Picha: Hatua kwa hatua hadi Simba ilipoingia nusu fainali ya klabu bingwa Afrika mwaka 1974

Picha: Hatua kwa hatua hadi Simba ilipoingia nusu fainali ya klabu bingwa Afrika mwaka 1974

FRANCIS DA DON njoo huku
Screenshot_20230606-033416.png
 
FRANCIS DA DON na hiyo rekodi yenu ya kucheza CAF CL zama za Giza,Yanga tumeazimia kuifuta msimu huu wa 2023/2024

Mjiandae kisaikolojia,huyo sijui Wydad,sijui A Ahyl sijui nyenye Gani mnayejivunia,na kujifichamo msimu huu ujao tunaenda kukifyeka

Sijui mtajifichia wapi,
 
FRANCIS DA DON na hiyo rekodi yenu ya kucheza CAF CL zama za Giza,Yanga tumeazimia kuifuta msimu huu wa 2023/2024

Mjiandae kisaikolojia,huyo sijui Wydad,sijui A Ahyl sijui nyenye Gani mnayejivunia,na kujifichamo msimu huu ujao tunaenda kukifyeka

Sijui mtajifichia wapi,
Hilo ndio la kufanya , badala ya kupinga rekodicambazo hata Rais anazijua, mjipange kuifikia au kuivunja mkiwezekana. Ila hamjavunja rekodi ya 1993, bali mmeifikia tu
 
Hilo ndio la kufanya , badala ya kupinga rekodicambazo hata Rais anazijua, mjipange kuifikia au kuivunja mkiwezekana. Ila hamjavunja rekodi ya 1993, bali mmeifikia tu
Hamkucheza Shirikisho

Leta ushaidi hapa hapa sasa hivi
 
Mtaokiteza taarifa zote Ili yanga waonekane hawajafikia mafanikio yenu lakini ukweli ni kuwa Simba wametoka. Taarifa hizo kwanini miaka mingi hazisemwi? Hata mwaka huu mbona Simba wakati anasonga mbele hazikutoka na zimetoka wakati Simba walipotolewa?

Tuipe heshima yanga Kwa kutinga hatua ya nusu fainali
Sasa wewe si mtoto?Ungejuaje hizo habari bila ya mleta uzi kuandika?
 
Back
Top Bottom