FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
- #61
πππππ, Yaaani nimecheka..., maana umemjibu vizuri mno!Hiyo mara moja ndio tofauti yenyewe.Come back na jilinganishe mtakapoingia hiyo mara moja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππ, Yaaani nimecheka..., maana umemjibu vizuri mno!Hiyo mara moja ndio tofauti yenyewe.Come back na jilinganishe mtakapoingia hiyo mara moja.
Lakini ni wewe huyu huyu ambaye ulikuwa unakuja na screenshot za miaka hiyo hiyo ya nyuma kupinga records hizi za SimbaKwenye mpira wa miguu kinacholeta raha ni mafanikio ya sasa, historia ya miaka 5 nyuma kuwa ulikuwa unapesa au una mali au ulifika wapi haina maana. Ac Milan katawala sana soka la ulaya lakini je kwasasa historia yao imesaidia nini.
Sawa umeeleweka, nadhani tatizo kubwa ni simba kutoongelewa kwa hilo.Sasa acheni kudanganya, maana ile kauli ya kuwa wa kwanza kufika nusu fainali Caf ni uhuni mtupu, maana si kweli, wapo watu walifika nusu fainali CAF mwaka 1974 tena katika mashindano yenye hadhi zaidi ya CAF klabu bingwa, adabu iwepo!
Asante....
DON unakurupuka, Soma kwa utulivu.Yanga alifika nusu fainali klabu bingwa mwaka gani?
Jibu swali.DON unakurupuka, Soma kwa utulivu.
Jibu swali.
Majibu ya kwamba hamjawahi kufika, si ndio?Nimeshajibu ndio maana nikamwambie asome kwa utulivu, atayaona majibu ya swali lake.
Kama ulisoma kwa utulivu kama nilivyokuelekeza na ukakuta jibu hilo, hapo mimi siwezi kukubishia tena.Majibu ya kwamba hamjawahi kufika, si ndio?
Kwamba ni kosa kukosoa mtu anayepindisha historia? Au unataka kusema niniLakini ni wewe huyu huyu ambaye ulikuwa unakuja na screenshot za miaka hiyo hiyo ya nyuma kupinga records hizi za Simba
Tunawasikiliza CAF
CAF nao pia nao ni waongoZilikuwa hazisemwi kwa sababu Yanga hamkudanganya kwa kusema kwamba nyinyi ndio wa Kwanza kufika nusu fainali mashindano ya CAF, ila kwa kuwa sasa mmeanza kusema uwongo inabidi tuweke rekodi sawa
Wala tusibishane sana, leta taarifa rasmi za CAF, kwamba mwaka 1974 ni timu zipi 4 ziliingia nusu fainali ya Klabu bingwa Afrika? Ukileta majibu nafuta uzi.Tunawasikiliza CAF
Ngoja tumsubiri alete majibu ππAkileta atakuwa sio gongowazi.
Zeru zeru neo ameyataka Hays yote,ZERUZERU.Mtaokiteza taarifa zote Ili yanga waonekane hawajafikia mafanikio yenu lakini ukweli ni kuwa Simba wametoka. Taarifa hizo kwanini miaka mingi hazisemwi? Hata mwaka huu mbona Simba wakati anasonga mbele hazikutoka na zimetoka wakati Simba walipotolewa?
Tuipe heshima yanga Kwa kutinga hatua ya nusu fainali
Kuna watu MNA matatizo sana ila mnawaona wengine wana matatizo,Hii nchi tuna matatizo sana.Wanamaanisha nusu ya mfumo huu uliopo.
Nusu fainali ya 1974 tofauti sana na hii ya mfumo huu wa sasa.
Ya mwaka 1974 timu inacheza mechi nne tu tayari ROBO, mechi 6 tayari NUSU. Unaweza kuwa bingwa bila ya kushinda hata mechi moja ndani ya dakika 90 au 120.
Mfumo wa sasa huwezi kuchukua kombe la robo fainali bila kushinda ndani ya dakika 90 lazima uwaue kiume wenzako hapo kwenye makundi.
Weka picha simba wakivaa medali za mshindi wa pili wa mashindano hayo ya CafKuna Ile Team Ya Ujanjaujanja Wao Hawayajui Haya Mafanikio Makubwa Sana Tanzania
Wanabwata Tu