Picha: Hatua kwa hatua hadi Simba ilipoingia nusu fainali ya klabu bingwa Afrika mwaka 1974

Picha: Hatua kwa hatua hadi Simba ilipoingia nusu fainali ya klabu bingwa Afrika mwaka 1974

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Maelezo yote yapo katika picha

E57CD39E-E2A3-4200-BD30-2439DE33AB19.jpeg
6786E299-1D06-4E7F-AC2D-205B17229653.jpeg
6F493502-27BE-4D82-8B6C-B8720EF424D7.jpeg
625839F2-D6D7-4408-AB0F-B09D05595B8A.jpeg
08BB5A8F-127D-4B77-B616-F77C96DB5185.jpeg
08BB5A8F-127D-4B77-B616-F77C96DB5185.jpeg
3444A54D-35B2-42D8-BE3A-C030F8419DB9.jpeg
 
Mtaokiteza taarifa zote Ili yanga waonekane hawajafikia mafanikio yenu lakini ukweli ni kuwa Simba wametoka. Taarifa hizo kwanini miaka mingi hazisemwi? Hata mwaka huu mbona Simba wakati anasonga mbele hazikutoka na zimetoka wakati Simba walipotolewa?

Tuipe heshima yanga Kwa kutinga hatua ya nusu fainali
 
Mtaokiteza taarifa zote Ili yanga waonekane hawajafikia mafanikio yenu lakini ukweli ni kuwa Simba wametoka. Taarifa hizo kwanini miaka mingi hazisemwi? Hata mwaka huu mbona Simba wakati anasonga mbele hazikutoka na zimetoka wakati Simba walipotolewa?

Tuipe heshima yanga Kwa kutinga hatua ya nusu fainali
Zilikuwa hazisemwi kwa sababu Yanga hamkudanganya kwa kusema kwamba nyinyi ndio wa Kwanza kufika nusu fainali mashindano ya CAF, ila kwa kuwa sasa mmeanza kusema uwongo inabidi tuweke rekodi sawa
 
Daah simba hadi aibu kulia lia kisa fainali,vumilieni tu maana wimbo wenu wa kimataifa umeshakatwa
 
Sasa hivi tumeingia fainali ya KOMBE LA DUNIA LA TWITTER(Twitter World Cup)!

Baada ya miaka 40 ijayo wajing.a kama huyu watakuja kusema Simba ilishashiriki KOMBE LA DUNIA na kufika Fainali!

Screenshot_20230501-201518_Twitter.jpg
 
Back
Top Bottom