Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
- Thread starter
-
- #101
Hizo ni nchi ambazo huyo unaemwita muarabu ana oparated. Mbona hawakumnyima kwa sababu ya uarabu wake?Yani bandari Bora apewe muarabu tu
Muarabu alete utulivu pale mana kujuana Juana na unyambilisi ni mkubwa sana.Hizo ni nchi ambazo huyo unaemwita muarabu ana oparated. Mbona hawakumnyima kwa sababu ya uarabu wake?
Je tufukuze na wazungu, wachina na race zingine zilizoingia mikataba na sisi ikiwemo ile ya madini Kwa sababu ya uzungu wao au uchina wao?
Huu ni ushauri mzuri, naamini wahusika watauzingatia mkuu.Muarabu alete utulivu pale mana kujuana Juana na unyambilisi ni mkubwa sana.
Wewe ni mpuuzi na mbumbumbu kweli kweli! Fuatilia kesi ya Mkataba wa hovyo wa Bandari kule Mbeya Mahakama kuu!Habari zenu wana JF na wazalendo wenzangu wote mliopo humu kwa ujumla,
Ndugu zangu wana JF, hapa nchini au duniani tunapozungumzia Mkoa wa Dar es Salaam basi ni ukweli ulio wazi kwamba ni kama vile tunakuwa tumeizungumzia Tanzania nzima. Nasema hivi kwa sababu kuu mbili.
1. Dar es Salaam ndio iliyobeba taaswira halisi ya nchi, ndio maana mkoa huu uliongoza mapambano yote ya kudai uhuru, na mambo mengine mengi ya kiserikali na kijamii yalifanyikia Dar es Salaam, kabla na baada ya uhuru.
2. Dar es Salaam ndio Mkoa uliokusanya makabila yote kutoka mikoa na maeneo mbali mbali ya nchi (kabila langu likiwa moja wapo wa wahamiaji wa Mkoa huu). Hivyo kila linalofanyika mkoa huu linakuwa limegusa kwa kiwango kikubwa mikoa mingine na watu wake kwa ujumla.
Sasa ukiona kiongozi au mtu maarufu anakataliwa katika mkoa wa Dar es Salaam, basi anatakiwa ajitafakari vizuri, kuliko kukimbilia kuwapa vijana vijihela na data za kuja mitandaoni kumsafisha na kutunga propaganda mbalimbali, sababu kuna uwezekano mkubwa wa kukataliwa nchi nzima.
Mwaka 2020 katika kampeni za uchaguzi mkuu, kuna chama kilimsimamisha mgombea kutoka ulaya, kwa kufikiri labda wana Dar es Salaam na watanzania kwa ujumla watadanganyika, watetemeke na kumpa kura mgombea huyo. Lakini kumbe hali ikawa tofauti kwa kuanza kupuuzwa na wana Dar es Salaam na watanzania kwa ujumla, hivyo kupelekea mgombea huyo kutoka ulaya kuangukia pua katika uchaguzi ule.
Na yeye kwa aibu siku mbili tatu baada ya uchaguzi akakimbilia ulaya kwa kudanganya umma kuwa anasakwa na serikali ili iwe rahisi yeye kupewa hifadhi ya ukimbizi na pia kujitoa katika kashfa ya aibu ya kushindwa uchaguzi.
Watu wenye akili tulijiuliza, kama kweli alitakiwa kuuwawa, kwanini asingeliuwawa wakati wa kampeni, badala yake aje auwawe baada ya uchaguzi, tena uchaguzi ambao yeye ndo ameshindwa!
Hilo likapita, sasa likaja hili la bandari chama hicho kilichoangukia pua Dar katika uchaguzi mkuu, kikalivalia njuga na swala hili wakiamini kuwa lingewabeba katika mkoa huo wenye mamilioni ya watu.
Cha kushangaza, pamoja na kualika viongozi njaa wa dini, wanasheria uchwara na wanasiasa wachumia tumbo kutoka maeneo mbali mbali ya nchi lakini bado wana Dar es Salaam wakaendelea kukiadhibu chama hicho na genge lake bila huruma.
Ndio maana nashauri viongozi wa chama hicho wajitafakari upya kuhusu kuelekeo wao. Kuruhusu wapitisha madawa ya kulevya, wezi, wakwepa kodi na ushuru wa bandari wawatumie katika ajenda zao kwa sababu ya malipo madogo tu yanayoliwa na viongozi wachache wa chama lilikuwa ni kosa la kiufundi.
Pia hii style ya kusambaza vijana wenye ID kumi kumi mitandaoni, kwani katika mkutano huonekana watu na sio wingi wa ID zao. Mfano humu tulitangaziwa mkutano wa bandari pale temeke, masham masham mitandaoni yakawa mengi, lakini siku ilipofika watu hawakujitokeza kama ilivyodhaniwa.
Hii ni dalili kuwa hii pinga pinga ya bandari ni ya mitandaoni tu lakini mitaani na nchini hakuna anaepinga.
View attachment 2699597
Inaonekana wewe ni mmoja wa wanasheria uchwara mliohongwa na wale wakwepa kodi na ushuru wa bandarini, ili mje kuwatetea wakwepa kodi hao waachwe waendelee kuitafuna bandari yetu miaka na miaka.Wewe ni mpuuzi na mbumbumbu kweli kweli! Fuatilia kesi ya Mkataba wa hovyo wa Bandari kule Mbeya Mahakama kuu!
Viongozi wetu vilaza wanavuliwa nguo.
Huna akili kuwaita Wanasheria wanaopinga Mkataba kuwa ni Wanasheria uchwara wakati Taifa limeendelea kushindwa kwenye kesi za Kimataifa na kutakiwa kulipa mabilioni ya shilingi kwa mikataba ya kipumbavu walioingia na wawekezaji!
Pole sana 6 Pack, sasa tunao humu mawakala wa hao wezi waliotaka kumuibia anko wako.Kuna anko wangu alileta mzigo kutoka China figisu figisu alizokutana nazo pale bandarini bado nusu auziwe mbuzi kwenye gunia kwa kubadilishiwa mzigo.
Bahati nzuri anko nae mkorofi ileile ivyo jamaa wakanywea. Imagine kama angekuwa ni mtu kutoka Zambia au Rwanda hali ingekuaje
Kule Mbeya mtashindwa tu, usijipe moyo. Hamna hoja zozote za maana za kuisumbua mahakama.Wewe ni mpuuzi na mbumbumbu kweli kweli! Fuatilia kesi ya Mkataba wa hovyo wa Bandari kule Mbeya Mahakama kuu!
Viongozi wetu vilaza wanavuliwa nguo.
Huna akili kuwaita Wanasheria wanaopinga Mkataba kuwa ni Wanasheria uchwara wakati Taifa limeendelea kushindwa kwenye kesi za Kimataifa na kutakiwa kulipa mabilioni ya shilingi kwa mikataba ya kipumbavu walioingia na wawekezaji!
Hata mimi nilifika hapo mida ya saa kumi nikakuta watu wawili watatu huku hotuba zenyewe zikiwa hazina maana nikaamua kuondoka.Habari zenu wana JF na wazalendo wenzangu wote mliopo humu kwa ujumla,
Ndugu zangu wana JF, hapa nchini au duniani tunapozungumzia Mkoa wa Dar es Salaam basi ni ukweli ulio wazi kwamba ni kama vile tunakuwa tumeizungumzia Tanzania nzima. Nasema hivi kwa sababu kuu mbili.
1. Dar es Salaam ndio iliyobeba taaswira halisi ya nchi, ndio maana mkoa huu uliongoza mapambano yote ya kudai uhuru, na mambo mengine mengi ya kiserikali na kijamii yalifanyikia Dar es Salaam, kabla na baada ya uhuru.
2. Dar es Salaam ndio Mkoa uliokusanya makabila yote kutoka mikoa na maeneo mbali mbali ya nchi (kabila langu likiwa moja wapo wa wahamiaji wa Mkoa huu). Hivyo kila linalofanyika mkoa huu linakuwa limegusa kwa kiwango kikubwa mikoa mingine na watu wake kwa ujumla.
Sasa ukiona kiongozi au mtu maarufu anakataliwa katika mkoa wa Dar es Salaam, basi anatakiwa ajitafakari vizuri, kuliko kukimbilia kuwapa vijana vijihela na data za kuja mitandaoni kumsafisha na kutunga propaganda mbalimbali, sababu kuna uwezekano mkubwa wa kukataliwa nchi nzima.
Mwaka 2020 katika kampeni za uchaguzi mkuu, kuna chama kilimsimamisha mgombea kutoka ulaya, kwa kufikiri labda wana Dar es Salaam na watanzania kwa ujumla watadanganyika, watetemeke na kumpa kura mgombea huyo. Lakini kumbe hali ikawa tofauti kwa kuanza kupuuzwa na wana Dar es Salaam na watanzania kwa ujumla, hivyo kupelekea mgombea huyo kutoka ulaya kuangukia pua katika uchaguzi ule.
Na yeye kwa aibu siku mbili tatu baada ya uchaguzi akakimbilia ulaya kwa kudanganya umma kuwa anasakwa na serikali ili iwe rahisi yeye kupewa hifadhi ya ukimbizi na pia kujitoa katika kashfa ya aibu ya kushindwa uchaguzi.
Watu wenye akili tulijiuliza, kama kweli alitakiwa kuuwawa, kwanini asingeliuwawa wakati wa kampeni, badala yake aje auwawe baada ya uchaguzi, tena uchaguzi ambao yeye ndo ameshindwa!
Hilo likapita, sasa likaja hili la bandari chama hicho kilichoangukia pua Dar katika uchaguzi mkuu, kikalivalia njuga na swala hili wakiamini kuwa lingewabeba katika mkoa huo wenye mamilioni ya watu.
Cha kushangaza, pamoja na kualika viongozi njaa wa dini, wanasheria uchwara na wanasiasa wachumia tumbo kutoka maeneo mbali mbali ya nchi lakini bado wana Dar es Salaam wakaendelea kukiadhibu chama hicho na genge lake bila huruma.
Ndio maana nashauri viongozi wa chama hicho wajitafakari upya kuhusu kuelekeo wao. Kuruhusu wapitisha madawa ya kulevya, wezi, wakwepa kodi na ushuru wa bandari wawatumie katika ajenda zao kwa sababu ya malipo madogo tu yanayoliwa na viongozi wachache wa chama lilikuwa ni kosa la kiufundi.
Pia hii style ya kusambaza vijana wenye ID kumi kumi mitandaoni, kwani katika mkutano huonekana watu na sio wingi wa ID zao. Mfano humu tulitangaziwa mkutano wa bandari pale temeke, masham masham mitandaoni yakawa mengi, lakini siku ilipofika watu hawakujitokeza kama ilivyodhaniwa.
Hii ni dalili kuwa hii pinga pinga ya bandari ni ya mitandaoni tu lakini mitaani na nchini hakuna anaepinga.
View attachment 2699597
Nina imani mwenye akili yeyote iliohuru lazima akubaliane na kile ulichoandika mkuu.Pole sana 6 Pack, sasa tunao humu mawakala wa hao wezi waliotaka kumuibia anko wako.
Wengine wanalipwa kwa kazi hiyo na wengine ni bendera tu kazi yao kufuata upepo, wanakuja na hoja nyepesi eti mkataba una matatizo. Wakipewa ufafanuzi wa vifungu vyenye matatizo wanakuja na sababu nyingine ya kuukwepa uwekezaji.
Hakuna mtu mwenye akili timamu ambae angeweza kuhudhuria mkutano wa kihuni, uliojificha katika mgongo wa viongozi wa dini na chama fulani mkuu.Hata mimi nilifika hapo mida ya saa kumi nikakuta watu wawili watatu huku hotuba zenyewe zikiwa hazina maana nikaamua kuondoka.
Hili tu linaonyesha ujuha mkubwa ulio nao. Haya maneno uliyoandika hapa unaona yana maana yoyote ya kumfikirisha mtu mwenye akili timamu?Acha hasira kijana, uhalisia unaonesha kuwa wapinga mkataba ni wachache san tena wenye ID kumi kumi totauti mitandaoni.
Nikushukuru sana kwa taarifa hii mkuu 'Chakaza', nilikuwa sijui mipango ya namna hii inaendelea hadi humu JF.Siku za zamani watu walikuwa wanashindana kushusha hoja za msingi zilizo fanyiwa tafiti za kina na mwisho zinazua mjadala wa kina.
Hakukuwa na ushabiki maandazi na hilo lilisababisha hata viongozi wa siasa, jamii na watu weledi wakachangia tena kwa ID zao halisi na kwa heshima.
Ila sasa hivi kuna mashindano ya kushusha pumba za kipuuzi na kijinga mpaka ukisoma unajuta kwa nini umepoteza muda wako kusoma.
Ona upupu huu! Mnadhani utakuwa umeandikwa kwa watu wenye akili?
Lazima ni watu wa aina hii tuu;
View attachment 2700184
Sikulaumu wewe, nawalaumu wale wanaokutumia wewe mitandaoni bila malipo huku wao wakikusanya mamilioni ya shilingi kutoka kwa wale wanaopitisha mizigo yao na biashara zao kila siku pale bandarini bila kulipa kodi.Hili tu linaonyesha ujuha mkubwa ulio nao. Haya maneno uliyoandika hapa unaona yana maana yoyote ya kumfikirisha mtu mwenye akili timamu?
Takataka nyingine huko chini sina muda wa kupoteza nazo kuzisoma. Hivi ni lini utaacha kujaza takataka humu jamvini? Huchoki kila mara kuleta uchafu humu?
Jaribu siku moja kukaa chini na kutumia vizuri akili zako.
Nishamalizana nawe mkuu, sina la ziada la kuongeza katika yale niliyokwishaelza hapo juu.Sikulaumu wewe, nawalaumu wale wanaokutumia wewe mitandaoni bila malipo huku wao wakikusanya mamilioni ya shilingi kutoka kwa wale wanaopitisha mizigo yao na biashara zao kila siku pale bandarini bila kulipa kodi.
Wao wameamua kupigania matumbo yao, na wewe unatumiwa kutetea masilahi yao.
Hiyo ndio faida wanayopata wenye akili kubwa pindi wanapokutumia mwenye akili ndogo.
Mbona akili imetumika mkuu, sema wewe hauwezi kuona kwa sababu nimeandika tofauti na kile ambacho kina Lisu na Mbowe wanataka kutulazimisha watanzania wote tuandike.Nishamalizana nawe mkuu, sina la ziada la kuongeza katika yale niliyokwishaelza hapo juu.
Ukija na wazo jipya ulilotumia akili kulitambua kuwa ni jamb zuri, nitakusoma na kujadili nawe, lakini siyo takataka hizi unazoleta hapa kwa muda mrefu sasa.
Wakazi wa Dar na viunga vyake tunazijuwa dursa zitazozalishwa na bandari ya kisasa.
Hao DP WORLD wengine hapa tunawangoja kwa hamu. Tuna vijukuu vyetu tunataka violewe Dubai.
Fursa hizo.
Mkuu.. hivi kwanini usikitike na kuogopa mawazo ya mtu binafsi?Inasikitisha na kuogopesha kama tumefikia hapa kama Taifa.
[emoji2961]
Hayo ni mawazo yake binafsi yeye kama yeye. Hayana uhusiano wowote na taifa.Kweli tumefikia hatua hata wabibi wanawadangia wajukuu zao? Kweli??
Disgusting [emoji2961]
Ni kweriYani bandari Bora apewe muarabu tu
Wanaotaka bandali iendele kua ktk mikono ya waswahili wanatia aibuPole sana 6 Pack, sasa tunao humu mawakala wa hao wezi waliotaka kumuibia anko wako.
Wengine wanalipwa kwa kazi hiyo na wengine ni bendera tu kazi yao kufuata upepo, wanakuja na hoja nyepesi eti mkataba una matatizo. Wakipewa ufafanuzi wa vifungu vyenye matatizo wanakuja na sababu nyingine ya kuukwepa uwekezaji.