Ahead
JF-Expert Member
- Jan 11, 2013
- 2,292
- 2,566
Jamii forum tutawakimbia sio muda haiwezekani mtu unaanzisha uzi mapema halafu mnaunganishwa kwani kuna ubaya gani kuwa na source mbalimbali za information ina maana hata TV ingekuwa TBC tu endeleeni na hayo mambo yenu ipo siku atatokea mshindani wenu na tutawakimbia,shame on you!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app