Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Dry cleaner ya Mheshimiwa iko maeneo gani kiongozi..Yupo, nyie wajinga mmeongopewa na kubenea. Makonda yupo dar na anakula bata kama kawaida, na kafungua dry cleaner ya kisasa na wateja Kama wote
Ulimfananisha...Mambele wapi, juzi nimemuona mikocheni anaosha gari
Sasa kwa nini anajificha ajitokeze mahakamani ajisafisheYap!..hii kesi haimtishi kabisa, na hao waliomshitaki ni kama wanapoteza muda tu
Mimi nilikuwa nadhani kuwa hata Kubenea naye ni undercover tu lakini wenye kesi wapo, ni wengine. Sasa kesi si lazima mtu aanzishe?kiufupi mwamba namkubali,yaani ana spirit ya kujikubali na kujiamini mno. [emoji23][emoji23][emoji23].unajua ile strong spirit ya kujiamini aliyonayo,inaweza ikakufanya ukabadili mawazo kwa hofu kumfuatilia [emoji23][emoji23].naamini hata kubenea Sasa hv hayuko huru ,anatembea na kulala kwa mashaka [emoji23][emoji23].
Lazima Bashite apandishwe kizimbani hilo haliepukikiMlitaka apost kitu gani? Kwamba anaomba msamaha ili mmcheke na maneno yenu ya chuki....!! Nendeni mkamtafute
Jacob Zuma anajua madhara ya kutoheshimu mwito wa mahakamaJamaa ana jiamini mpaka kajaa madharau.
Leo mahakama imekuwa ni wahuni wapenda damu? Kweli dunia inakwenda kasi sana..Eti mwoga! Ungekuwa wewe ungejipeleka mbele ya wahuni wapenda damu?
WasiojulikanaBado wanamlinda!
Mhhhhh!!