
 
Nimekumbuka Gaddafi kabla ya kukamatwa alikimbilia kujificha kwenye culvert,mi nimekumbuka tu nikacheka......
Alidhani bado ana nguvu akaamuru ndege za kivita ziue mende wote waliokuwa wamekusanyika, kumbe haikuwa kama anavyofikiri.
 
Siku moja tangu Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni kutoa kibali cha kuchapisha Gazetini wito wa kumuita Mahakamani aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda na kuubandika wito huo katika Makazi yake ya Dar na Kijijini kwao Koromije...
Huyu jamaa yupo juu ya mahakama!#Wamuachee
 
Natamani atuwe nguvuni, Ila kesi aliyonayo sio kesi ya jinai ni kesi ya madai. Ni Kama kesi ya musiba. Umeona kinachoendelea?
Uvunjifu wa haki za binadamu na matumizi mabaya ya madaraka Ni kesi za madai?
 
Back
Top Bottom